tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,859
- 18,282
Anakuwa na ujasiri wa kutopigiwa kura kwa sababu bunge limejaa wachumia tumbo wa CCM. Na anakuwa na uhakika zaidi kwa sababu TUCTA inaongozwa na makada wa CCM jambo ambalo linaifanya TUCTA kuwa kitengo cha CCM kama ilivyo UVCCM au jumuiya ya wazazi.Yaani huyu Bunge lingekua na watu wenye Akili basi lingempigia kura ya kuto kua na imani nae, haiwezekani nchi inaendeshwa na mtu muongo na bado anachekewa chekewa tu