Rais Magufuli nakushangaa sana

Rais Magufuli nakushangaa sana

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,211
Reaction score
41,788
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,

Haimaanishi kwamba Mimi ni CCM kusema haya au nafutahia mauaji yanayeendelea nchini


Swali: Je, shushushu(mwanausalama) akihitilafiana na raia wa kawaida hawezi tumia mbinu za kazi yake kumshughulikia?

Wala sifurahii na baadhi ya mambo kama ili

Ihungo bil 10,Nyakato bil 2?uharibifu ulitofautiana?status za hizi shule si ziko sawa?au tamthilia? Tusaidiane
Salamu za sikukuu kwa Mheshimiwa Rais Magufuli, Mungu alegeze palipo kaza

Frustrations tu: Waziri wa Mambo ya Nje akiwa Rais ni misele ya nje kila siku, ukichagua wa ujenzi ni kuvunja nyumba tu
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Nguvu kubwa mno inatumika kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,

Ujinga unakusumbua

Ccm imewekeza sana kwa majitu majinga kama wewe
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Nguvu kubwa mno inatumika kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Ni mkosi mkuu kuishi nchi moja na kiumbe km ww, we jamaa mpuuzi sana, huu ndo utumbo wa kutuandikia wasomi? Subiri tar 26/4 ndo utajua km anayokosolewa ni kweli au ni mvumilivu.
 
Kauli zake ni za kifedhuli na za hovyo kabisa ndiyo maana watu wanaamini kuwa ni muovu, na hataki kutubu, watu wamepata janga la tetemeko la ardhi huko kagera hàlafu unaenda kutoa kauli za kijinga, nani atakuheshimu
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,

mnatumia nguvu nyingi kumtukuza, ila ukweli ni kuwa Huyo jamaa yenu ni kiazi tu. watu kwenye akili tulisha mpuuza kitambo, tunasubiri ajitie kitanzi meenyewe, tumejiandaa kumaliza
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Watch dog.......shame on you!!!!
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
KAMA YYE ANA JESHI kila kitu anacho kwa nn asifanye uchunguzi na kuweka kila kitu huru,we ni mmoja wa mapoyoyoyo tena pimbi mkuu,unatetea upuuzi yaani watu wauliwe useme wanauliwa na wanadiplomasia,wakati mnajivunia nchi yenu ina usalama wa taifa,jeshi la police imara ,kutekwa azori mwandishi wa mwanachi,mauaji ya akiwilina,akina saanane,yule diwani kwa hiyo yote haya yanachochewa na watu wa pembeni we ni mpuuzi, najizuiua kutukanna ila nashindwa usomi wako ni wa vyeti,watu kama nyie mlipaswa kufanyishwa kazi za ndani pale usalama wa taifa au kufanya kazi ya kuwafulia moboss wa TISS vyu..........p vyao
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Afadhali mara 100 nikachinje mbwa kuliko kupoteza muda kuombea "shetani!"

Dhamira kuu:KUFANYA WATU WAISHI KAMA SHETANI.

YEYE kama ni shetani anataka wafuasi! Wanao muunga mkono ni mashetani pia!

I have never seen/heard of any parents wishing their children the worst.
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Mshangao wako unaonesha mzee baba KAZI IMEMSHINDA maana angekuwa kazi anaiweza Ange prove kwa kudhibiti hii hali na si kujifungia ofisini kama haoni,hasikii kinachoendelea
 
Back
Top Bottom