Rutorial k
JF-Expert Member
- Jun 8, 2014
- 937
- 817
si
sizani kama raisi amesema wanaingiza expired sugar ila amesema inayokaribia ku expire...so hapo tfda sio rahisi kubaini mchezo huo...tunapaswa kusikiliza konachosemwa kuliko kuongea yakwetu tu...ila pia lazma rais akubali alikosea kuzuia kuingizwa sukari coz ninavyoona viwanda vya ndani hajitoshelezi kabisa hvyo soln ni defensive mechanism kwamba sukari ilyokuwa inaingizwa ilikuwa inakaribia ku expire....Hiyo sukari itafika lini? Hiyo iliyofichwa itagawiwa kwa kufuata taratibu zipi? Anawashughulikiaje TFDA na TBS? Sukari iliyofichwa ya Tanzania au ya nje? (Tukumbuke kuna waliokuwa na stock lilipotoka katazo)