Rais Magufuli: Waliotelekeza Mashamba na Viwanda, wavifufue haraka sana

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,720
55,852


uploadfromtaptalk1454683795471.jpg

92ba904f955fa88868ff43bb18cd2e35.jpg


=========================

MOROGORO NI MFANO WA MIKOA AMBAYO WALIONUNUA VIWANDA WAMEKUWA MAATAPELI NA WAONGO ..UKIANZA NA HUYO..


MOHAMED ABOOD

Alinunua viwanda zaidi ya vitatu , MOROGORO CANVAS ,MOROGORO OIL etc

Hakuna kiwanda kinachofanya kazi zaidi tu amevikopea bank ,kiwanda cha Morogoro canvas kilikuwa kiwanda cha mfano duniani na hadi leo mali zake zinauliziwa sokoni ...lakini amekifilisi na kuna hatari ameondoa baadhi ya mitambo
Huyu amefanya tumuamini magufuli kwa kuwa alikuwa ametumia pesa zake kuwafanya wana Morogoro misukule , kwa kutumia radio yake na misaada ya kiswahili kiswahili isiyo na tija kwenye dunia ya sasa ..

Mohamed Enterprises alipewa kiwanda kikubwa kuliko vyote afrika enzi hizo cha POLYTEX ...kinafanya kazi lakini kwa asilimia 30% na bado kinampatia faida kubwa , kiwanda hiki kina changamoto ya kuhamia technology ya makaa ya mawe ili kiweze kuwasha boiler zake na kuongeza uzalishaji .

MOROGORO SHOES COMPANY

Hiki kilipata bahati mbaya kwa kupaata mmiliki tapeli wa kimataida , mwenye sifa ya magendo aina zote , huyo pia ni yule ambaye amepata kuichoma hoteli yake Bagamoyo ili apate pesa ya bima ...na wakati huo hoteli yake ndio ilikuwa nzuri Bagamoyo ya kutegemewa na watalii na serikali kwa mikutano

Alipopewa kiwanda hiki maarufu kwa kutengeneza boot za jeshi ,rabber za shule na matumizi mbali mbali , kiwanda hiki kilikuwa kinapakana kabisa na Morogoro canvas kwa kuwa baadhi ya malighafi zake ni canvas ..kwa hiyo value addition inaendelea mlango wa pili tu ..
Huyu bwana kwa kushirikiana na watu wasiokuwa waaminifu alianza kuhamisha mashine za kiwanda kwa kuzifungua wakati wa usiku na kupeleka kigamboni dar es salaam ambapo alikuwa amejenga gododwn , baada ya kuwa amehamisha mali zote muhimu .....alikiwasha kiwanda kile moto .....kikaungua kabisa ......na kwakuwa alikuwa na bima Alilipwa kiwanda kizima ...akatajirika .........na kuja kufungua kiwanda Kigamboni kwa kutumia mashiine zile kwa jina la ITAL SHOE .


KIWANDA CHA MAN'GULA MOROGORO

Hiki kilikuwa backbone heavy-duty industry cha aina take afrika ...kilikuwa kinauwezo wa kumimina chuma au metal ya aina yeyote hata kama ni engine block ya treni ...ikitegemewa kuwa viwanda vyote vikubwa vingehudumiwa na MAN'GULA ...Kilikuwa kikishirikiana na kiwanda cha KILIMANJARO MASHINE TOOLS ambacho hiki kilikuwa na kazi ya kuchonga spares ndogo ndogo za viwandani .....ikiwa na maana kuwa Tanzania ilikuwa ikijitegemea kwa spares nyepesi na nzito za viwanda vyake ....
Aliyenunua kiwanda cha Mangula ni MCHUNGAJI RWAKATARE ambaye yeye nae kama huyo wa viatu ...amengoa mitambo yake yote ambayo ni world class na kuuza kama scrapper nje ..inasadikiwa kuwa wazungu walioinunua hawakaenda kuyeyusha bali wameikarabati na kuuaza kama complete line kwenye nchi nyingine ...
Karibuni wachina wanaowekeza mradi wa chuma LIGANGA waliomba kwenda kukiona wakitegemea wangeweza kuingia ubia ili kuanza nacho kwenye kutengeneza baadhi ya vitu kwa kutumia chuma yetu ...walishikwa na bumbuwazi kukuta kiwanda kimengolewa ....kwenye directory ya viwanda vizuri vya chuma kipo ndio maana ilikuwa rahisi kushauriwa na washauri wao ambao ni wachina wenzao wakitafute ..walishangaa sana sana ..

Kulikuwa na tawi la kiwanda hiki hapa DAR ..Hapo mwenge kanunua MCHUNGAJI MWINGIRA ..YEYE kabadili matumizi kinyume kabisa na masharti ya PSRC ...Na kufungua kanisa ...

MASHAMBA

Mashamba mengi tena ambayo yana viwanda nayo hayafanyi kazi au wana kawaida ya kulima karibu na lami ili wakubwa wakipita waone kinafanya kazi wakati sio kweli na hii ndio tabia nchi nzima


HITIMISHO

Nchi hii ilikuwa na viwanda vya kila kitu kuanzia sindano ,wembe ,radio ,nguo, ,nyama,matrekta ,malori etc ..hata waagizaji wa magari kama Landrover ,Layland etc walilazimishwa kama wanataka kuuaza magari tanzania wafungue ASSEMBLY HOUSES na ndio ilikuwa hivyo ikiwa na maana angalau asilimia 20% ya kazi ilifanyika hapa na kutengeneza ajira na kuacha ujuzi ...

Kulikuwa na mtandao wa viwanda karibu 500 vya serikali ambavyo viliuzwa na PSRC ....LAKINI ni vichache sana vipo , tuliwaamini watanzania wenzetu wenye asili ya nje lakini wengi walijitajirisha na kukimbia na kuacha magofu ....kuna viwanda kama KILTEX gongolamboto ambavyo kilikuwa kati ya viwanda bora ,hiki vibaka walifungua kila kitu hadi mabati na kuuaza baada ya kuwa kimtelekezwa .....

Watu wazima wanakumbuka those glory days ambapo asilimia kubwa ya wakazi wa mijini walikuwa wameajiriwa viwandani , wanakaa kwenye nyumba za viwanda, wanasafiri kwenda na kurudi kazini kwenye mabasi ya viwanda , ilikuwa saa kumi wakati tunatoka shule idadi ya mabasi yaliyojaa barabarani kwa viwango vya enzi zile yalikuwa ya viwanda yakirudisha wafanyakazi kwenye quaters zao
Hii iilikuwa welfare ambayo ilikuwa lazima hata kwa viwanda binafsi kufanya huwezi kuruhusiwa kuwa na wafanyakazi 50 kwenda juu bila kuwa na basi la wafanyakazi ....na ikibidi pia kuwa na nyumba za wafanyakazi ....
Kwa viwanda vikubwa ilikuwa lazima kuwa na mpango wa matibabu ....kama hospitali ya wafanyakazi , kwa na mpango wa burudani kwenye makazi yao kama kuwawekea SOCIAL CENTRE , BAND , NA TIMU ZA MAKAZINI ..mpira wa miguu ,pete etc na wachezaji wanakuwa waajiriwa pia ..Viwanda vya pembezoni vilienda hatua moja mbele ya kujenga shule za awali na msingi kwenye nyumba za wafanyakazi .

Mishahara haikuwa mikubwa lakini watu walikuwa na furaha kwa ajili walihudumiwa kwa mambo mengi ....na ukizingatia na elimu ilikuwa bure kweli na matibabu kwa raia wengine bure ..kwa hiyo hutegemei kuombwa pesa na ndugu zako za shule au matibabu ...HUO NDIO ULIKUWA UJAMAA .

Kama mwalimu aliacha viwanda 500 ...kwa miaka 23 ya utawala wake ..ambapo hakuwa akichimba madini zaidi ya Almasi [AMBAYO nayo ilikuwa hauzi ghafi bali iliuzwa baada ya kuchongwa vizuri na kiwanda chetu wenyewe TANCUT ALMASI ] ...leo hatuna TANCUT GOLD ,TANCUT TANZNITE ,TANCUT ,RUBBY etc .., pamoja na kukabiliana na vita vya kagera na vita vya ukombozi kusini mwa afrika , na sera kandamizi za IMF na WORDBANK ....pengine bila vikwazo hivi leo Tanzania ingekuwa taifa linalojitegemea kwa kila kitu ...maana uchumi wetu uliharibiwa na sababu ambazo ziko valid na sio hizi za sasa za ufisadi
Kama kila rais aliyemfuatia Mwalimu angejenga nusu ya viwanda vya Mwalimu kwa kuwa wao wanakaa miaka 10 basi ni wazi leo tungekuwa tunakimbilia viwanda vikubwa 2000 ambavyo vingeweza kuajiri watu moja kwa moja milioni 2 ...na ukijumlisha na huduma mtambuka vingeweza kutengeneza shughuli za kiuchumi[ajira] milioni 8 [ratio 1:4]....watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi wapo milioni 15 ...hao waliobakiwa wangeweza kujiajiri kwa kilimo na biashara au sekta nyingine za ajira kama jeshi,uwalimu etc .....TANZANIA INGEKUWA INATAFUTA WAFANYAKAZI HASA WA MASHAMBANI KAMA ZAMANI TOKA NCHI JIRANI .....

VITA YA KURUDISHA VIWANDA NI VITA TAKATIFU NA MAGUFULI ASIRUDI NYUMA ...BORA KUFUATA MFUMO WA MAGEUZI YA VIWANDA VYA UMMA WA BORIS YELTSIN
 
Aanze na mbunge wa lichama lake, Ndugu ABOUD, Kiwanda anakifugia mbuzi, ameanza kupaka rangi kuta za majengo ili kionekana kinazalisha.
 
1.jpg



Agizo la Rais Magufuli kwa wenye mashamba na viwanda aliposimama njiani kuwasalimu wananchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewataka watu wote waliotelekeza Mashamba na Viwanda walivyouziwa na serikali, kuhakikisha wanafufua mashamba na viwanda hivyo mapema iwezekanavyo, kabla serikali haijavinyang'anya na kuwagawia wanaoweza kuviendesha.

Rais Magufuli ametoa maagizo hayo alipokuwa akizungumza na wananchi waliosimamisha msafara wake njiani, wakati akisafiri kwa gari kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma.

Amesema mkoa wa Morogoro ulikuwa na viwanda vingi na mashamba mengi makubwa ambayo kama waliouziwa wangeyaendeleza, yangezalisha ajira na kuongeza uzalishaji wa bidhaa za viwandani na Mazao ya kilimo, lakini waliouziwa mashamba na viwanda hivyo wameamua kutekeleza ama kubadilisha matumizi, huku wengine wakitumia rasilimali hizo kuombea mikopo katika mabenki jambo ambalo serikali yake haitalikubali.

"Kama nilivyowaahidi wakati wa kampeni na leo narudia, wote walioamua kutumia mashamba na viwanda walivyouziwa na serikali kwa ajili ya kuchukulia mikopo kwenye mabenki badala ya kufanya uzalishaji wavifufue haraka, vinginevyo tutawanyang'anya" amesisitiza Rais Magufuli huku akishangiliwa na wananchi waliomsimamisha katika eneo la Msamvu Mjini Morogoro.

Rais Magufuli pia amesimamishwa na kuwasalimu wananchi wa Wami Dakawa, Magole na Dumila ambako pamoja na kuwahakikishia kuwa atatekeleza ahadi yake ya kuwapa mashamba atakayonyang'anya kutoka kwa walioyatelekeza, amewataka kuachana na migogoro kati ya wakulima na wafugaji na badala yake watatue migogoro hiyo kwa kutumia njia za kisheria.

Aidha, amewataka viongozi wote wa Mkoa hadi vitongoji kushirikiana kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji kabla haijasababisha madhara, na
ameonya kuwa migogoro hiyo ikileta madhara itakuwa ni kigezo tosha kuwa viongozi hao wameshindwa kutekeleza wajibu wao na wanapaswa kuachia ngazi.

Pamoja na hayo Rais Magufuli amewahimiza wananchi hao kuchapa kazi kwa juhudi hasa katika kipindi hiki ambacho mvua zinanyesha, na pia wahakikishe kuwa watoto wote wanaopaswa kuandikishwa shule wanapelekwa shule, hasa baada ya serikali kuamua kutoa elimu bure ya kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.

"Tumeamua kutoa elimu bure na tutatoa elimu bure, na jambo hili limeonesha mafanikio makubwa kwa kuwa hata shule zilizotarajia kuandikisha wanafunzi 45 zimejikuta zikiandikisha hadi wanafunzi 600 kwa darasa moja" alibainisha Rais Magufuli.

Katika hatua nyingine Rais Magufuli amekagua kipande cha barabara kuu ya Morogoro - Dodoma kilichoharibiwa na maji ya mvua katika eneo la Kibaigwa Mkoani Dodoma, na kujionea kazi za ukarabati zinazofanywa na wakala wa barabara nchini (TANROADS).

Amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, kuongeza wakandalasi wa kukarabati eneo hilo ili kazi ikamilike haraka badala ya kusubiri mpaka baada ya miezi miwili ilivyopangwa na wizara.

Wakati huo huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kesho tarehe 06 Januari, 2016 atashiriki maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), zitakazofanyika katika uwanja wa Namfua, Mjini Singida.

Gerson Msigwa.
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dodoma

05 Januari, 2016
 
Aanze na mbunge wa lichama lake, Ndugu ABOUD, Kiwanda anakifugia mbuzi, ameanza kupaka rangi kuta za majengo ili kionekana kinazalisha.
 
Aanze na wale walioua mkonge Tanga mmoja wapo ni kada wa chama cha kijani.
 
Kweli kabisa,kiwanda kilichokuwa cha MPROCO hakijawahi kufanya kazi.anyang'anywe.Kile kilichokuwa kinatengeneza sabuni nacho kiko kimya.sikumbuki kama aliuziwa na serikali au alijenga mwenyewe, kimulikwe nacho.
Aanze na mbunge wa lichama lake, Ndugu ABOUD, Kiwanda anakifugia mbuzi, ameanza kupaka rangi kuta za majengo ili kionekana kinazalisha.
 
Mimi nasubiri MMMT Mang´úla Mechanical and Machine Tools, alichozawadiwaMama Getruda Lwakatare.
 
Haya ndio matatizo ya kuikabidhi nchi kwa mtu ambaye sio corporate. Hivi yeye anategemea kuna mfanyabiashara asiyependa pesa?

Yeye anapaswa kukaa na hawa wafanyabiashara awaulize challenge wanazokumbana nazo mpaka wanashindwa kufanya hizo biashara na kufunga viwanda lkn sio eti kukurupuka na kuongea kwa wananchi wachini kabisa wasiojua nini maana ya kiwanda.

Hawa wafanyabiashara hivi viwanda na haya mashamba hawajapewa bure na serikali bali waliyanunua kutoka serikalini baada ya serikali hiyo hiyo kushindwa kuyaendeleza, sasa ili sisi tumuone Pombe kidume na yeye avinunue tena hivyo viwanda na hayo mashamba kutoka kwa hao wafanyabiashara kisha avifufue tuone kama ataweza na ataweza kuviendesha kwa faida.

HIYO NI BIASHARA HAITAKI SIASA MKUU.
 
MOROGORO NI MFANO WA MIKOA AMBAYO WALIONUNUA VIWANDA WAMEKUWA MAATAPELI NA WAONGO ..UKIANZA NA HUYO..


MOHAMED ABOOD

Alinunua viwanda zaidi ya vitatu , MOROGORO CANVAS ,MOROGORO OIL etc

Hakuna kiwanda kinachofanya kazi zaidi tu amevikopea bank ,kiwanda cha Morogoro canvas kilikuwa kiwanda cha mfano duniani na hadi leo mali zake zinauliziwa sokoni ...lakini amekifilisi na kuna hatari ameondoa baadhi ya mitambo
Huyu amefanya tumuamini magufuli kwa kuwa alikuwa ametumia pesa zake kuwafanya wana Morogoro misukule , kwa kutumia radio yake na misaada ya kiswahili kiswahili isiyo na tija kwenye dunia ya sasa ..

Mohamed Enterprises alipewa kiwanda kikubwa kuliko vyote afrika enzi hizo cha POLYTEX ...kinafanya kazi lakini kwa asilimia 30% na bado kinampatia faida kubwa , kiwanda hiki kina changamoto ya kuhamia technology ya makaa ya mawe ili kiweze kuwasha boiler zake na kuongeza uzalishaji .

MOROGORO SHOES COMPANY

Hiki kilipata bahati mbaya kwa kupaata mmiliki tapeli wa kimataida , mwenye sifa ya magendo aina zote , huyo pia ni yule ambaye amepata kuichoma hoteli yake Bagamoyo ili apate pesa ya bima ...na wakati huo hoteli yake ndio ilikuwa nzuri Bagamoyo ya kutegemewa na watalii na serikali kwa mikutano

Alipopewa kiwanda hiki maarufu kwa kutengeneza boot za jeshi ,rabber za shule na matumizi mbali mbali , kiwanda hiki kilikuwa kinapakana kabisa na Morogoro canvas kwa kuwa baadhi ya malighafi zake ni canvas ..kwa hiyo value addition inaendelea mlango wa pili tu ..
Huyu bwana kwa kushirikiana na watu wasiokuwa waaminifu alianza kuhamisha mashine za kiwanda kwa kuzifungua wakati wa usiku na kupeleka kigamboni dar es salaam ambapo alikuwa amejenga gododwn , baada ya kuwa amehamisha mali zote muhimu .....alikiwasha kiwanda kile moto .....kikaungua kabisa ......na kwakuwa alikuwa na bima Alilipwa kiwanda kizima ...akatajirika .........na kuja kufungua kiwanda Kigamboni kwa kutumia mashiine zile kwa jina la ITAL SHOE .


KIWANDA CHA MAN'GULA MOROGORO

Hiki kilikuwa backbone heavy-duty industry cha aina take afrika ...kilikuwa kinauwezo wa kumimina chuma au metal ya aina yeyote hata kama ni engine block ya treni ...ikitegemewa kuwa viwanda vyote vikubwa vingehudumiwa na MAN'GULA ...Kilikuwa kikishirikiana na kiwanda cha KILIMANJARO MASHINE TOOLS ambacho hiki kilikuwa na kazi ya kuchonga spares ndogo ndogo za viwandani .....ikiwa na maana kuwa Tanzania ilikuwa ikijitegemea kwa spares nyepesi na nzito za viwanda vyake ....
Aliyenunua kiwanda cha Mangula ni MCHUNGAJI RWAKATARE ambaye yeye nae kama huyo wa viatu ...amengoa mitambo yake yote ambayo ni world class na kuuza kama scrapper nje ..inasadikiwa kuwa wazungu walioinunua hawakaenda kuyeyusha bali wameikarabati na kuuaza kama complete line kwenye nchi nyingine ...
Karibuni wachina wanaowekeza mradi wa chuma LIGANGA waliomba kwenda kukiona wakitegemea wangeweza kuingia ubia ili kuanza nacho kwenye kutengeneza baadhi ya vitu kwa kutumia chuma yetu ...walishikwa na bumbuwazi kukuta kiwanda kimengolewa ....kwenye directory ya viwanda vizuri vya chuma kipo ndio maana ilikuwa rahisi kushauriwa na washauri wao ambao ni wachina wenzao wakitafute ..walishangaa sana sana ..

Kulikuwa na tawi la kiwanda hiki hapa DAR ..Hapo mwenge kanunua MCHUNGAJI MWINGIRA ..YEYE kabadili matumizi kinyume kabisa na masharti ya PSRC ...Na kufungua kanisa ...

MASHAMBA

Mashamba mengi tena ambayo yana viwanda nayo hayafanyi kazi au wana kawaida ya kulima karibu na lami ili wakubwa wakipita waone kinafanya kazi wakati sio kweli na hii ndio tabia nchi nzima


HITIMISHO

Nchi hii ilikuwa na viwanda vya kila kitu kuanzia sindano ,wembe ,radio ,nguo, ,nyama,matrekta ,malori etc ..hata waagizaji wa magari kama Landrover ,Layland etc walilazimishwa kama wanataka kuuaza magari tanzania wafungue ASSEMBLY HOUSES na ndio ilikuwa hivyo ikiwa na maana angalau asilimia 20% ya kazi ilifanyika hapa na kutengeneza ajira na kuacha ujuzi ...

Kulikuwa na mtandao wa viwanda karibu 500 vya serikali ambavyo viliuzwa na PSRC ....LAKINI ni vichache sana vipo , tuliwaamini watanzania wenzetu wenye asili ya nje lakini wengi walijitajirisha na kukimbia na kuacha magofu ....kuna viwanda kama KILTEX gongolamboto ambavyo kilikuwa kati ya viwanda bora ,hiki vibaka walifungua kila kitu hadi mabati na kuuaza baada ya kuwa kimtelekezwa .....

Watu wazima wanakumbuka those glory days ambapo asilimia kubwa ya wakazi wa mijini walikuwa wameajiriwa viwandani , wanakaa kwenye nyumba za viwanda, wanasafiri kwenda na kurudi kazini kwenye mabasi ya viwanda , ilikuwa saa kumi wakati tunatoka shule idadi ya mabasi yaliyojaa barabarani kwa viwango vya enzi zile yalikuwa ya viwanda yakirudisha wafanyakazi kwenye quaters zao
Hii iilikuwa welfare ambayo ilikuwa lazima hata kwa viwanda binafsi kufanya huwezi kuruhusiwa kuwa na wafanyakazi 50 kwenda juu bila kuwa na basi la wafanyakazi ....na ikibidi pia kuwa na nyumba za wafanyakazi ....
Kwa viwanda vikubwa ilikuwa lazima kuwa na mpango wa matibabu ....kama hospitali ya wafanyakazi , kwa na mpango wa burudani kwenye makazi yao kama kuwawekea SOCIAL CENTRE , BAND , NA TIMU ZA MAKAZINI ..mpira wa miguu ,pete etc na wachezaji wanakuwa waajiriwa pia ..Viwanda vya pembezoni vilienda hatua moja mbele ya kujenga shule za awali na msingi kwenye nyumba za wafanyakazi .

Mishahara haikuwa mikubwa lakini watu walikuwa na furaha kwa ajili walihudumiwa kwa mambo mengi ....na ukizingatia na elimu ilikuwa bure kweli na matibabu kwa raia wengine bure ..kwa hiyo hutegemei kuombwa pesa na ndugu zako za shule au matibabu ...HUO NDIO ULIKUWA UJAMAA .

Kama mwalimu aliacha viwanda 500 ...kwa miaka 23 ya utawala wake ..ambapo hakuwa akichimba madini zaidi ya Almasi [AMBAYO nayo ilikuwa hauzi ghafi bali iliuzwa baada ya kuchongwa vizuri na kiwanda chetu wenyewe TANCUT ALMASI ] ...leo hatuna TANCUT GOLD ,TANCUT TANZNITE ,TANCUT ,RUBBY etc .., pamoja na kukabiliana na vita vya kagera na vita vya ukombozi kusini mwa afrika , na sera kandamizi za IMF na WORDBANK ....pengine bila vikwazo hivi leo Tanzania ingekuwa taifa linalojitegemea kwa kila kitu ...maana uchumi wetu uliharibiwa na sababu ambazo ziko valid na sio hizi za sasa za ufisadi
Kama kila rais aliyemfuatia Mwalimu angejenga nusu ya viwanda vya Mwalimu kwa kuwa wao wanakaa miaka 10 basi ni wazi leo tungekuwa tunakimbilia viwanda vikubwa 2000 ambavyo vingeweza kuajiri watu moja kwa moja milioni 2 ...na ukijumlisha na huduma mtambuka vingeweza kutengeneza shughuli za kiuchumi[ajira] milioni 8 [ratio 1:4]....watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi wapo milioni 15 ...hao waliobakiwa wangeweza kujiajiri kwa kilimo na biashara au sekta nyingine za ajira kama jeshi,uwalimu etc .....TANZANIA INGEKUWA INATAFUTA WAFANYAKAZI HASA WA MASHAMBANI KAMA ZAMANI TOKA NCHI JIRANI .....

VITA YA KURUDISHA VIWANDA NI VITA TAKATIFU NA MAGUFULI ASIRUDI NYUMA ...BORA KUFUATA MFUMO WA MAGEUZI YA VIWANDA VYA UMMA WA BORIS YELTSIN
 
MOROGORO NI MFANO WA MIKOA AMBAYO WALIONUNUA VIWANDA WAMEKUWA MAATAPELI NA WAONGO ..UKIANZA NA HUYO..


MOHAMED ABOOD

Alinunua viwanda zaidi ya vitatu , MOROGORO CANVAS ,MOROGORO OIL etc

Hakuna kiwanda kinachofanya kazi zaidi tu amevikopea bank ,kiwanda cha Morogoro canvas kilikuwa kiwanda cha mfano duniani na hadi leo mali zake zinauliziwa sokoni ...lakini amekifilisi na kuna hatari ameondoa baadhi ya mitambo
Huyu amefanya tumuamini magufuli kwa kuwa alikuwa ametumia pesa zake kuwafanya wana Morogoro misukule , kwa kutumia radio yake na misaada ya kiswahili kiswahili isiyo na tija kwenye dunia ya sasa ..

Mohamed Enterprises alipewa kiwanda kikubwa kuliko vyote afrika enzi hizo cha POLYTEX ...kinafanya kazi lakini kwa asilimia 30% na bado kinampatia faida kubwa , kiwanda hiki kina changamoto ya kuhamia technology ya makaa ya mawe ili kiweze kuwasha boiler zake na kuongeza uzalishaji .

MOROGORO SHOES COMPANY

Hiki kilipata bahati mbaya kwa kupaata mmiliki tapeli wa kimataida , mwenye sifa ya magendo aina zote , huyo pia ni yule ambaye amepata kuichoma hoteli yake Bagamoyo ili apate pesa ya bima ...na wakati huo hoteli yake ndio ilikuwa nzuri Bagamoyo ya kutegemewa na watalii na serikali kwa mikutano

Alipopewa kiwanda hiki maarufu kwa kutengeneza boot za jeshi ,rabber za shule na matumizi mbali mbali , kiwanda hiki kilikuwa kinapakana kabisa na Morogoro canvas kwa kuwa baadhi ya malighafi zake ni canvas ..kwa hiyo value addition inaendelea mlango wa pili tu ..
Huyu bwana kwa kushirikiana na watu wasiokuwa waaminifu alianza kuhamisha mashine za kiwanda kwa kuzifungua wakati wa usiku na kupeleka kigamboni dar es salaam ambapo alikuwa amejenga gododwn , baada ya kuwa amehamisha mali zote muhimu .....alikiwasha kiwanda kile moto .....kikaungua kabisa ......na kwakuwa alikuwa na bima Alilipwa kiwanda kizima ...akatajirika .........na kuja kufungua kiwanda Kigamboni kwa kutumia mashiine zile kwa jina la ITAL SHOE .


KIWANDA CHA MAN'GULA MOROGORO

Hiki kilikuwa backbone heavy-duty industry cha aina take afrika ...kilikuwa kinauwezo wa kumimina chuma au metal ya aina yeyote hata kama ni engine block ya treni ...ikitegemewa kuwa viwanda vyote vikubwa vingehudumiwa na MAN'GULA ...Kilikuwa kikishirikiana na kiwanda cha KILIMANJARO MASHINE TOOLS ambacho hiki kilikuwa na kazi ya kuchonga spares ndogo ndogo za viwandani .....ikiwa na maana kuwa Tanzania ilikuwa ikijitegemea kwa spares nyepesi na nzito za viwanda vyake ....
Aliyenunua kiwanda cha Mangula ni MCHUNGAJI RWAKATARE ambaye yeye nae kama huyo wa viatu ...amengoa mitambo yake yote ambayo ni world class na kuuza kama scrapper nje ..inasadikiwa kuwa wazungu walioinunua hawakaenda kuyeyusha bali wameikarabati na kuuaza kama complete line kwenye nchi nyingine ...
Karibuni wachina wanaowekeza mradi wa chuma LIGANGA waliomba kwenda kukiona wakitegemea wangeweza kuingia ubia ili kuanza nacho kwenye kutengeneza baadhi ya vitu kwa kutumia chuma yetu ...walishikwa na bumbuwazi kukuta kiwanda kimengolewa ....kwenye directory ya viwanda vizuri vya chuma kipo ndio maana ilikuwa rahisi kushauriwa na washauri wao ambao ni wachina wenzao wakitafute ..walishangaa sana sana ..

Kulikuwa na tawi la kiwanda hiki hapa DAR ..Hapo mwenge kanunua MCHUNGAJI MWINGIRA ..YEYE kabadili matumizi kinyume kabisa na masharti ya PSRC ...Na kufungua kanisa ...

MASHAMBA

Mashamba mengi tena ambayo yana viwanda nayo hayafanyi kazi au wana kawaida ya kulima karibu na lami ili wakubwa wakipita waone kinafanya kazi wakati sio kweli na hii ndio tabia nchi nzima


HITIMISHO

Nchi hii ilikuwa na viwanda vya kila kitu kuanzia sindano ,wembe ,radio ,nguo, ,nyama,matrekta ,malori etc ..hata waagizaji wa magari kama Landrover ,Layland etc walilazimishwa kama wanataka kuuaza magari tanzania wafungue ASSEMBLY HOUSES na ndio ilikuwa hivyo ikiwa na maana angalau asilimia 20% ya kazi ilifanyika hapa na kutengeneza ajira na kuacha ujuzi ...

Kulikuwa na mtandao wa viwanda karibu 500 vya serikali ambavyo viliuzwa na PSRC ....LAKINI ni vichache sana vipo , tuliwaamini watanzania wenzetu wenye asili ya nje lakini wengi walijitajirisha na kukimbia na kuacha magofu ....kuna viwanda kama KILTEX gongolamboto ambavyo kilikuwa kati ya viwanda bora ,hiki vibaka walifungua kila kitu hadi mabati na kuuaza baada ya kuwa kimtelekezwa .....

Watu wazima wanakumbuka those glory days ambapo asilimia kubwa ya wakazi wa mijini walikuwa wameajiriwa viwandani , wanakaa kwenye nyumba za viwanda, wanasafiri kwenda na kurudi kazini kwenye mabasi ya viwanda , ilikuwa saa kumi wakati tunatoka shule idadi ya mabasi yaliyojaa barabarani kwa viwango vya enzi zile yalikuwa ya viwanda yakirudisha wafanyakazi kwenye quaters zao
Hii iilikuwa welfare ambayo ilikuwa lazima hata kwa viwanda binafsi kufanya huwezi kuruhusiwa kuwa na wafanyakazi 50 kwenda juu bila kuwa na basi la wafanyakazi ....na ikibidi pia kuwa na nyumba za wafanyakazi ....
Kwa viwanda vikubwa ilikuwa lazima kuwa na mpango wa matibabu ....kama hospitali ya wafanyakazi , kwa na mpango wa burudani kwenye makazi yao kama kuwawekea SOCIAL CENTRE , BAND , NA TIMU ZA MAKAZINI ..mpira wa miguu ,pete etc na wachezaji wanakuwa waajiriwa pia ..Viwanda vya pembezoni vilienda hatua moja mbele ya kujenga shule za awali na msingi kwenye nyumba za wafanyakazi .

Mishahara haikuwa mikubwa lakini watu walikuwa na furaha kwa ajili walihudumiwa kwa mambo mengi ....na ukizingatia na elimu ilikuwa bure kweli na matibabu kwa raia wengine bure ..kwa hiyo hutegemei kuombwa pesa na ndugu zako za shule au matibabu ...HUO NDIO ULIKUWA UJAMAA .

Kama mwalimu aliacha viwanda 500 ...kwa miaka 23 ya utawala wake ..ambapo hakuwa akichimba madini zaidi ya Almasi [AMBAYO nayo ilikuwa hauzi ghafi bali iliuzwa baada ya kuchongwa vizuri na kiwanda chetu wenyewe TANCUT ALMASI ] ...leo hatuna TANCUT GOLD ,TANCUT TANZNITE ,TANCUT ,RUBBY etc .., pamoja na kukabiliana na vita vya kagera na vita vya ukombozi kusini mwa afrika , na sera kandamizi za IMF na WORDBANK ....pengine bila vikwazo hivi leo Tanzania ingekuwa taifa linalojitegemea kwa kila kitu ...maana uchumi wetu uliharibiwa na sababu ambazo ziko valid na sio hizi za sasa za ufisadi
Kama kila rais aliyemfuatia Mwalimu angejenga nusu ya viwanda vya Mwalimu kwa kuwa wao wanakaa miaka 10 basi ni wazi leo tungekuwa tunakimbilia viwanda vikubwa 2000 ambavyo vingeweza kuajiri watu moja kwa moja milioni 2 ...na ukijumlisha na huduma mtambuka vingeweza kutengeneza shughuli za kiuchumi[ajira] milioni 8 [ratio 1:4]....watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi wapo milioni 15 ...hao waliobakiwa wangeweza kujiajiri kwa kilimo na biashara au sekta nyingine za ajira kama jeshi,uwalimu etc .....TANZANIA INGEKUWA INATAFUTA WAFANYAKAZI HASA WA MASHAMBANI KAMA ZAMANI TOKA NCHI JIRANI .....

VITA YA KURUDISHA VIWANDA NI VITA TAKATIFU NA MAGUFULI ASIRUDI NYUMA ...BORA KUFUATA MFUMO WA MAGEUZI YA VIWANDA VYA UMMA WA BORIS YELTSIN
Phillemon Mikael umenena yote! Umetukumbusha mbali mpaka machozi yamenitoka! Naam awamu ya kwanza ya Ujamaa na Kujitegemea ilianza kuweka misingi madhubuti ambayo kama marais waliofuata wangeizingatia kwa dhati na kuendeleza Mwalimu alipofika Leo hii tungekuwa mbali sana. Lakini wapi! Kila awamu viongozi wetu wakataka kuonyesha wao nao ni wajuaji kumshinda Mwalimu. Wengine wakaenda mbali zaidi na kukejeli Ujamaa ukawa ni Ujamaa wa Mwalimu na sio itikadi ya CCM. Rais wetu mmoja alifika mbali zaidi na kusema "I am the President" baada ya kuukataa ushauri mzuri aliopewa na Mwalimu.

Tunaomba Rais wetu Magufuli akaze buti asirudi nyuma katika kazi ya kufufua viwanda maana ndiyo njia pekee itakayokuza uchumi wa nchi yetu na kutoa ajira kwa vijana wengi sana. Nakumbuka mashamba ya mkonge yalivyoajiri watu kutoka mikoa mbalimbali nchini na Warundi kutoka Burundi, Wajaluo toka Kenya, Wanyasa wa Malawi na Wamakonde wa Msumbiji!
 
Hii ni taarifa nadhani ya tarehe 5 February 2016 ila imeandikwa tarehe 6 January 2016 pia paraghraph ya mwisho Rais kesho tarehe 6 January atahudhuria miaka 39 ya CCM (na kwenye Tovuti hivyo hivyo)
 
Back
Top Bottom