Rais Magufuli: Serikali yangu ni tajiri (Video)

Rais Magufuli: Serikali yangu ni tajiri (Video)

Mpofu huyu wa uchumi..............haelewi hata maana ya utajiri.
Ikibainika kweli serikali yake ni tajiri (malaika) tutahakikisha inaishi km mashetani (masikini). Kwa nn serikali ya tz iizidi utajiri serikali ya kenya?
 
Mbona inashindwa kuwalipa watumishi hewa na wanafunzi hewa?
 
Hii ni purely autocratic regime,kauli ya raisi ndo mwongoza wa mawaziri.wizara zinaongozwa na kivuli cha raisi.Waziri wa utumishi hajui kwann serikali haijaongeza mshahara wala kupandisha madaraja watumishi wake,anasubiri raisi atoe tamko
 
Watumishi wa umma basi promotion zinakuja.. si kasema serikali ni tajiri.. labda karibu atawapa promotion watumishi wengi wa umma
 
si alipe hata madeni ya watumishi..
kazuia bil.900 za madeni for no apparent reason..
huyu jamaa hata ndoto zake huenda anaota hela tu..
 
Hii ni purely autocratic regime,kauli ya raisi ndo mwongoza wa mawaziri.wizara zinaongozwa na kivuli cha raisi.Waziri wa utumishi hajui kwann serikali haijaongeza mshahara wala kupandisha madaraja watumishi wake,anasubiri raisi atoe tamko
Tulimpigia kura Rais JPM. Na yeye ndiye atakayekuja 2020 kueleza amefanya nini, sio mawaziri. Kwahiyo, ana haki ya kufuatilia kila kitu. Kwa Marekani, hata mawaziri hawajulikani zaidi ya Waziri wa Mambo ya Nje.
 
kweli kabisa nchi ya TANZANIA ni tajiri...., sasa kama unaleta vice versa is true., PROOF IT
 
Back
Top Bottom