Rais Magufuli nakushangaa sana

Rais Magufuli nakushangaa sana

"Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,"

Mbona hamuwakamati ????????
 
Hata upige mapambio ya mbinguni bashite kama ujuwe watanzania hawadanganyiki pale ikulu tumeweka shetani
 
Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa,
Wewe britanicca ni mpumbavu, tena mpumbavu hasa...kwa hiyo unatakaje, huyo mpumbavu mwenzio atupoteze Walutheri kama anavyowapoteza raia wengine?
 
Mkuu mbona na wewe unatumia nguvu kubwa mno kuleta mada km hizi humu jamvini?
 
Wewe britanicca ni mpumbavu, tena mpumbavu hasa...kwa hiyo unatakaje, huyo mpumbavu mwenzio atupoteze Walutheri kama anavyowapoteza raia wengine?
Mpumbavu ni
1. Wewe
2. Mama yako
3. Baba yako
4. Dada yako
5. Kaka yako
6. Katibu mkuu wako chama
7. Mwenyekiti wako wa chama
8. Hata aliyekuwa mgombea kupitia chama chako

Shwaini simbilisi wewe
 
Tanzania haijawahi na wala haitakaa ipate Rais mwenye inferiority complex kama huyu.
 
Wewe mavi yamekubana nenda kanye, kwanini anaua demokrasia nchini anakopi na kupest ya Kagame na ndo maana ziara yake ya kwanza alimfuata kigali. Kila siku anasema WTz mniombee, nani akuombee wakati damu za wasio na hatia zinakulilia? Tangu Tz ipate uhuru hatujawahi kuona matukio ya mauaji na watu kupotea na wala hawapatikani, kama mkuu wa nchi katulia tu anaona fresh maana amshakamata majishi, polisi na mahakama. Mtu yeyote anayepambana na upinzania anamwongezewa cheo, stupid na rubish dictetaship
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,

Haimaanishi kwamba Mimi ni CCM kusema haya au nafutahia mauaji yanayeendelea nchini


Swali: Je, shushushu(mwanausalama) akihitilafiana na raia wa kawaida hawezi tumia mbinu za kazi yake kumshughulikia?

Wala sifurahii na baadhi ya mambo kama ili

Ihungo bil 10,Nyakato bil 2?uharibifu ulitofautiana?status za hizi shule si ziko sawa?au tamthilia? Tusaidiane
Salamu za sikukuu kwa Mheshimiwa Rais Magufuli, Mungu alegeze palipo kaza

Frustrations tu: Waziri wa Mambo ya Nje akiwa Rais ni misele ya nje kila siku, ukichagua wa ujenzi ni kuvunja nyumba tu
Mbona hujaweka namba za simu mzee.... Wenzako huwaga wakimaliza unafki wao kama wewe wanawekaga jina na namba za simu ili wapongezwe kwa kujipendekeza
 
Wewe mavi yamekubana nenda kanye, kwanini anaua demokrasia nchini anakopi na kupest ya Kagame na ndo maana ziara yake ya kwanza alimfuata kigali. Kila siku anasema WTz mniombee, nani akuombee wakati damu za wasio na hatia zinakulilia? Tangu Tz ipate uhuru hatujawahi kuona matukio ya mauaji na watu kupotea na wala hawapatikani, kama mkuu wa nchi katulia tu anaona fresh maana amshakamata majishi, polisi na mahakama. Mtu yeyote anayepambana na upinzania anamwongezewa cheo, stupid na rubish dictetaship
Nyie watoto wa juzi Tu Kumbe
 
Zama za Nyerere na sasa ni tofauti kama mbingu na dunia na ndio maana aliamua kuachia ngazi kwani aliona mazingira ya wakati yalikuwa yanabadilika.

Hata leo hii hakuna utawala wowote wa ki mabavu unaoweza kukaa madarakani kwa muda mrefu au utegemee eti usikosolewe. None.
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,

Haimaanishi kwamba Mimi ni CCM kusema haya au nafutahia mauaji yanayeendelea nchini


Swali: Je, shushushu(mwanausalama) akihitilafiana na raia wa kawaida hawezi tumia mbinu za kazi yake kumshughulikia?

Wala sifurahii na baadhi ya mambo kama ili

Ihungo bil 10,Nyakato bil 2?uharibifu ulitofautiana?status za hizi shule si ziko sawa?au tamthilia? Tusaidiane
Salamu za sikukuu kwa Mheshimiwa Rais Magufuli, Mungu alegeze palipo kaza

Frustrations tu: Waziri wa Mambo ya Nje akiwa Rais ni misele ya nje kila siku, ukichagua wa ujenzi ni kuvunja nyumba tu
Sipendi kuchangia mada za kijinga, lakini inanibidi niweke hata neno tu kwa mpu-uzi kama wewe mtoa mada, hivi nyie ni binadamu? Au mi dubwana isiyo ona yanayoajiri ndani nchi hii kwa sasa?Mtoa mada lazma utakuwa shamba boy wa wa walaji wazuri ndani ya ccm, maana jitu kama utakuta unajipendekeza ili tu boss akupe mabaki ya wali.
 
Nguvu kubwa inatumika kuonesha huyu jamaa kwamba ni malaika ...kwaio hakosei kila afanyacho ni perfect..bila kusahau [HASHTAG]#roho[/HASHTAG] mbaya na husuda, wivu kila kitu ni huyu malaika wa mleta mada
Mh
 
Nguvu kubwa inatumika kuonesha huyu jamaa kwamba ni malaika ...kwaio hakosei kila afanyacho ni perfect..bila kusahau [HASHTAG]#roho[/HASHTAG] mbaya na husuda, wivu kila kitu ni huyu malaika wa mleta mada
Duh
 
Back
Top Bottom