Rais Magufuli tunakuomba umwache Katibu Mkuu Dr. Turuka Wizara ya Kilimo

ANYWAY hii vita nimeanza kuielewa kuna kamkoa fulani kakikaa mahali kanajijengea kaufalme wa milele.Wanufaika naona mmeanza kelele

Civil engineer ana uwezo mkubwa kuanzia ujenzi wa miundo mbinu ya umwagiliaji kwa ajili ya kilimo,ujenzi wa mabwawa ya ufugaji wa sammaki,ujenzi wa mabanda ya kuku,nguruwe,ngombe nk,civil engineer ni mjenzi wa maghala ya kuhifadhi vyakula,ujenzi wa miundo mbinu ya kilimo ya mashamba makubwa (estates) huangua chini yake,Huwezi kuongelea ujenzi wa miundo mbinu yoyote ya kilimo,mifugo au maji bila kumweka civil engineer.
Acha kupotosha vitu vilivyoko wazi kama hivi na kama Engineering haiko upande wako nyamaza kuliko kuendelea kujiaibisha.
 
Changamoto namba moja ya sekta ya kilimo sio malambo ya kunyweshea, au maghara ya kuhifadhia au mifereji ya umwagiliaji n.k bali changamoto ya kwanza na kubwa by far ni masoko!! Changamoto zingine zoooooooote ni zao la changamoto ya masoko!!!

Kama changamoto kubwa ni masoko kwa hiyo huyo DK turuka alipokuwa wizara ya kilimo hizo changamoto za masoko alizimaliza kiasi kuwa sasa hivi hakuna tatizo la soko la mifugo au mazao ya kilimo ndio maana unataka aendelee hapo?
 
Kama changamoto kubwa ni masoko kwa hiyo huyo DK turuka alipokuwa wizara ya kilimo hizo changamoto za masoko alizimaliza kiasi kuwa sasa hivi hakuna tatizo la soko la mifugo au mazao ya kilimo ndio maana unataka aendelee hapo?
Nimekupa hiyo hoja ku-crash hoja yako ya mitaro ambayo umeonesha wazi kwamba sekta ya kilimo yenyewe huijui inavyoenda zaidi ya kuleta ushabiki wa siasa wa kuunga mkono kila kitakachofanywa na serikali! That's one but two, naona una-personalize mambo na ndio maana ukafikia hadi kuleta masuala ya u-mkoa... unadhani kila mtu anajadili mambo kwa kuangalia sura! Na kwavile una-personalize; hoja yako kuu imekuwa ni Turuka kama Turuka wakati hoja yangu ni taaluma husika!! Kwa hoja yako wewe kwavile una-personalize mambo; utaona hata akikaa Sendeka ni sawa tu wakati mimi yeyote atakayekaa ni sawa tu provided ana uelewa na sekta ya kilimo!!!

Kwamb alipokuwa kilimo amefanya nini; anza kwanza kujiuliza hadi sasa huyo JPM amefanya nini kabla hujaenda kwa walio chini yake...
 
KATIBU anakuwa na wakurugenz ambao Ni wabobez kwenye field yao,,kuhusu sifa na weled wako hata huko unahitajika, unless otherwise unasababu zako za kimaslahi zaid. ..
 
Back
Top Bottom