hyperbolic
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 459
- 525
Hii serikali waseme tu wameshindwa kulipa stahiki za watumishi, hiyo hewa mpaka leo haijapatikana kweli? akili zingine za kitoto sana.
Hapa si walimu tu ila watumishi wote sisi ni viumbe wa ajabu! Walimu wanadai madeni yanayofanana na madeni mengine wanaodai kada zingine fedha za uhamisho, malimbikizo ya mishahara,promotion n.k sasa tusiwape pole walimu tu Bali tutoe pole kwa watumishi wote wa umma TanzaniaWalimu ni viumbe wa ajabu sana wacha wabuluzwe
Kama kila kona ni hewa basi mtangulizi wake ndiye aliyetengeneza uhewa huo!! Sasa anapongezwa kwa mamsap kuteuliwa ubunge ili ajiuenge na timu ya kusafisha uhewa. only in KusadikikaDaah kweli kazi ipo hewa mpaka, madaktari hewa, bashitelization,walimu hewa,
Doto ? HIV huko shuleni ulienda kusomea . ....... ?ni n
doto kwa hii TZ watu wanawaza ujinga tu
Hicho ndicho nachompendea Raisi wangu hapepesi wala kuremba yeye hatishiwi,mpo bize oooho 2020 kama kawaambia atagombea tenaHaya Walimu .............. habari ndiyo hiyo!!
Mkuu hatishwi na kelele za nyau ............!!!
zWewe ndo nakuuliza morali ipi?Maana kama morali ya kazi wenzio hawana tangu walipokosa nyongeza ya mishahara Julai 2016 wewe unazungumzia morali ya malimbikizo???????????
Hawa wanakipenda chama vibayaHalaf angalia watu anaowahutubia sjui hata kama wanajitambua ..umechoka maskin fukara umevaa na kofia ya kijani..
Kwani amekwambia anataka miaka kumi au wapi imeandikwa lazima miaka kumi halafu unaweza kuta kwa akili yako hiu nawe ni mwalimu unaidai serekali walahi sikulipi huwezi kuwa unawafundisha watoto vizuriUnapolipa mishahara halali ya watumishi hujui kuwa wana madai halali? Huyu ni wa miaka mitano tuuuu.
JPM akihutubia umati wa watu Leo hii Mjini Lindi amesema serikali yake siyo ya kutishwa tishwa na hivyo hawezi kusikiliza madai yoyote wakati kuna Malipo hewa kibao kila Kona.
Mishahara Hewa, Matibabu Hewa, Malipo ya Uhamisho Hewa.. Hewa hewa hewa!
Maoni yangu: Juzi nilisikia viongozi wa walimu wakitangaza mgogoro na Serikali. Kwa hotuba hii poleni sana walimu wote kwani mkuu hatishwi kabisa na kelele za Nyau.
Mtalipwa tukimaliza Hewa! Poleni Sana.