Clemence Baraka
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,693
- 652
Alishindwa uchaguzi huko kanda ya ziwa.tunaomba cv ya mwandishi
Alishindwa uchaguzi huko kanda ya ziwa.tunaomba cv ya mwandishi
Wengine hata vikishuka hamjui Na uwezo WA kujenga haupo. Kwa tarifa fupi Tu bei cement Dar August 2015 ilikuwa 13500 kwa sasa inauzwa kati ya 10000 na 11000 kwa reja reja. Ishuke kwa kiwango gani.au ni mkumbp tuTuliahidiwa kushuka kwa vifaa vya ujenzi kinyume chake sasa ndo bei juu kwa kuongeza kodi. Hii sasa ndo hapa kazi siyo?
Nyie mnaolilia bunge live hadi leo mmeula wa chuya kwa sababu Rais Magufuli in kiongozi mweledi sana anayejua vizuri sana juu ya mahitaji ya asilimia 80 ya wananchi anaowaongoza. Hii asilimia 80 ya wananchi bunge live sio hitaji muhimu kwao! Kwa taarifa tu mie ni miongoni mwa hiyo asilimia 80 ya wananchi tusiohitaji hill Bunge live maana bunge live halituletei maendeleo. Sisi asililimia 80 tangu Magufuli aingie madarakani tunaona MAENDELEO LIVE kila kukicha! Kwa mfano maskini wa eneo letu tulikuwa hatuna ndoto ya kupata umeme tulikuwa tukiona nguzo za umeme zikienda kwa wenye fedha. Sisi tunaambiwa tukitaka umeme tununue nguzo kwa gharama ya laki tatu na zaidi. Lakini ameingia Magufuli nguzo zinatandazwa kwa kasi ya ajabu ambayo hatujawahi kuiona. Barabara zinakarabatiwa na mpya kujengwa kila Siku! Wanafunzi waliokuwa wanaketi chini miaka nenda rudi sasa wana matumainivya kuketi kwenye madawati ..... Ilimradi sasa tumepata Rais anayeleta maendeleo live kwa wananchi. Sasa hivi asilimia 80 ya wananchi maskini wa nchi hii wanaona na kujisikia wamepata Rais anayewajali kwa dhati na ambaye hajatokea tangu Nyerere aondoke madarakani! Enyi asilimia 20 hebu acheni ubinafsi wenu na muwahurumie asilimia 80 ambao Rais Magufuli ameamua kuwashughulikia na kuwasaidia kwa hali na Mali.
Lakini ukitaka kuendesha gari salama lazima kioo cha mbele kiwe kisafi sanaAya ya kwanza imemlenga na imeelezea udhaifu wake na jinsi asivyopenda kukosolewa.
Thread hii imeshamaliza kila kituJamani msimseme JPM, mwenyewe alishasema kuongoza nchi ni kazi kweli kweli, si mlimsikia mrisho mpoto akiimba ,
[Verse 1 – Mrisho Mpoto]
Karibu sana Sizonje, hii ndo nyumba yetu
Tulipoficha mundu za kupondea wezi
Kwani, makaburi yaliofukuliwa lazima yazikwe upya?
Nyumba hii Sizonje ina vyumba vinne
Vitatu havifunguki, kimoja hakina mlango
Japo kuwa kina watu ndani, na hawaongei kiswahili
Wenyeji wanalala sebleni na walishazoea
Sizonje kule tulipotoka panaitwa jikoni
Huna haja ya kwenda kule, kumejaa mafundi wa kupika
Sasa hivi wanakupikia wewe ili ule ulale
Ukiamka muongee nini hasa ujio na dhima ya safari yako
Wanashangaa mbona ghafla
Samahani sana mgeni
Wapishi wameniomba kwamba
Nikuulize tena kwa kukuomba kwamba
Eti unapenda vya mafuta au vya nazi?
Wanataka kukuonyesha madoido katika mapishi yao Sizonje
Sizonje chumba hiki naomba usiingie
Ukimaliza nitakwambia kwanini
Kuna sauti inajirudia mara kwa mara
Na hapa mlangoni kulikuwa na picha mbili kubwa
Moja picha, nyingine mchoro wa picha wa kwanza
Ninachokumbuka iliwahi kuandikwa
“USIYEMTAKA KAJA”
Hatukuwahi kuelewa maana yake
Labda kwa sababu ya ujio wako unaweza kutusaidia
JPM anahitaji msaada wa watu wake wa karibu a.k.a watu wa idara.
Kama ndo hivyo basi tujitoe katika hili jinamizi la demokrasi na tuishi kwa kutumia falsafa yetu wenyewe.Lazima atakusoma ama kusomewa...........tatizo anatawala kwa mkakati aliojiwekea.
Demokrasia ya vyama vingi ndio imetufikisha hapa, kwenye umasikini wa kutupwa.
JPM anajaribu kujenga uchumi kupitia mfumo wa chama kimoja............labda tutatoka.
Akiona hii ya kuwabinya wapinzani haizai matunda, huenda tukashuhudia makubwa zaidi (Mungu aepushie mbali).
ushauri wangu; vyama vya siasa vyote vifutwe, sote turudi ccm tujenge nchi. Hapa Kazi Tu
Wala hakuna haja ya kusoma yote! Ukiona mtu kaanza na 'bunge live' unajua tu yanayofuata yana maudhui gani!!Hivi umesoma aliachoandika au umesoma kichwa cha habari tu?
Mkuu ukiangalia hii budget ndio imechukua hata kile kidogo cha wanyonge mtasikia mdaa si mrefu.. hivi huko kwako sukari inapatikana kwa 1800Tunaambiwa kuwa budget ya mwaka ni mtetezi wa wanyonge na watu hali ya chini. Je kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Kweli kwa nyie mnaotetea one man show hii thread inachoma sanaWala hakuna haja ya kusoma yote! Ukiona mtu kaanza na 'bunge live' unajua tu yanayofuata yana maudhui gani!!
Ukiwa niwakusifia hii thread inachoma sana
Unafikiri watanzania wote waishi dar? Usikurupuke tu. Na pia vifaa vya ujenzi si cement tu. Ongezeko la kodi from 10% up to 25%Wengine hata vikishuka hamjui Na uwezo WA kujenga haupo. Kwa tarifa fupi Tu bei cement Dar August 2015 ilikuwa 13500 kwa sasa inauzwa kati ya 10000 na 11000 kwa reja reja. Ishuke kwa kiwango gani.au ni mkumbp tu
Utakuwa umeparalyse na CDM.Thread hii imeshamaliza kila kitu
Nyie mnaotafutaga 'data' sahihi ndio mnaotuleteaga shida tu! Hivi wewe huuoni umaskini ulivyotamalaki nchini mpaka upewe data sahihi! Ama kweli Nyerere alikuwa sahihi aliposema 'Tanzania itajengwa na wenye moyo!'Claim yako ni nzuri sana ila inahitaji data ili iwe ni kweli au la. Halafu hizo percentages zako umezipataje? Halafu taasisi za serikali na siziso za serikali kama MCT sijui kwa nini hawafanyi tafiti katika masuala kama haya ili kuisaidia nchi.
Ungesoma alichoandika yeyeUnajuaje kama inachoma...wewe ndiye uliyeandika sasa how do you know kuwa inachoma? Yaani unaandika wewe halafu una-judge mwenyewe, uandishi gani wa aina hii???!!! Huo ni uanaharakati, na unafahamu sifa za wanaharakati... Ok unasema ikiwa ni wa kusifia tu...je, inakuwaje kwa yule wa kushutumu, kulalamika na kuponda each and everything???
Hata wale waliokua wanacheza kale ka nyimbo ccm ni ile ile wamepotea kabisa wamebaki wakina Lizabona na wakudadavua nao pumzi zinakata sanaUnafikiri watanzania wote waishi dar? Usikurupuke tu. Na pia vifaa vya ujenzi si cement tu. Ongezeko la kodi from 10% up to 25%