Sasa ulitaka awaambie wachague Saccoss ya MBowe ili wakaendelee kupinga maendeleo? Bajeti yenyewe ya uchaguzi waligoma kupitisha nashangaa hata kuwaona wapo kwenye majukwaa wanajinadi bila hata aibu. Nadhani kwa upande fulani walipaswa wawashukuru wabunge wa CCM kwa kupitisha bajeti ambayo imewafanya hata sasa wakawa na uwezo wa kupanda majukwaani kumtukana JPM.uchaguzi maana yake ni kuchagua kiongozi bora miongoni mwa wale wanaogombea, wananchi ndio tunaelewa yupi ni kiongozi sahihi na atakayetufaa,
lasivyo basi hakuna haja ya uchaguzi
si mara ya kwanza nakusikia ukiwasiaitiza wananchi wachague kiongozi fulani bila hivyo huwapi maendelelo,
sasa uchaguzi ni wa nini sasa?
halafu tangu lini hii nchi maendeleo yakawa ni hisani ya mtu?
maendeleo hayaletwi na mtu maana hatoi hela zake mfukoni, maendeleo ni kodi za watanzania, yanini kutishanatishana sasa?
huu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu sana, sisi ni watu wazima yunajielewa tusipangiane
sasa mimi niko tunduma na ninasema silinde simpi kura wala wewe sikupi kura, kama maendeleo usiyalete sasa!
watu wote watapita ila tunduma itabaki, tumezaliwa tumeikuta na tutaicha tusitishane
Ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu kumzomea Rais wa nchi.ifike mahali azomewe kwa nguvu zote
Sasa ulitaka awaambie wachague Saccoss ya MBowe ili wakaendelee kupinga maendeleo? Bajeti yenyewe ya uchaguzi waligoma kupitisha nashangaa hata kuwaona wapo kwenye majukwaa wanajinadi bila hata aibu. Nadhani kwa upande fulani walipaswa wawashukuru wabunge wa CCM kwa kupitisha bajeti ambayo imewafanya hata sasa wakawa na uwezo wa kupanda majukwaani kumtukana JPM.
Una akili ya hovyo sana.Sasa ulitaka awaambie wachague Saccoss ya MBowe ili wakaendelee kupinga maendeleo? Bajeti yenyewe ya uchaguzi waligoma kupitisha nashangaa hata kuwaona wapo kwenye majukwaa wanajinadi bila hata aibu. Nadhani kwa upande fulani walipaswa wawashukuru wabunge wa CCM kwa kupitisha bajeti ambayo imewafanya hata sasa wakawa na uwezo wa kupanda majukwaani kumtukana JPM.
Wengine watampa kwani Tunduma wewe ni mpiga kura pekee yako??uchaguzi maana yake ni kuchagua kiongozi bora miongoni mwa wale wanaogombea, wananchi ndio tunaelewa yupi ni kiongozi sahihi na atakayetufaa,
lasivyo basi hakuna haja ya uchaguzi
si mara ya kwanza nakusikia ukiwasiaitiza wananchi wachague kiongozi fulani bila hivyo huwapi maendelelo,
sasa uchaguzi ni wa nini sasa?
halafu tangu lini hii nchi maendeleo yakawa ni hisani ya mtu?
maendeleo hayaletwi na mtu maana hatoi hela zake mfukoni, maendeleo ni kodi za watanzania, yanini kutishanatishana sasa?
wewe nadi sera zako, waombee kura wagombea wako, maamuzi tuachie sisi
huu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu sana, sisi ni watu wazima tunajielewa tusipangiane
sasa mimi niko tunduma na ninasema silinde simpi kura wala wewe sikupi kura, kama maendeleo usiyalete sasa!
watu wote watapita ila tunduma itabaki, tumezaliwa tumeikuta na tutaicha tusitishaneView attachment 1587143
Yeye ndiyo mwenye maamuzi kwani hujui?Utadhani hizo pesa za maendeleo anatoa mfukoni kwake, huyu mzee wa kupima akili.
Usijitoe akili, Tunduma siku zote hawapendi ujinga ujinga, hata bosi wako anajua ndio maana anaropoka tu.Wengine watampa kwani Tunduma wewe ni mpiga kura pekee yako??
Hiloooooo Oooooo!!!ifike mahali azomewe kwa nguvu zote
Maamuzi ya kupendelea wapi pa kupeleka maendeleo hayatufai, na huyo mwenye hayo maamuzi nae hatufai.Yeye ndiyo mwenye maamuzi kwani hujui?
Umemuelewa lkn Mtoa mada? Au umeona tu uwahi nafasi? Nini maana ya Uchaguzi chini ya Mfumo wa Vyama Vingi?Sasa ulitaka awaambie wachague Saccoss ya MBowe ili wakaendelee kupinga maendeleo? Bajeti yenyewe ya uchaguzi waligoma kupitisha nashangaa hata kuwaona wapo kwenye majukwaa wanajinadi bila hata aibu. Nadhani kwa upande fulani walipaswa wawashukuru wabunge wa CCM kwa kupitisha bajeti ambayo imewafanya hata sasa wakawa na uwezo wa kupanda majukwaani kumtukana JPM.
ifike muda popote anapoongea vitu kama hivyo afanyiwe kama walivyofanya wahaya Bukoba atapata adabu. Pia na yeye ajue Lissu atampelekea maji na umeme Chato ili astaafu vizuriuchaguzi maana yake ni kuchagua kiongozi bora miongoni mwa wale wanaogombea, wananchi ndio tunaelewa yupi ni kiongozi sahihi na atakayetufaa,
lasivyo basi hakuna haja ya uchaguzi
si mara ya kwanza nakusikia ukiwasiaitiza wananchi wachague kiongozi fulani bila hivyo huwapi maendelelo,
sasa uchaguzi ni wa nini sasa?
halafu tangu lini hii nchi maendeleo yakawa ni hisani ya mtu?
maendeleo hayaletwi na mtu maana hatoi hela zake mfukoni, maendeleo ni kodi za watanzania, yanini kutishanatishana sasa?
wewe nadi sera zako, waombee kura wagombea wako, maamuzi tuachie sisi
huu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu sana, sisi ni watu wazima tunajielewa tusipangiane
sasa mimi niko tunduma na ninasema silinde simpi kura wala wewe sikupi kura, kama maendeleo usiyalete sasa!
watu wote watapita ila tunduma itabaki, tumezaliwa tumeikuta na tutaicha tusitishaneView attachment 1587143
Hastahili kupewa nidhamu kabisa Raisi kama huyuNi utovu wa nidhamu wa hali ya juu kumzomea Rais wa nchi.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI