Hii ya leo ni funga kazi! Wananchi tunajiuliza. Dunia mzima inatoa takwimu za uongo au ni Vipimo vyetu tu ndo vinadanganya au Wataalamu wetu tu ndo hawana ujuzi stahiki wa kuvitumia?
Maswali mengine tunayojiuliza na yametuvuraga sana sana ni :-
Je, kuanzia leo watu hawapimwi tena Korona? Watapimwaje na Vipimo vimepima mbuzi zikawa positive?
Kuanzia leo Waziri Mkuu na Waziri wa Afya hawatatoa tena update za walioambikizwa wala waliopona! Watazitoa wapi wakati vipimo haviko sawa?
Ni nani atakubali kuambiwa yuko positive wakati hata mapapai yako positive?
Walioko chini ya uangalizi wa wataalamu wataendelea kubaki huko wakati kipimo kilichowapima kimepima mafenesi na yamekutwa na Corona? Wana uhakika gani kama kweli wanaumwa wakati vipimo haviko sawia?
Ugonjwa upo na unaua na Rais amekiri hivyo, mbona hasemi mikakati iliyowazi kuudhibiti?
Kila siku tunaambiwa ni Vita vya kiuchumi, hilo liko wazi na hasa kwa mataifa makubwa.
Lakini hapa tunajiuliza pia, kwani hii Vita ya kiuchumi imeelekezwa Tanzania pekee? Yaani sisi ndo walengwa wakuu wa hii Vita ya kiuchumi kupitia Korona!? Mbona kama sielewi
Tukiacha kufuata ushauri wa kitaalamu wa WHO na wengine mataifa mengine wakafuata, huo uchumi wetu wenyewe hautegemei hizo nchi?
Tukijifungia ndani ya mikoa yetu au hata wilaya zetu (simaanishi watu wote kuwa ndani) halafu tukaruhusu safari za mizigo tu kwa utaratibu maalum kwa wiki kadhaa huo uchumi unaokufa kwa wiki tatu hadi sita tutashindwa kweli kuufufua kwa miaka kadhaa ijayo baada ya Korona?
Kwa kweli Mimi nimevurugwa kabisa! Yaani Mkuu wetu anasema Ugonjwa upo na unaua kweli kweli!! Halafu anasisitiza tena tuendelee kuchapa kazi it is not to that extent!!!
Hiyo to that extent anayotaka ifikiwe ni hadi tufe Milioni moja ndo waamini kwamba it is that extent!?!? Kwamba waanze kuzikwa watu 1000+ kwa siku ndo watakubali it is that extent!?
KWA MAONI YANGU HOTUBA KAMA HII YA LEO NDO INAWEZA KULETA TAHARUKI KWA JAMII KULIKO HATA HIZO IDADI ZA VIFO NA MAAMBUKIZI ZINAZOPINGWA NA KINA MWIGULU
Mstaafu Kikwete aliwahi kusema "za kuambiwa changanya na zako"
Stay home be safe! Vingine vyote tutakufa na wanaotuzika watakosekana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali mengine tunayojiuliza na yametuvuraga sana sana ni :-
Je, kuanzia leo watu hawapimwi tena Korona? Watapimwaje na Vipimo vimepima mbuzi zikawa positive?
Kuanzia leo Waziri Mkuu na Waziri wa Afya hawatatoa tena update za walioambikizwa wala waliopona! Watazitoa wapi wakati vipimo haviko sawa?
Ni nani atakubali kuambiwa yuko positive wakati hata mapapai yako positive?
Walioko chini ya uangalizi wa wataalamu wataendelea kubaki huko wakati kipimo kilichowapima kimepima mafenesi na yamekutwa na Corona? Wana uhakika gani kama kweli wanaumwa wakati vipimo haviko sawia?
Ugonjwa upo na unaua na Rais amekiri hivyo, mbona hasemi mikakati iliyowazi kuudhibiti?
Kila siku tunaambiwa ni Vita vya kiuchumi, hilo liko wazi na hasa kwa mataifa makubwa.
Lakini hapa tunajiuliza pia, kwani hii Vita ya kiuchumi imeelekezwa Tanzania pekee? Yaani sisi ndo walengwa wakuu wa hii Vita ya kiuchumi kupitia Korona!? Mbona kama sielewi
Tukiacha kufuata ushauri wa kitaalamu wa WHO na wengine mataifa mengine wakafuata, huo uchumi wetu wenyewe hautegemei hizo nchi?
Tukijifungia ndani ya mikoa yetu au hata wilaya zetu (simaanishi watu wote kuwa ndani) halafu tukaruhusu safari za mizigo tu kwa utaratibu maalum kwa wiki kadhaa huo uchumi unaokufa kwa wiki tatu hadi sita tutashindwa kweli kuufufua kwa miaka kadhaa ijayo baada ya Korona?
Kwa kweli Mimi nimevurugwa kabisa! Yaani Mkuu wetu anasema Ugonjwa upo na unaua kweli kweli!! Halafu anasisitiza tena tuendelee kuchapa kazi it is not to that extent!!!
Hiyo to that extent anayotaka ifikiwe ni hadi tufe Milioni moja ndo waamini kwamba it is that extent!?!? Kwamba waanze kuzikwa watu 1000+ kwa siku ndo watakubali it is that extent!?
KWA MAONI YANGU HOTUBA KAMA HII YA LEO NDO INAWEZA KULETA TAHARUKI KWA JAMII KULIKO HATA HIZO IDADI ZA VIFO NA MAAMBUKIZI ZINAZOPINGWA NA KINA MWIGULU
Mstaafu Kikwete aliwahi kusema "za kuambiwa changanya na zako"
Stay home be safe! Vingine vyote tutakufa na wanaotuzika watakosekana!
Sent using Jamii Forums mobile app