Nguvu kubwa inatumika kuonesha huyu jamaa kwamba ni malaika ...kwaio hakosei kila afanyacho ni perfect..bila kusahau [HASHTAG]#roho[/HASHTAG] mbaya na husuda, wivu kila kitu ni huyu malaika wa mleta mada
Kweli huyo sio Malaika ila
Anakazi ya kuwafanya mashetani waendelee kuishi motoni.
Na walioanza kujikweza kushushwa
Waliogeuka mawe kusagika
Kna kusagika kwa Mawe tena yanavunjika vipande
Matokeo ya dhambi ya unafiki na dhuruma iliyokuwa imetawa Tz imetufikisha hapa.
Huyo jamaa ni mfano wa picha ya ukombozi wa walioonewa
Ingawa wakombozi wenyewe bado hawajakalia kiti.
Naami huyu ni huyu anatenda kile kinachofanana na mawazo yenu ya 2007
Natambua hafanyi vizuri vilivyo akilini mwa wajuaji zaidi waliojaa Tz.
Hatendi mnayoyayafikili yangetendeka.
Hatendi matakwa ya wanaompinga
Lakini.....ametusaidia kuwafahamu watu upande wa pili.
Ametusaidia kupima kiwango cha lami cha unafiki wa watz
Kweli
Ni mbaya ila vijogoo vya mjini wamepotea. Vifaranga vinazunguka kwa raha.
Mapapaaa....wapi...kule
Pedesheee...nani. ...wapi
Wadunguaji wapi kule.
Nyumba sita wake 8 wapi kule.
Sifurahii hali ilivyo ila
Acha iwe tuvuke. Kiwano kingene