Rais Magufuli ni mchochezi

Mkuu wa mkoa kada wilaya kada tarafa kada unategemea nini kwani hata kama makonda angepandishwa huo ukada alafu akapangiwa kwingine hao wabaya wake wasinge jua kapandishwa cheo cha ukuda zaid?
Mkuu point anazo Sema tu amesimama upande usio upenda.
 
Dk. Lwaitama ni UKAWA, unategemea azungumze nini kwa Mh. Magufuli; amsifie?
 
Rais lazima awe mkweli na huo ukweli wa JPM naona inawaumiza sana wengine. Sasa, asiyependa ya JPM ajue kwa sasa hana namna mpaka 2020. Kama kweli, JPM hawatendei haki wananchi tutajua then ila kwa sasa you should take back seat and enjoy the ride.
 
magufuli ni mnafiki mkubwa. kama kweli amelenga kubana matumizi ya serikali kwanini aendelee kuwa na wakuu wa mikoa, wilaya na tarafa wanaotumia matrilioni ya fedha za umma bila sababu za msingi?
Hivi Rais anaongoza nchi kwa kutumia nini? Atakavyoamka siku hiyo au ushauri wa mke wake?
Mlikimbia bunge maalum la katiba,Magu afanyeje?
 

Lwaitama bado yupo tu, haya mwache aendelee kuzunguusha mikono
 
hii ni kweli kabisa. huu mfumo wa kuwa na makada chungu nzima wanaoteuliwa kuwa wakuu wa tarafa, wilaya na mikoa kiulaji unapaswa kukoma. ndio maana CCM wanang'ang!ania mfumo huo ili waendelee kuifilisi nchi kwa manufaa yao binafsi.

Hata wakurugenzi walitakiwa waajiriwe na Halimashauri za miji badala ya kuteuliwa na Rais. Hizi teuzi za Rais kwenye nchi kubwa kama Tanzania ya watu million 45 Ni lazima kujuana au upendeleo utakuwepo!!
 
Rais lazima awe mkweli na huo ukweli wa JPM naona inawaumiza sana wengine. Sasa, asiyependa ya JPM ajue kwa sasa hana namna mpaka 2020. Kama kweli, JPM hawatendei haki wananchi tutajua then ila kwa sasa you should take back seat and enjoy the ride.
Maigizo Serekali ya Tv na Magazeti
 
hii ni kweli kabisa. huu mfumo wa kuwa na makada chungu nzima wanaoteuliwa kuwa wakuu wa tarafa, wilaya na mikoa kiulaji unapaswa kukoma. ndio maana CCM wanang'ang!ania mfumo huo ili waendelee kuifilisi nchi kwa manufaa yao binafsi.
Na wewe usiye na kazi huifilisi nchi
 
Hata wakurugenzi walitakiwa waajiriwe na Halimashauri za miji badala ya kuteuliwa na Rais. Hizi teuzi za Rais kwenye nchi kubwa kama Tanzania ya watu million 45 Ni lazima kujuana au upendeleo utakuwepo!!
Ndio kulindana na Ukada ukada huko huko ndani
 
Hiki kilwaitama sijui kwanini huwa nikikiona natamani kukizabua vibao.
Yaani hakinaga point,halafu eti nasikia ni mwalimu wa chuo kikuu,no wonder degree fake zimezidi mitaani
weh weh weh weh! huyu sijui ndo lwainini sijui huwa anatwangana vibaoo na matusi juu, ohoo....waulize mwanza airport!!
 
Mkuu wa nchi anatakiwa awe na staha ktk uongeaji.Maneno ya mipasho si haki yake kwa wadhifa alio nao.
 
Mleta mada badilisha kichwa cha habari, neno mchochezi lina maana mbaya. Ni neno kali sana. Nakushauri kwa nia njema sana, unayemzungumzia ni mkuu wa nchi, tafuta neno lisilo na makali kama hili la "uchochezi". Jaribu kuifahamu sanaa ya maongezi ya jamii. Be careful my good friend.
 
Profeseri lipi jema unalolitaka Yale yote ulokuwa ukiyasema hadi kujipa likizo ya Uanachama si ndiyo haya anayofanya yule aishie na kutenda anayoyasema naye ni Mh. Raisi JPM.Wewe tuambie wimbo mpya wa Albamu yako ya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…