johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Rais Magufuli amesema waziri mkuu mstaafu mzee Pinda ni mtu mnyenyekevu tena mwenye uzalendo wa kweli.
Rais Magufuli amesema amemtuma mzee Pinda nchini China akamuwakilishe kwenye kumbukizi la mwalimu Nyerere kwa kuwa anaamini ndiye mtu anayeweza kumuwakilisha vizuri.
Rais ameyasema hayo wilayani Mpanda alipokuwa anazungumza na wananchi wa mkoa wa Katavi katika mkutano wa hadhara.
Source TBC
Rais Magufuli amesema amemtuma mzee Pinda nchini China akamuwakilishe kwenye kumbukizi la mwalimu Nyerere kwa kuwa anaamini ndiye mtu anayeweza kumuwakilisha vizuri.
Rais ameyasema hayo wilayani Mpanda alipokuwa anazungumza na wananchi wa mkoa wa Katavi katika mkutano wa hadhara.
Source TBC