Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Rais wetu bado siku chache utimize miaka minne tokea tufanye uchaguzi mwaka 2015
Hakika umefanya mengi ndani ya muda mfupi,utekelezaji wa Ilani unafanyika kwa kasi ,sisi tuliozunguka vijijini kipindi cha kampeni kukuombea kura tunafurahi sana
Ila lile kundi la watu wachache ambao hawakutaka uchaguliwe ndio wanatamani ushindwe hili waseme ilikua nguvu ya soda
SISI TULIOKUPIGIA KURA NA TULIKUOMBEA KURA VIJIJINI ,TUNATAKA KASI IONGEZEKE NA USICHOKE KUCHUKUA HATUA ,Pamoja wapiga Ramli wanataka uache kuchukua hatua ,hili uingie katika kumbukumbu kuwa mwishoni ulichoka
Hakika umefanya mengi ndani ya muda mfupi,utekelezaji wa Ilani unafanyika kwa kasi ,sisi tuliozunguka vijijini kipindi cha kampeni kukuombea kura tunafurahi sana
Ila lile kundi la watu wachache ambao hawakutaka uchaguliwe ndio wanatamani ushindwe hili waseme ilikua nguvu ya soda
SISI TULIOKUPIGIA KURA NA TULIKUOMBEA KURA VIJIJINI ,TUNATAKA KASI IONGEZEKE NA USICHOKE KUCHUKUA HATUA ,Pamoja wapiga Ramli wanataka uache kuchukua hatua ,hili uingie katika kumbukumbu kuwa mwishoni ulichoka