Rais Magufuli: Tunataka Tanzania ianze kutoa misaada hata kwa nchi za Ulaya

Kujitegemea kunahitaji mikakati madhubuti, hivyo kwa mwenendo wetu wa sasa bado tunahitaji kurudi mwanzo na kusuka mipango upya. Kinyume na hivyo, tutangoja sana.
 
Tunashindwa kujilisha sembuse tulishe wengine, ikiwa bajeti yetu tu inachangiwa na nchi za ulaya tuna ubavu wa kutoa misaada ???
 
Sometimes tumuulize mkuu anatumia mjani wa aina gani ,hauja be exported from abroad Jamaica anaotumia ?
 
Watu wanadai madai yao halafu unataka kuwasaidia ulaya! Hii awamu imekuwa kama milembe.
 
Kama demokrasia isingekuwa kati ya vigezo muhimu kuendelea basi Socialist countries karibu zote zingekuwa zimeendelea!!

Kitu kikubwa ni kujenga mifumo bora. Rushwa inashughulikiwa na sheria siyo aina ya utawala. Kama udictator ungekuwa unaleta maaendelo basi kuna nchi za Kiafrika zingekuwa zimeendelea by now!! Maana idadi ya madictator waliotawala bara hili hawana idadi ............!!
Socialists hawakuendelea si kwasababu walikosa demokrasia.kilichowarudisha nyuma ni sera zao mbovu za kiuchumi.kwa hio udikteta sisemi kua unaleta maendeleo ila nasema udikteta unalifanya jambo lililoazimiwa litekelezwe upesi na kwa gharama ndogo.demokras ina vipengele vingi sana ktk utekelezaji hivo ni vigumu kuleta maendelo.unatakiwa uwe na serikali ya kidikteta ambayo ni pro-development kama ile ya china;rwanda;singapore;makaburu(a.kusini)n.k. Sisemi udikteta ambao haufuat maendeleo mfano zimbabwe,nyerere,Banda wa malawi nk. Kujenga mifumo ni sahihi ila mifumo pekee bila mtu kidete wakusimamia ni bure tu.
 
Rais akizungumza na wananchi wa Sangisi katika kata ya Akeri nje kidogo ya Mji wa Arusha.
Mkamchagua Mheshimiwa Lema wa Chadema kuwa Mbunge wenu, yule ni Mbunge halali.
 
Ndio vision zake huyu bwana zitavuruga wengi sana.israel wanaendesha uchumi kwa kutumia knowledge.hawana raslimali nyingi kama sisi.rwanda nao wameanza kujiingiza huko.sisi tuna rasilimali.hatuna haraka ya kutumia mfumo huo kwa sasa.canada,australia,afr kusin,zilijiinua kwa raslimali halaf ndio zinaenda kwenye knowledge economy

Hivi NASA wanawezaje kuamua kwenda Mars halafu kweli wakaenda? Why do we limit our potential? Why do we think politicians alone control our destine? Thinking is everything. As we think, so we become.
 
Hapo tusubiri tuuu?!! Tutatoa msaada wa mahindi wakati kwetu kuna njaa ya ajabu ni kama wale madoctor waliopelekwa kenya wkt sisi wenyewe tunauhaba wa wataalam hao.
 
Rais Magufuli anaamini nchi hii ni tajiri, exactly tukiweza kujijenga kiuchumi na kujitegemea yes we can. Ulaya kuna vi inchi ni masikini hata sisi pamoja na matatizo yetu bado tunaunafuu. Mr. President ana ndoto za kulipeleka taifa hili mbele, lakini tatizo amekosa support inayoeleweka nyuma yake kuna kundi kubwa la mazuzu, waoga, wanafiki na mbwa mwitu waliokosa uzalendo.
 
Back
Top Bottom