pundadumeafrika
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,618
- 2,076
Ivi Tito na yeye CCM ?
Ivi kwa nini mabwabwa wengi wanakuwa kwenye hiki chama ?
Ivi kwa nini mabwabwa wengi wanakuwa kwenye hiki chama ?
Hakika CCM hivi sasa ina-survive kwa ajili ya "kubebwa* na vyombo vya Umma hivyo viwili, yaani Jeshi la Polisi nchini Plus TISS
Hii ni moja ya theory mbovu sana inayowa-cost sana wapinzani nchini.
Siri moja wapo ya vita ni kuijua nguvu ya adui wako kwa uhalisia wake na sio kujifariji. Mwenye masikio na asikie.
Without those two State organs, there is no CCM!
[emoji23]nabii tito alisema kaanza kukazwa miaka ya 90Na wewe unauza nini hapo Lumumba?View attachment 1270000
Unapiga bomu mochwari na kujisifu kuwa umeua!!!!!Kwa sababu hata wewe huwa unasema kuwa, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, basi acha nami nikuambie ukweli tupu.
Wapinzani unaowachukia leo ndio walisababisha wewe ukawa Rais, bahati nzuri hata wewe unalijua hilo na mara nyingi umeongea kuwa uliokota embe kwenye mti wa mwarobaini.
Chama chako CCM kimeshakufa, nguvu pekee ya CCM ni Police na TISS.
CCM imebakiwa na kundi la watu wachache wanafiki ambao lengo lao ni kushibisha matumbo yao na baadhi ya illiterates wasiojua lolote.
Hao watu ni hatari na iko siku watakukana hadharani kama wanavyomkana JK leo.
Haukuwa mpango wa CCM kukupa urais, Mungu alisimama upande wako ili nawe usimame na watanzania lakini imekuwa kinyume.
Kila siku umekuwa wa kusifiwa tu, yaani hukosei, sifa anazostahili kupewa Mungu zinakuja kwako, eti hakuna kukosoa.
TBC 24/7 ina vipindi vya kusifia tu bila kukosoa, kuna serikali duniani isiyokosea?
Umetunyima haki yetu ya msingi ya kuchagua viongozi tunaowataka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuwa mpinzani Tanzania imekuwa uhaini, eti ni lazima CCM itawale.
Bahati mbaya kwako waliopaswa kukueleza ukweli ni viongozi wa dini kumbe nao ni ma agents wa CCM na serikali waliojificha kwenye koti la utumishi wa Mungu.
Eti kila Mtumishi wa Mungu anakusifia, ni binadamu gani wewe usiyekosea?
Hawa watu hawakusifii bali wanakusanifu ili wapate kula.
Uchaguzi wa serikali za mitaa ungeuacha ili upime juhudi zako zinavyokubalika kwa wananchi, Kitendo cha kukimbia uchaguzi mdogo kama huo ni dalili kwamba 2020 hakuna uchaguzi kabisa.
Ni kwa nini wapinzani wamekuwa adui kiasi hicho?
1. Wanazuia manunuzi ya ndege?
2. Wanakwamisha mradi wa Stiglers Gorge?
3. Wanakwamisha ujenzi wa SGR?
4. Wanakwamisha ujio wa mkoa wa Rubondo?
5. Wanashawishi wananchi waichukie serikali?
Lakini wanawezaje kushawishi wakati mikutano uliipiga marufuku na halafu tunaambiwa kuwa wananchi wanaipenda sana serikali yao.
Tunajua ya kwamba wewe ni mchapa kazi, kwa hiyo hakukuwa na sababu ya kuwafanyia hila wapinzani, utendaji wako ungeonekana kwenye sanduku la kura tu.
Sifa bila kasoro anastahili Mungu tu, zaidi ya hapo chukizo kwa Mungu.
Ulisoma mpaka darasa la ngapi kwani?My Son drink water,
Tuondolee upumbavu kama maisha yamekushinda kapambane na hali yako. JPM watanzania tunamkubali na tunampenda na tunaendelea kumuombea kwa Mungu. Wanaomnenea mabaya washindwe wao.
Taifa lina hasara ya kuwa na wapumbavu kama weweMy Son drink water,
Tuondolee upumbavu kama maisha yamekushinda kapambane na hali yako. JPM watanzania tunamkubali na tunampenda na tunaendelea kumuombea kwa Mungu. Wanaomnenea mabaya washindwe wao.
Imeandikwa , Mshahara wa dhambi ni mauti .Kwa sababu hata wewe huwa unasema kuwa, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, basi acha nami nikuambie ukweli tupu.
Wapinzani unaowachukia leo ndio walisababisha wewe ukawa Rais, bahati nzuri hata wewe unalijua hilo na mara nyingi umeongea kuwa uliokota embe kwenye mti wa mwarobaini.
Chama chako CCM kimeshakufa, nguvu pekee ya CCM ni Police na TISS.
CCM imebakiwa na kundi la watu wachache wanafiki ambao lengo lao ni kushibisha matumbo yao na baadhi ya illiterates wasiojua lolote.
Hao watu ni hatari na iko siku watakukana hadharani kama wanavyomkana JK leo.
Haukuwa mpango wa CCM kukupa urais, Mungu alisimama upande wako ili nawe usimame na watanzania lakini imekuwa kinyume.
Kila siku umekuwa wa kusifiwa tu, yaani hukosei, sifa anazostahili kupewa Mungu zinakuja kwako, eti hakuna kukosoa.
TBC 24/7 ina vipindi vya kusifia tu bila kukosoa, kuna serikali duniani isiyokosea?
Umetunyima haki yetu ya msingi ya kuchagua viongozi tunaowataka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuwa mpinzani Tanzania imekuwa uhaini, eti ni lazima CCM itawale.
Bahati mbaya kwako waliopaswa kukueleza ukweli ni viongozi wa dini kumbe nao ni ma agents wa CCM na serikali waliojificha kwenye koti la utumishi wa Mungu.
Eti kila Mtumishi wa Mungu anakusifia, ni binadamu gani wewe usiyekosea?
Hawa watu hawakusifii bali wanakusanifu ili wapate kula.
Uchaguzi wa serikali za mitaa ungeuacha ili upime juhudi zako zinavyokubalika kwa wananchi, Kitendo cha kukimbia uchaguzi mdogo kama huo ni dalili kwamba 2020 hakuna uchaguzi kabisa.
Ni kwa nini wapinzani wamekuwa adui kiasi hicho?
1. Wanazuia manunuzi ya ndege?
2. Wanakwamisha mradi wa Stiglers Gorge?
3. Wanakwamisha ujenzi wa SGR?
4. Wanakwamisha ujio wa mkoa wa Rubondo?
5. Wanashawishi wananchi waichukie serikali?
Lakini wanawezaje kushawishi wakati mikutano uliipiga marufuku na halafu tunaambiwa kuwa wananchi wanaipenda sana serikali yao.
Tunajua ya kwamba wewe ni mchapa kazi, kwa hiyo hakukuwa na sababu ya kuwafanyia hila wapinzani, utendaji wako ungeonekana kwenye sanduku la kura tu.
Sifa bila kasoro anastahili Mungu tu, zaidi ya hapo chukizo kwa Mungu.
Kwanini unalitumia hili fungu kuwaangalia watawala tu? ? Fungu lenyewe linasema ' LAKINI MAOVU YENU YAMEWAFARAKISHA NINYI NA MUNGU ' wapi lilipotaja watawala? ? Hivi unawezaje kuona kibanzi cha jicho la mwenzako wakati una boriti kwenye jicho lako. ? Wewe maovu yako yaliyokufarakanisha na Mungu ni yepi? ? Unaishije na familia na ndugu zako? ?"TAZAMA mkono wa Bwana haukupungua hata usiweze kuokoa wala sikio lake si zito hata lisiweze kukusikia wewe......LAKINI MAOVU YENU YAMEWAFARAKISHA NINYI NA MUNGU NA DHAMBI ZENU ZIMEWAFANYA USO WAKE MUNGU MSIUONE.....
Tz inapitia laana hii
Watawala wamekuwa waovu kupitiliza
Maandiko Matakatifu ni maisha tunaishi kila sikuKwanini unalitumia hili fungu kuwaangalia watawala tu? ? Fungu lenyewe linasema ' LAKINI MAOVU YENU YAMEWAFARAKISHA NINYI NA MUNGU ' wapi lilipotaja watawala? ? Hivi unawezaje kuona kibanzi cha jicho la mwenzako wakati una boriti kwenye jicho lako. ? Wewe maovu yako yaliyokufarakanisha na Mungu ni yepi? ? Unaishije na familia na ndugu zako? ?
Tito 3:1-2 Pamoja na 1petro 2:13-17. Tii mamlaka iliyowekwa na Mungu. Na mpe heshima mfalme
My Son drink water,
Tuondolee upumbavu kama maisha yamekushinda kapambane na hali yako. JPM watanzania tunamkubali na tunampenda na tunaendelea kumuombea kwa Mungu. Wanaomnenea mabaya washindwe wao.
My Son drink water,
Tuondolee upumbavu kama maisha yamekushinda kapambane na hali yako. JPM watanzania tunamkubali na tunampenda na tunaendelea kumuombea kwa Mungu. Wanaomnenea mabaya washindwe wao.
Unaamini mungu ndie alie muumba shetani?Kama hadi mungu alisimama upande wa magu kuhakikisha anapata uraisi basi sio wananchi tu waliobugi kumpigia kura hadi mungu naye alibugi
Ila vitendo vyake ovu havijatoka kwa Mungu.JPM anawakilisha maono ya wengi, na hivyo wanaomsupport wanafanya hivyo wakiamini anawawakilisha katika kuyatimiza maono yao.
Binafsi naamini kabisa nafasi kama ya Urais, huwa inatoka kwa Mungu, naona hata wewe umekiri. Tumsupport ayatimize yale aliyopangiwa kuyatimiza, muda wake ukipita tutamkaribisha mwingine, till then its Magu all the way, you have to accept that man, that is the reality.
Ukweli mwingine mchungu nyumba kuu inaanguka. Mkakati peeke uliyobaki ni kujitahidi kuwakana wale wote wanaokupotosha kwa kusifia bila kuona dosari na kusimama upande wa wananchi.Kwa sababu hata wewe huwa unasema kuwa, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, basi acha nami nikuambie ukweli tupu.
Wapinzani unaowachukia leo ndio walisababisha wewe ukawa Rais, bahati nzuri hata wewe unalijua hilo na mara nyingi umeongea kuwa uliokota embe kwenye mti wa mwarobaini.
Chama chako CCM kimeshakufa, nguvu pekee ya CCM ni Police na TISS.
CCM imebakiwa na kundi la watu wachache wanafiki ambao lengo lao ni kushibisha matumbo yao na baadhi ya illiterates wasiojua lolote.
Hao watu ni hatari na iko siku watakukana hadharani kama wanavyomkana JK leo.
Haukuwa mpango wa CCM kukupa urais, Mungu alisimama upande wako ili nawe usimame na watanzania lakini imekuwa kinyume.
Kila siku umekuwa wa kusifiwa tu, yaani hukosei, sifa anazostahili kupewa Mungu zinakuja kwako, eti hakuna kukosoa.
TBC 24/7 ina vipindi vya kusifia tu bila kukosoa, kuna serikali duniani isiyokosea?
Umetunyima haki yetu ya msingi ya kuchagua viongozi tunaowataka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuwa mpinzani Tanzania imekuwa uhaini, eti ni lazima CCM itawale.
Bahati mbaya kwako waliopaswa kukueleza ukweli ni viongozi wa dini kumbe nao ni ma agents wa CCM na serikali waliojificha kwenye koti la utumishi wa Mungu.
Eti kila Mtumishi wa Mungu anakusifia, ni binadamu gani wewe usiyekosea?
Hawa watu hawakusifii bali wanakusanifu ili wapate kula.
Uchaguzi wa serikali za mitaa ungeuacha ili upime juhudi zako zinavyokubalika kwa wananchi, Kitendo cha kukimbia uchaguzi mdogo kama huo ni dalili kwamba 2020 hakuna uchaguzi kabisa.
Ni kwa nini wapinzani wamekuwa adui kiasi hicho?
1. Wanazuia manunuzi ya ndege?
2. Wanakwamisha mradi wa Stiglers Gorge?
3. Wanakwamisha ujenzi wa SGR?
4. Wanakwamisha ujio wa mkoa wa Rubondo?
5. Wanashawishi wananchi waichukie serikali?
Lakini wanawezaje kushawishi wakati mikutano uliipiga marufuku na halafu tunaambiwa kuwa wananchi wanaipenda sana serikali yao.
Tunajua ya kwamba wewe ni mchapa kazi, kwa hiyo hakukuwa na sababu ya kuwafanyia hila wapinzani, utendaji wako ungeonekana kwenye sanduku la kura tu.
Sifa bila kasoro anastahili Mungu tu, zaidi ya hapo chukizo kwa Mungu.
We barmaid sijui bar attendee huoni aibu kujidhalilisha humuKwa akili hizi ndo maana wazungu wanatudharau
[emoji116]
Ana ubaya gani huyu baba? mazuri hatuyaoni? Manung'uniko yaliwachelewesha waisraeli kuingia nchi ya ahadi..
Kwa hiyo kumbe ni msafi 100%? Hongera sana kupata Rais asiye na kasoro