Rais Magufuli una ujasiri jukwaani tu

Rais Magufuli una ujasiri jukwaani tu

Ninayofundishwa chuo na kinachoendelea nchini kwangu ni vitu viwili tofauti. Huku naambiwa serikali inapata uhalali wa kuendesha maisha yangu kwa kuwa nimeipa ridhaa hiyo na kwamba mimi ndiye muamuzi wa mwisho juu mustakabali wa maisha yangu na namna ambavyo serikali inapaswa kuongoza. Kinachoendelea daaah serikali inavunja mkataba tulioutengeneza baina yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom