Rais Magufuli, Uwaziri wa Fedha umeteuliwa na nani?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Imekuwa kawaida,kwenye hotuba zako,kusema kuwa utatoa fedha kwa ajili ya jambo fulani. Leo,kule Bariadi mkoani Simiyu,umeahidi kutoa fedha kwa ajili ya kumaliziwa kipande cha barabara. Ukasema tender iwe wiki ijayo.

Kule Bariadi,alikuwapo Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa aliyeishia kupiga makofi tu ya kupokea agizo. Ahadi zako za kutoa fedha kwa mradi fulani hazikuanza Simiyu leo. Imeshakuwa mazoea.

Sisi watanzania tunajua kuwa Dr. John Pombe Magufuli ni Rais wetu. Amechaguliwa hivyo. Tunajua kuwa kuna Wizara tofauti zenye bajeti zake na majukumu yake. Bajeti hupitishwa kila mwaka. Tunajua kuwa Waziri wa Fedha ni Dr. Phillip Mpango

Mhe. Rais,nani kakuteua kuwa Waziri wa Fedha? Pesa unazoahidi na kuzitoa kwa mradi fulani,huwa unazitoa wapi? Leo sigusii hotuba ya Bariadi kwakuwa ilikuwa ni kwa ajili ya 'kutambia' uwanja wa nyumbani

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Imekuwa kawaida,kwenye hotuba zako,kusema kuwa utatoa fedha kwa ajili ya jambo fulani. Leo,kule Bariadi mkoani Simiyu,umeahidi kutoa fedha kwa ajili ya kumaliziwa kipande cha barabara. Ukasema tender iwe wiki ijayo.

Kule Bariadi,alikuwapo Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa aliyeishia kupiga makofi tu ya kupokea agizo. Ahadi zako za kutoa fedha kwa mradi fulani hazikuanza Simiyu leo. Imeshakuwa mazoea.

Sisi watanzania tunajua kuwa Dr. John Pombe Magufuli ni Rais wetu. Amechaguliwa hivyo. Tunajua kuwa kuna Wizara tofauti zenye bajeti zake na majukumu yake. Bajeti hupitishwa kila mwaka. Tunajua kuwa Waziri wa Fedha ni Dr. Phillip Mpango

Mhe. Rais,nani kakuteua kuwa Waziri wa Fedha? Pesa unazoahidi na kuzitoa kwa mradi fulani,huwa unazitoa wapi? Leo sigusii hotuba ya Bariadi kwakuwa ilikuwa ni kwa ajili ya 'kutambia' uwanja wa nyumbani

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
P Kasome katiba vizuri.................
 
Imekuwa kawaida,kwenye hotuba zako,kusema kuwa utatoa fedha kwa ajili ya jambo fulani. Leo,kule Bariadi mkoani Simiyu,umeahidi kutoa fedha kwa ajili ya kumaliziwa kipande cha barabara. Ukasema tender iwe wiki ijayo.

Kule Bariadi,alikuwapo Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa aliyeishia kupiga makofi tu ya kupokea agizo. Ahadi zako za kutoa fedha kwa mradi fulani hazikuanza Simiyu leo. Imeshakuwa mazoea.

Sisi watanzania tunajua kuwa Dr. John Pombe Magufuli ni Rais wetu. Amechaguliwa hivyo. Tunajua kuwa kuna Wizara tofauti zenye bajeti zake na majukumu yake. Bajeti hupitishwa kila mwaka. Tunajua kuwa Waziri wa Fedha ni Dr. Phillip Mpango

Mhe. Rais,nani kakuteua kuwa Waziri wa Fedha? Pesa unazoahidi na kuzitoa kwa mradi fulani,huwa unazitoa wapi? Leo sigusii hotuba ya Bariadi kwakuwa ilikuwa ni kwa ajili ya 'kutambia' uwanja wa nyumbani

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hakuna kitu kinaleta raha kama kuona mkuu wa nchi anafanya maamuzi yenye faida kwa wengi. Jenga barabara fulani. Jenga hospitali fulani, jenga nyumba za wafanyakazi wa serikali, jenga hostel. Na anasema fedha zipo. Na nataka ujenzi uanze mara moja. Hakuna kitu nilikuwa nasubiria kama aina hii ya mkuu. Hayo ya amekuwa lini waziri wa fedha yatakuja baadae. Tumechoka na ngonjera. Sasa ni kazi tu. Asiyependa ujenzi wa barabara asuse asipite kwenye barabara hiyo. Hakuna namna nyingine.
 
Imekuwa kawaida,kwenye hotuba zako,kusema kuwa utatoa fedha kwa ajili ya jambo fulani. Leo,kule Bariadi mkoani Simiyu,umeahidi kutoa fedha kwa ajili ya kumaliziwa kipande cha barabara. Ukasema tender iwe wiki ijayo.

Kule Bariadi,alikuwapo Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa aliyeishia kupiga makofi tu ya kupokea agizo. Ahadi zako za kutoa fedha kwa mradi fulani hazikuanza Simiyu leo. Imeshakuwa mazoea.

Sisi watanzania tunajua kuwa Dr. John Pombe Magufuli ni Rais wetu. Amechaguliwa hivyo. Tunajua kuwa kuna Wizara tofauti zenye bajeti zake na majukumu yake. Bajeti hupitishwa kila mwaka. Tunajua kuwa Waziri wa Fedha ni Dr. Phillip Mpango

Mhe. Rais,nani kakuteua kuwa Waziri wa Fedha? Pesa unazoahidi na kuzitoa kwa mradi fulani,huwa unazitoa wapi? Leo sigusii hotuba ya Bariadi kwakuwa ilikuwa ni kwa ajili ya 'kutambia' uwanja wa nyumbani

Mwafaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
kiongozi yan unatumia nguvu kubwa sana kuhukumu kauli ya Rais Magufuli,, Rais anavyosema atatoa pesa kwa ajili ya hiki, hiki na kile HAIMANISHI KWAMBA RAIS NI WAZIR WA FEDHA,, tambua kuwa Rais ndiye MKUU WA NCHI PIA NI MKUU WA SERIKALI kwa mantiki hiyo basi Rais akisema hivyo mana yake ni kwamba yeye kama mkuu wa nchi ataidhinisha fungu litoke katika miradi mbalimbali
 
P Kasome katiba vizuri.................
Umenena sahihi.

Wasiojua Katiba huja humu na lawama kibao.

Vile vile Rais hakurupuki kutoa maelekezo au maagizo, kama wengi humu kwa jinsi wanavyojifanya wajuaji wa utendaji wa Taasisi ya Urais, japo hata ujumbe wa Serikali ya Mtaa au Kijiji hawajawa wala hawajui wajibu wa huyo mjumbe!!

USILOLIJUA NI KAMA USIKU WA GIZA
 
Hakuna kitu kinaleta raha kama kuona mkuu wa nchi anafanya maamuzi yenye faida kwa wengi. Jenga barabara fulani. Jenga hospitali fulani, jenga nyumba za wafanyakazi wa serikali, jenga hostel. Na anasema fedha zipo. Na nataka ujenzi uanze mara moja. Hakuna kitu nilikuwa nasubiria kama aina hii ya mkuu. Hayo ya amekuwa lini waziri wa fedha yatakuja baadae. Tumechoka na ngonjera. Sasa ni kazi tu. Asiyependa ujenzi wa barabara asuse asipite kwenye barabara hiyo. Hakuna namna nyingine.
Wewe utakuwa ndio walewale Lumumba
 
Tena kuonyesha kweli mnapinga h

Tena kuonyesha kama mnapinga nashauri mgome kupita kwenye hizo barabara na mpite pembeni kwenye nyasi. Na wakati wa uchaguzi mgome kuzipiga deki.
Kwani Barabara mnajenga kwa pesa zenu kutoka mfukoni hadi tugome kupita juu ya Barabara hizo?
 
Umenena sahihi.

Wasiojua Katiba huja humu na lawama kibao.

Vile vile Rais hakurupuki kutoa maelekezo au maagizo, kama wengi humu kwa jinsi wanavyojifanya wajuaji wa utendaji wa Taasisi ya Urais, japo hata ujumbe wa Serikali ya Mtaa au Kijiji hawajawa wala hawajui wajibu wa huyo mjumbe!!

USILOLIJUA NI KAMA USIKU WA GIZA
Unayejua katiba hebu tuelimishe ibara ya ngapi inasema kuwa Raisi ni afisa bajeti mkuu wa serikali anaweza kutunga na kuitekeleza mahala popote. Hii itasaudia kuwafukuza wale wagawana posho wa Dodoma hawana tija kwa sasa. Raisi pekee anatosha
 
Jana kasema yeye ndio mungu ndio anajua kama watanzania wananjaa ama hawana sababu ndie mwenye uwezo pekee wa kuyaona matumbo ya watanzania sio magazeti
 
Back
Top Bottom