Mkuu usemacho ni kweli nchi ikiitwa imeendelea, imeendelea sio longolongo acha kabisa. Ulaya ulaya tuWanasema sisi kuja kufikia kiwango cha nchi za Ulaya kunatakiwa miaka walau 500 huku wao wakiwa 'wamesimama' (yaani hawafanyi maendeleo yoyote).
Unajua pia ukiwa unapitia pitia huko Ulaya unapata kupajua vizuri na watu wake maana sometimes unaweza kuwa na Ulaya ya ndotoni! Haya ngoja tusubiri.
Pohamba are you serious? Nimeishi huko najua kuliko unavyofikiria usije ukafikiri kwa sababu ipo Afrika ndio iwe masikini! Wanathibiti madini yao kuliko kawaida. Kama huna taarifa just google it mkuu!!Nafikiri Geography imekupiga Mtama, Botswana ipo Africa na Masikini kuliko Tanzania
Pohamba are you serious? Nimeishi huko najua kuliko unavyofikiria usije ukafikiri kwa sababu ipo Afrika ndio iwe masikini! Wanathibiti madini yao kuliko kawaida. Kama huna taarifa just google it mkuu!!
Nakuambia welfare ya general citizens ni nzuri sana narudia tena nimeishi Botswana siyo nimeambiwa na mtu na bahati nzuri hata ulaya nimekaa mkuu mpaka ombaomba wapo ila wanaomba kwa njia tofautiSio issue ya ku Google Wewe unazungumzia GDP ya Nchi Mie Nazungumzia Welfare ya Local citizens!
Usichanganye mambo kaka. Katiba iliyopendekezwa ni ipi ambao wapinzani waliikataa?.Katiba iliykataliwa na wapinzani ni ile iliyochakachuliwa , ya Nyoka mwenye makengeza, na RIP, Samuel Sita.Upinzani ulifanya kosa ambalo watalikumbuka milele kuikataa katiba iliyopendekezwa na bunge la katiba. Ndoto ya Kikwete ilikua akumbukwe angalau kwa kuacha katiba. Leo ungekuta tuna katiba na japo haingekidhi ingekua ni ya kujazia nyama tu. Ile katiba pendekezwa ilikua na mambo mengi mazuri kama tume huru ya uchaguzi, ilikua imepunguza sana madaraka ya rais etc etc. Kwa sasa nadhani mabadiliko ya katiba si jambo la karibuni.