figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Rais Magufuli amesema hajazua shughuli za siasa, atatenda haki kwa watu wote, Nchi kwanza vyama baadae.
Magufuli: 12,500 Idadi ya wafanya kazi hewa, wote tumewaondoa, na kuokoa mabilioni ya fedha za serikali
Rais Magufuli: Mlinichagua bure, nimeamua kuwatumikia bure. Naomba Mungu anisaidie na endeleeni kuniombea
Rais Magufuli: Tumeamua kujenga Serikali kwa misingi ya maadili ya Baba wa Taifa, Mwalimu JK Nyerere
Rais Magufuli: Ni lazima tutengeneze Tanzania mpya
Rais Magufuli: Nchi ni mbili, Tanzania na Kenya, ambako baada ya uchaguzi maandamano yanaendelea, inasikitisha.
Rais Magufuli: Sijazuia shughuli za siasa kwa watu waliochaguliwa
Rais Magufuli: Mimi sijaribiwi. Wasije kunijaribu. Siasa nzuri ni wananchi wapate maisha mazuri
Rais Magufuli: Nataka nchi yenye nidhamu
Rais Magufuli: Sitawabagua Watanzania. Maslahi ya nchi kwanza, vyama baadae.
Rais Magufuli: Nawaomba vijana wajue vya bure vimekwisha. Kila moja afanye kazi. Dhamira yetu ni maisha mazuri kwa watanzania
Rais Magufuli : Serikali yote inahamia Dodoma.
Rais Magufuli: Nikihamia Dodoma mimi, majengo yote ya Serikali yaliyoko DAR nitayapiga mnada
Rais Magufuli: Maamuzi ya miaka 50 kuhamia Dodoma lazima. Walizoea kubembelezwa.
Rais Magufuli: Niliwahi kukaa Libya wiki mbili, ilikuwa nchi nzuri, wakachonganishwa na waliotaka mafuta yao.
Rais Magufuli: Iraq, Syria, Somalia wanauana kwa makundi yaliyotengenezwa. Watu wamekuwa wakimbizi.
Rais Magufuli: Mabeberu wanamezea mate raslimali za Tanzania. Naomba msimame imara. Amani hii tuilinde na tutafika kwa ajili yaTanzania mpya
Rais Magufuli: Tumeongeza mapato toka billion 850 hadi 1.2 trilioni kwa mwezi.
Magufuli: 12,500 Idadi ya wafanya kazi hewa, wote tumewaondoa, na kuokoa mabilioni ya fedha za serikali
Rais Magufuli: Mlinichagua bure, nimeamua kuwatumikia bure. Naomba Mungu anisaidie na endeleeni kuniombea
Rais Magufuli: Tumeamua kujenga Serikali kwa misingi ya maadili ya Baba wa Taifa, Mwalimu JK Nyerere
Rais Magufuli: Ni lazima tutengeneze Tanzania mpya
Rais Magufuli: Nchi ni mbili, Tanzania na Kenya, ambako baada ya uchaguzi maandamano yanaendelea, inasikitisha.
Rais Magufuli: Sijazuia shughuli za siasa kwa watu waliochaguliwa
Rais Magufuli: Mimi sijaribiwi. Wasije kunijaribu. Siasa nzuri ni wananchi wapate maisha mazuri
Rais Magufuli: Nataka nchi yenye nidhamu
Rais Magufuli: Sitawabagua Watanzania. Maslahi ya nchi kwanza, vyama baadae.
Rais Magufuli: Nawaomba vijana wajue vya bure vimekwisha. Kila moja afanye kazi. Dhamira yetu ni maisha mazuri kwa watanzania
Rais Magufuli : Serikali yote inahamia Dodoma.
Rais Magufuli: Nikihamia Dodoma mimi, majengo yote ya Serikali yaliyoko DAR nitayapiga mnada
Rais Magufuli: Maamuzi ya miaka 50 kuhamia Dodoma lazima. Walizoea kubembelezwa.
Rais Magufuli: Niliwahi kukaa Libya wiki mbili, ilikuwa nchi nzuri, wakachonganishwa na waliotaka mafuta yao.
Rais Magufuli: Iraq, Syria, Somalia wanauana kwa makundi yaliyotengenezwa. Watu wamekuwa wakimbizi.
Rais Magufuli: Mabeberu wanamezea mate raslimali za Tanzania. Naomba msimame imara. Amani hii tuilinde na tutafika kwa ajili yaTanzania mpya
Rais Magufuli: Tumeongeza mapato toka billion 850 hadi 1.2 trilioni kwa mwezi.