masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Kwa mtindo anaoufanya Rais Magufuli, wengi tuna uhakika sasa serikali itaamka toka usingizi wa pono uliodumu miaka kadhaa sasa.
Matembezi ya Ulaya kwa Makatibu wakuu, Mawaziri na hata ma kamishena na wakurugenzi mawizarani sasa yatakoma, kama si kuisha kabisa.
Wafanyakazi serikalini hawafanyi kazi for lack of supervision.
Wasimamizi wako busy kujitajirisha na marupurupu ya safari nyingi na alawansi.
Si mara moja nimesafiri nje kwa hela yangu.Utakuta Business Class na First Class zimejaa wafanyakazi wa serikali, wakurugenzi na hata mawaziri.
Wizara moja ambayo inasikitisha kuliko ni wizara ya Maji.
Na hili si jungu wala hadithi za kutunga.
Hela inayotengwa kwenye bajeti haifiki kabisa mikoani, hela inaishia kwenye warsha , kongamano na hata mikutano isiyo na tija kwa wananchi.
Kuna mkoa fulani ambao redio ya jamii ilifanya utafiti na kukuta kwa miaka zaidi ya mitatu na katika wilaya karibu zote, fedha za miradi ya maji kwa wananchi haifiki kabisa mkoani.
Hiyo ni licha ya fedha kutengwa na kufika Wizara ya Maji.
Mheshimiwa Magufuli , tunaomba ufike hapo ujionee mwenyewe.
Matembezi ya Ulaya kwa Makatibu wakuu, Mawaziri na hata ma kamishena na wakurugenzi mawizarani sasa yatakoma, kama si kuisha kabisa.
Wafanyakazi serikalini hawafanyi kazi for lack of supervision.
Wasimamizi wako busy kujitajirisha na marupurupu ya safari nyingi na alawansi.
Si mara moja nimesafiri nje kwa hela yangu.Utakuta Business Class na First Class zimejaa wafanyakazi wa serikali, wakurugenzi na hata mawaziri.
Wizara moja ambayo inasikitisha kuliko ni wizara ya Maji.
Na hili si jungu wala hadithi za kutunga.
Hela inayotengwa kwenye bajeti haifiki kabisa mikoani, hela inaishia kwenye warsha , kongamano na hata mikutano isiyo na tija kwa wananchi.
Kuna mkoa fulani ambao redio ya jamii ilifanya utafiti na kukuta kwa miaka zaidi ya mitatu na katika wilaya karibu zote, fedha za miradi ya maji kwa wananchi haifiki kabisa mkoani.
Hiyo ni licha ya fedha kutengwa na kufika Wizara ya Maji.
Mheshimiwa Magufuli , tunaomba ufike hapo ujionee mwenyewe.