Rais Magufuli, umemuudhi Mungu

Rais Magufuli, umemuudhi Mungu

Pole mkuu hakuna tiba zaidi ya mionzi!
Hakika CCM hivi sasa ina-survive kwa ajili ya "kubebwa* na vyombo vya Umma hivyo viwili, yaani Jeshi la Polisi nchini Plus TISS

Without those two State organs, there is no CCM!
 
Mkuu My Son drink water! Hata yeye JPM anajua kuwa CCM imekufa ndo maana ametumia ubabe na vitisho kututeulia viongozi wa Serekali za Mitaa ambao kwa mjibu wa sheria ya uchaguzi wananchi tulipaswa kuwachagua.

Pia JPM anatumia mabilioni ya TzS kununua viongozi wa upinzani ili kujaribu kuinusulu CCM.
 
Mmojawapo ya waliosemwa na mleta uzi ni wewe.
Ukiwa na akili timamu huwezi kufanya vile ufanyavyo. Mwenyezi Mungu pekee ndiye hakosei.
My Son drink water,
Tuondolee upumbavu kama maisha yamekushinda kapambane na hali yako. JPM watanzania tunamkubali na tunampenda na tunaendelea kumuombea kwa Mungu. Wanaomnenea mabaya washindwe wao.
 
Mpumbavu ni wewe unayetaka jambo lako likubaliwe na kila mtu
😂😂😂 Wadhungu wanasema "Common sense is not common to all"
Na hili ndio tatizo letu, ku generalise kila kitu kama kanuni.
 
Endelea kuuza Bia na kijambio huko Kenya tuache na magufuli wetu

State agent
Screenshot_2019-11-06-02-41-20.jpeg
 
Mimi ni Mtanzania ila simkubali so acha kutusemea Watanzanja kama unamkubali ni wewe mwenyewe na genge lenu la akina zero brain bashite
Sasa kumchukia kwako kuna punguza au kuongeza kitu gani? Zaidi ya wewe kuendelea kuumia?

Be segito
 
sema namkubali ndeziiiii ww,unamkubali na nani? Usitusemeee
Wewe na familia yako mkimchukia haimaanishi hapendwi na majority ya Watz!

Hivi una Habari kuwa hata hapo kwenye familia yako kuna watu wana kuchukia?
 
Tizameni hili... Mavi yashabana.
Waamshe na praise team wenzio.
Una hasira sana we dada! Nyie na genge lenu la wahuni huko upinzani sijui mnaishije aisee
 
Takataka kama wewe ndio chanzo cha yote haya
Yote haya yapi? Ukute hapo una lala na kuamka kwa shemeji yako lakini na wewe unafuatisha tu mkumbo wa akina Zitto na genge lake. Zinduka kijana
 
Wewe na familia yako mkimchukia haimaanishi hapendwi na majority ya Watz!

Hivi una Habari kuwa hata hapo kwenye familia yako kuna watu wana kuchukia?
Usiwe msemaj wa familia yangu sasa cjakupa majukum hayo,kama n ww na familia yako jarbu kua specific c unatujumuisha wote
 
Kwa sababu hata wewe huwa unasema kuwa, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, basi acha nami nikuambie ukweli tupu.

Wapinzani unaowachukia leo ndio walisababisha wewe ukawa Rais, bahati nzuri hata wewe unalijua hilo na mara nyingi umeongea kuwa uliokota embe kwenye mti wa mwarobaini.

Chama chako CCM kimeshakufa, nguvu pekee ya CCM ni Police na TISS.

CCM imebakiwa na kundi la watu wachache wanafiki ambao lengo lao ni kushibisha matumbo yao na baadhi ya illiterates wasiojua lolote.

Hao watu ni hatari na iko siku watakukana hadharani kama wanavyomkana JK leo.

Haukuwa mpango wa CCM kukupa urais, Mungu alisimama upande wako ili nawe usimame na watanzania lakini imekuwa kinyume.

Kila siku umekuwa wa kusifiwa tu, yaani hukosei, sifa anazostahili kupewa Mungu zinakuja kwako, eti hakuna kukosoa.

TBC 24/7 ina vipindi vya kusifia tu bila kukosoa, kuna serikali duniani isiyokosea?

Umetunyima haki yetu ya msingi ya kuchagua viongozi tunaowataka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuwa mpinzani Tanzania imekuwa uhaini, eti ni lazima CCM itawale.

Bahati mbaya kwako waliopaswa kukueleza ukweli ni viongozi wa dini kumbe nao ni ma agents wa CCM na serikali waliojificha kwenye koti la utumishi wa Mungu.

Eti kila Mtumishi wa Mungu anakusifia, ni binadamu gani wewe usiyekosea?

Hawa watu hawakusifii bali wanakusanifu ili wapate kula.

Uchaguzi wa serikali za mitaa ungeuacha ili upime juhudi zako zinavyokubalika kwa wananchi, Kitendo cha kukimbia uchaguzi mdogo kama huo ni dalili kwamba 2020 hakuna uchaguzi kabisa.

Ni kwa nini wapinzani wamekuwa adui kiasi hicho?

1. Wanazuia manunuzi ya ndege?
2. Wanakwamisha mradi wa Stiglers Gorge?
3. Wanakwamisha ujenzi wa SGR?
4. Wanakwamisha ujio wa mkoa wa Rubondo?
5. Wanashawishi wananchi waichukie serikali?

Lakini wanawezaje kushawishi wakati mikutano uliipiga marufuku na halafu tunaambiwa kuwa wananchi wanaipenda sana serikali yao.

Tunajua ya kwamba wewe ni mchapa kazi, kwa hiyo hakukuwa na sababu ya kuwafanyia hila wapinzani, utendaji wako ungeonekana kwenye sanduku la kura tu.

Sifa bila kasoro anastahili Mungu tu, zaidi ya hapo chukizo kwa Mungu.

Makomeo Moyo Wake Ni wa JIWE, Hatatuseme vipi hasikiii
 
Kwa sababu hata wewe huwa unasema kuwa, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, basi acha nami nikuambie ukweli tupu.

Wapinzani unaowachukia leo ndio walisababisha wewe ukawa Rais, bahati nzuri hata wewe unalijua hilo na mara nyingi umeongea kuwa uliokota embe kwenye mti wa mwarobaini.

Chama chako CCM kimeshakufa, nguvu pekee ya CCM ni Police na TISS.

CCM imebakiwa na kundi la watu wachache wanafiki ambao lengo lao ni kushibisha matumbo yao na baadhi ya illiterates wasiojua lolote.

Hao watu ni hatari na iko siku watakukana hadharani kama wanavyomkana JK leo.

Haukuwa mpango wa CCM kukupa urais, Mungu alisimama upande wako ili nawe usimame na watanzania lakini imekuwa kinyume.

Kila siku umekuwa wa kusifiwa tu, yaani hukosei, sifa anazostahili kupewa Mungu zinakuja kwako, eti hakuna kukosoa.

TBC 24/7 ina vipindi vya kusifia tu bila kukosoa, kuna serikali duniani isiyokosea?

Umetunyima haki yetu ya msingi ya kuchagua viongozi tunaowataka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuwa mpinzani Tanzania imekuwa uhaini, eti ni lazima CCM itawale.

Bahati mbaya kwako waliopaswa kukueleza ukweli ni viongozi wa dini kumbe nao ni ma agents wa CCM na serikali waliojificha kwenye koti la utumishi wa Mungu.

Eti kila Mtumishi wa Mungu anakusifia, ni binadamu gani wewe usiyekosea?

Hawa watu hawakusifii bali wanakusanifu ili wapate kula.

Uchaguzi wa serikali za mitaa ungeuacha ili upime juhudi zako zinavyokubalika kwa wananchi, Kitendo cha kukimbia uchaguzi mdogo kama huo ni dalili kwamba 2020 hakuna uchaguzi kabisa.

Ni kwa nini wapinzani wamekuwa adui kiasi hicho?

1. Wanazuia manunuzi ya ndege?
2. Wanakwamisha mradi wa Stiglers Gorge?
3. Wanakwamisha ujenzi wa SGR?
4. Wanakwamisha ujio wa mkoa wa Rubondo?
5. Wanashawishi wananchi waichukie serikali?

Lakini wanawezaje kushawishi wakati mikutano uliipiga marufuku na halafu tunaambiwa kuwa wananchi wanaipenda sana serikali yao.

Tunajua ya kwamba wewe ni mchapa kazi, kwa hiyo hakukuwa na sababu ya kuwafanyia hila wapinzani, utendaji wako ungeonekana kwenye sanduku la kura tu.

Sifa bila kasoro anastahili Mungu tu, zaidi ya hapo chukizo kwa Mungu.
Mkuu umesema ukweli mtupu, Mungu amempa madaraka Magufuri badala ya kuwatumikia watanzania yeye kajigeuza mungu wa Tanzania, kazi kupokea sifa ambazo hata hana. Badala ya kuboresha maisha ya watanzania anawatesa tena kwa makusudi, amepunguza mzunguko wa fedha kabakiza hela kidogo sana watu wanateseka hawana uwezo wa kupata mahitaji yao muhimu kama binadamu, hata aibu hana
IMG_20191122_140436.jpg
na kanisani anaenda.
 
Kama hadi mungu alisimama upande wa magu kuhakikisha anapata uraisi basi sio wananchi tu waliobugi kumpigia kura hadi mungu naye alibugi
 
Back
Top Bottom