Rais Magufuli na Watanzania, huu ndo ukweli mkavu kuhusu Tanzania 2019

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,433
13,417
Hebu niwape huu ukweli mchungu ambao hata Rais wangu pekee Mh Dr John Pombe Magufuli anatakiwa aambiwe asubuhi ,mchana na Jioni.
1.Sisi ni nchi masikini sana
-Nikimaanisha bila misaada hatuna uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi (watumishi wa umma) akiwemo rais ,pia ukitaja nchi kumi masikini zaidi kumi Tanzania imo kwa mujibu wa mashirika tofauti tofauti

1553104188136-png.1050068

Hivyo tupunguze kuwa over protective na kujifanya wakali kimsingi hekima ya masikini hata kibiblia hudharauliwa ,ukweli ni kwamba hatuwezi kuendelea bila kushirikiana na mataifa tajiri kwa akili tele ,ngoja nifunguke TANZANIA INAZIHITAJI SANA NCHI TAJIRI KULIKO ZENYEWE ZINAVYOIHITAJI TANZANIA ,ALIEKUTANGULIA AMEKUWAHI .
2.Sisi tuna serikali masikini .
-kwa haraka ,Dangote ana miliki mali nyingi kuliko serikali yetu Namaanisha ukichukua mali zote za serikali ukatoa madeni .Mantiki yangu hapa ni kwamba serikali yetu ijikite kuwa yenye kuimarisha utawala bora,mazingira mazuri ya biashara ,ulinzi etc lakini mambo ya kuwekeza kwenye biashara NASEMA HIVI SERIKALI YETU NI MASIKINI haina ubavu huo .Yenyewe ijikite kwenye miradi ya uwezeshaji kama miundo mbinu ,elimu na teknolojia mambo ya kununua bomberdier iachane nayo yenyewe ijenge viwanja bora vya ndege ipunguze utitiri wa makodi na urasimu wafanyabiashara wakiona kuendesha ndege kunalipa wataleta ndege za kumwaga ,sitaki kutetea fast jet lakini ile ilikuwa inaakisi maana ya kuinua wanyonge .

3.Tanzania sio nchi ya amani wanao sema neno hilo ni watawala tu.
-Amani ni scientific phenomena ,imaweza kupimwa kama unavyoweza pima ndoa yenye amani au isiyo na amani kuna vigezo ambavyo wasomi dunia nzima wanakubaliana ni vigezo vya msingi vya amani,(sitataja demokrasia na uhuru wa maoni ) ntaharibu u-neutral wa hoja ntakuwa ni mpinzani natumiwa na mabeberu ,au nikiegamia serikali mtasema mimi sio kamanda ,fisadi ,ninatumiwa etc ,Amani tunaipima kwenye utendaji wa mahakama ,je iko huru ? lishe bora ,kiwango cha elimu ya uraia ,mahusiano na mtizamo wa jamii dhidi vya vyombo vya usalama ,je ni wa kirafiki? kiwango cha rushwa ,Leo hii sierra reone iliyotoka vitani imetuzidi amani ,na jalibu google source Global Peace Index - Wikipedia za nchi kumi zenye amani africa asilimia 90% hawaitaji kabisa Tanzania hivyo TANZANIA HAINA AMANI IN AWANANCHI WAJINGA AMBAO NI WATULIVU KWA HULKA (UTULIVU SIO AMANI),Hivyo tunatakiwa tujitathmini tunakwama wapi na tutambue tumerudi nyuma kwa kudnganyana eti sisi ni kisiwa cha amani.

3.Tanzania sio nchi tajiri kwa maliasili kwa kiwango mnachodanganyana
-Nchi inayoongoza Kwa mali asilia duniani huwa ni urusi inakadiliwa mali yao ya deposit za madini ,misitu,maziwa etc ni 75 tillion dollars ,Tanzania kwa africa ni ya saba na takwimu zingine hata haziitaji ,maana yangu ni nini hapa (nia) kuwaambia kuwa wawekezaji ni watu wa kulea kama yai nje ya Tanzanite hakuna kitu tanzania ambacho hakipo huko duniani ukisema mashamba ,hamuwakuti zimbabwe ,zambia wala kongo,ukisema wingi wa chuma hatumo hata top ten africa hata uganda wanatuzidi Iron ore in Africa - Wikipedia ukitaja almasi hiyo williamson ya 11 The 25 Most Famous Diamonds Mines of the World | Diamonds ExaminerJamani hawa watu wana mbadala wa maana cha msingi tuache kudanganyana ,mpaka leo ukikaa vijiwe vya kahawa watanzania wanasema hakuna usalama wa taifa bora kama wa Tanzania unamuuliza alikudanganya nani hana source ,ukipanga majeshi imara kumi afrika kwa takwimu mbalimbali letu halipo haya makujiamini yanaturudisha nyuma jijueni makamilifu na mapungufu yenu mtasonga mbele
 
Hebu niwape huu ukweli mchungu ambao hata Rais wangu pekee Mh Dr John Pombe Magufuli anatakiwa aambiwe asubuhi ,mchana na Jioni.
1.Sisi ni nchi masikini sana
-Nikimaanisha bila misaada hatuna uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi (watumishi wa umma) akiwemo rais ,pia ukitaja nchi kumi masikini zaidi kumi Tanzania imo kwa mujibu wa mashirika tofauti tofauti

1553104188136-png.1050068

Hivyo tupunguze kuwa over protective na kujifanya wakali kimsingi hekima ya masikini hata kibiblia hudharauliwa ,ukweli ni kwamba hatuwezi kuendelea bila kushirikiana na mataifa tajiri kwa akili tele ,ngoja nifunguke TANZANIA INAZIHITAJI SANA NCHI TAJIRI KULIKO ZENYEWE ZINAVYOIHITAJI TANZANIA ,ALIEKUTANGULIA AMEKUWAHI .
2.Sisi tuna serikali masikini .
-kwa haraka ,Dangote ana miliki mali nyingi kuliko serikali yetu Namaanisha ukichukua mali zote za serikali ukatoa madeni .Mantiki yangu hapa ni kwamba serikali yetu ijikite kuwa yenye kuimarisha utawala bora,mazingira mazuri ya biashara ,ulinzi etc lakini mambo ya kuwekeza kwenye biashara NASEMA HIVI SERIKALI YETU NI MASIKINI haina ubavu huo .Yenyewe ijikite kwenye miradi ya uwezeshaji kama miundo mbinu ,elimu na teknolojia mambo ya kununua bomberdier iachane nayo yenyewe ijenge viwanja bora vya ndege ipunguze utitiri wa makodi na urasimu wafanyabiashara wakiona kuendesha ndege kunalipa wataleta ndege za kumwaga ,sitaki kutetea fast jet lakini ile ilikuwa inaakisi maana ya kuinua wanyonge .

3.Tanzania sio nchi ya amani wanao sema neno hilo ni watawala tu.
-Amani ni scientific phenomena ,imaweza kupimwa kama unavyoweza pima ndoa yenye amani au isiyo na amani kuna vigezo ambavyo wasomi dunia nzima wanakubaliana ni vigezo vya msingi vya amani,(sitataja demokrasia na uhuru wa maoni ) ntaharibu u-neutral wa hoja ntakuwa ni mpinzani natumiwa na mabeberu ,au nikiegamia serikali mtasema mimi sio kamanda ,fisadi ,ninatumiwa etc ,Amani tunaipima kwenye utendaji wa mahakama ,je iko huru ? lishe bora ,kiwango cha elimu ya uraia ,mahusiano na mtizamo wa jamii dhidi vya vyombo vya usalama ,je ni wa kirafiki? kiwango cha rushwa ,Leo hii sierra reone iliyotoka vitani imetuzidi amani ,na jalibu google source Global Peace Index - Wikipedia za nchi kumi zenye amani africa asilimia 90% hawaitaji kabisa Tanzania hivyo TANZANIA HAINA AMANI IN AWANANCHI WAJINGA AMBAO NI WATULIVU KWA HULKA (UTULIVU SIO AMANI),Hivyo tunatakiwa tujitathmini tunakwama wapi na tutambue tumerudi nyuma kwa kudnganyana eti sisi ni kisiwa cha amani.

3.Tanzania sio nchi tajiri kwa maliasili kwa kiwango mnachodanganyana
-Nchi inayoongoza Kwa mali asilia duniani huwa ni urusi inakadiliwa mali yao ya deposit za madini ,misitu,maziwa etc ni 75 tillion dollars ,Tanzania kwa africa ni ya saba na takwimu zingine hata haziitaji ,maana yangu ni nini hapa (nia) kuwaambia kuwa wawekezaji ni watu wa kulea kama yai nje ya Tanzanite hakuna kitu tanzania ambacho hakipo huko duniani ukisema mashamba ,hamuwakuti zimbabwe ,zambia wala kongo,ukisema wingi wa chuma hatumo hata top ten africa hata uganda wanatuzidi Iron ore in Africa - Wikipedia ukitaja almasi hiyo williamson ya 11 The 25 Most Famous Diamonds Mines of the World | Diamonds ExaminerJamani hawa watu wana mbadala wa maana cha msingi tuache kudanganyana ,mpaka leo ukikaa vijiwe vya kahawa watanzania wanasema hakuna usalama wa taifa bora kama wa Tanzania unamuuliza alikudanganya nani hana source ,ukipanga majeshi imara kumi afrika kwa takwimu mbalimbali letu halipo haya makujiamini yanaturudisha nyuma jijueni makamilifu na mapungufu yenu mtasonga mbele
Nimesoma bado sijaipata NIA hasa ya mleta mada.........naiweka kiporo nitaisoma tena asubuhi na mapema!
 
Sio katika vijiwe tu wanafanya huu upotoshaji wa kwamba sisi ni matajiri sana wa maliasili na hivyo wawekezaji watakuja Tu hata katika ofisi kubwa zinazokaliwa na madokta na maprofesa upotoshaji huu unafanyika sana.Wasichojua ni kwamba mitaji mikubwa inagombaniwa duniani kwa ushawishi na kuwa predictable katika sera.
Hebu niwape huu ukweli mchungu ambao hata Rais wangu pekee Mh Dr John Pombe Magufuli anatakiwa aambiwe asubuhi ,mchana na Jioni.
1.Sisi ni nchi masikini sana
-Nikimaanisha bila misaada hatuna uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi (watumishi wa umma) akiwemo rais ,pia ukitaja nchi kumi masikini zaidi kumi Tanzania imo kwa mujibu wa mashirika tofauti tofauti

1553104188136-png.1050068

Hivyo tupunguze kuwa over protective na kujifanya wakali kimsingi hekima ya masikini hata kibiblia hudharauliwa ,ukweli ni kwamba hatuwezi kuendelea bila kushirikiana na mataifa tajiri kwa akili tele ,ngoja nifunguke TANZANIA INAZIHITAJI SANA NCHI TAJIRI KULIKO ZENYEWE ZINAVYOIHITAJI TANZANIA ,ALIEKUTANGULIA AMEKUWAHI .
2.Sisi tuna serikali masikini .
-kwa haraka ,Dangote ana miliki mali nyingi kuliko serikali yetu Namaanisha ukichukua mali zote za serikali ukatoa madeni .Mantiki yangu hapa ni kwamba serikali yetu ijikite kuwa yenye kuimarisha utawala bora,mazingira mazuri ya biashara ,ulinzi etc lakini mambo ya kuwekeza kwenye biashara NASEMA HIVI SERIKALI YETU NI MASIKINI haina ubavu huo .Yenyewe ijikite kwenye miradi ya uwezeshaji kama miundo mbinu ,elimu na teknolojia mambo ya kununua bomberdier iachane nayo yenyewe ijenge viwanja bora vya ndege ipunguze utitiri wa makodi na urasimu wafanyabiashara wakiona kuendesha ndege kunalipa wataleta ndege za kumwaga ,sitaki kutetea fast jet lakini ile ilikuwa inaakisi maana ya kuinua wanyonge .

3.Tanzania sio nchi ya amani wanao sema neno hilo ni watawala tu.
-Amani ni scientific phenomena ,imaweza kupimwa kama unavyoweza pima ndoa yenye amani au isiyo na amani kuna vigezo ambavyo wasomi dunia nzima wanakubaliana ni vigezo vya msingi vya amani,(sitataja demokrasia na uhuru wa maoni ) ntaharibu u-neutral wa hoja ntakuwa ni mpinzani natumiwa na mabeberu ,au nikiegamia serikali mtasema mimi sio kamanda ,fisadi ,ninatumiwa etc ,Amani tunaipima kwenye utendaji wa mahakama ,je iko huru ? lishe bora ,kiwango cha elimu ya uraia ,mahusiano na mtizamo wa jamii dhidi vya vyombo vya usalama ,je ni wa kirafiki? kiwango cha rushwa ,Leo hii sierra reone iliyotoka vitani imetuzidi amani ,na jalibu google source Global Peace Index - Wikipedia za nchi kumi zenye amani africa asilimia 90% hawaitaji kabisa Tanzania hivyo TANZANIA HAINA AMANI IN AWANANCHI WAJINGA AMBAO NI WATULIVU KWA HULKA (UTULIVU SIO AMANI),Hivyo tunatakiwa tujitathmini tunakwama wapi na tutambue tumerudi nyuma kwa kudnganyana eti sisi ni kisiwa cha amani.

3.Tanzania sio nchi tajiri kwa maliasili kwa kiwango mnachodanganyana
-Nchi inayoongoza Kwa mali asilia duniani huwa ni urusi inakadiliwa mali yao ya deposit za madini ,misitu,maziwa etc ni 75 tillion dollars ,Tanzania kwa africa ni ya saba na takwimu zingine hata haziitaji ,maana yangu ni nini hapa (nia) kuwaambia kuwa wawekezaji ni watu wa kulea kama yai nje ya Tanzanite hakuna kitu tanzania ambacho hakipo huko duniani ukisema mashamba ,hamuwakuti zimbabwe ,zambia wala kongo,ukisema wingi wa chuma hatumo hata top ten africa hata uganda wanatuzidi Iron ore in Africa - Wikipedia ukitaja almasi hiyo williamson ya 11 The 25 Most Famous Diamonds Mines of the World | Diamonds ExaminerJamani hawa watu wana mbadala wa maana cha msingi tuache kudanganyana ,mpaka leo ukikaa vijiwe vya kahawa watanzania wanasema hakuna usalama wa taifa bora kama wa Tanzania unamuuliza alikudanganya nani hana source ,ukipanga majeshi imara kumi afrika kwa takwimu mbalimbali letu halipo haya makujiamini yanaturudisha nyuma jijueni makamilifu na mapungufu yenu mtasonga mbele

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Hebu niwape huu ukweli mchungu ambao hata Rais wangu pekee Mh Dr John Pombe Magufuli anatakiwa aambiwe asubuhi ,mchana na Jioni.
1.Sisi ni nchi masikini sana
-Nikimaanisha bila misaada hatuna uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi (watumishi wa umma) akiwemo rais ,pia ukitaja nchi kumi masikini zaidi kumi Tanzania imo kwa mujibu wa mashirika tofauti tofauti

1553104188136-png.1050068

Hivyo tupunguze kuwa over protective na kujifanya wakali kimsingi hekima ya masikini hata kibiblia hudharauliwa ,ukweli ni kwamba hatuwezi kuendelea bila kushirikiana na mataifa tajiri kwa akili tele ,ngoja nifunguke TANZANIA INAZIHITAJI SANA NCHI TAJIRI KULIKO ZENYEWE ZINAVYOIHITAJI TANZANIA ,ALIEKUTANGULIA AMEKUWAHI .
2.Sisi tuna serikali masikini .
-kwa haraka ,Dangote ana miliki mali nyingi kuliko serikali yetu Namaanisha ukichukua mali zote za serikali ukatoa madeni .Mantiki yangu hapa ni kwamba serikali yetu ijikite kuwa yenye kuimarisha utawala bora,mazingira mazuri ya biashara ,ulinzi etc lakini mambo ya kuwekeza kwenye biashara NASEMA HIVI SERIKALI YETU NI MASIKINI haina ubavu huo .Yenyewe ijikite kwenye miradi ya uwezeshaji kama miundo mbinu ,elimu na teknolojia mambo ya kununua bomberdier iachane nayo yenyewe ijenge viwanja bora vya ndege ipunguze utitiri wa makodi na urasimu wafanyabiashara wakiona kuendesha ndege kunalipa wataleta ndege za kumwaga ,sitaki kutetea fast jet lakini ile ilikuwa inaakisi maana ya kuinua wanyonge .

3.Tanzania sio nchi ya amani wanao sema neno hilo ni watawala tu.
-Amani ni scientific phenomena ,imaweza kupimwa kama unavyoweza pima ndoa yenye amani au isiyo na amani kuna vigezo ambavyo wasomi dunia nzima wanakubaliana ni vigezo vya msingi vya amani,(sitataja demokrasia na uhuru wa maoni ) ntaharibu u-neutral wa hoja ntakuwa ni mpinzani natumiwa na mabeberu ,au nikiegamia serikali mtasema mimi sio kamanda ,fisadi ,ninatumiwa etc ,Amani tunaipima kwenye utendaji wa mahakama ,je iko huru ? lishe bora ,kiwango cha elimu ya uraia ,mahusiano na mtizamo wa jamii dhidi vya vyombo vya usalama ,je ni wa kirafiki? kiwango cha rushwa ,Leo hii sierra reone iliyotoka vitani imetuzidi amani ,na jalibu google source Global Peace Index - Wikipedia za nchi kumi zenye amani africa asilimia 90% hawaitaji kabisa Tanzania hivyo TANZANIA HAINA AMANI IN AWANANCHI WAJINGA AMBAO NI WATULIVU KWA HULKA (UTULIVU SIO AMANI),Hivyo tunatakiwa tujitathmini tunakwama wapi na tutambue tumerudi nyuma kwa kudnganyana eti sisi ni kisiwa cha amani.

3.Tanzania sio nchi tajiri kwa maliasili kwa kiwango mnachodanganyana
-Nchi inayoongoza Kwa mali asilia duniani huwa ni urusi inakadiliwa mali yao ya deposit za madini ,misitu,maziwa etc ni 75 tillion dollars ,Tanzania kwa africa ni ya saba na takwimu zingine hata haziitaji ,maana yangu ni nini hapa (nia) kuwaambia kuwa wawekezaji ni watu wa kulea kama yai nje ya Tanzanite hakuna kitu tanzania ambacho hakipo huko duniani ukisema mashamba ,hamuwakuti zimbabwe ,zambia wala kongo,ukisema wingi wa chuma hatumo hata top ten africa hata uganda wanatuzidi Iron ore in Africa - Wikipedia ukitaja almasi hiyo williamson ya 11 The 25 Most Famous Diamonds Mines of the World | Diamonds ExaminerJamani hawa watu wana mbadala wa maana cha msingi tuache kudanganyana ,mpaka leo ukikaa vijiwe vya kahawa watanzania wanasema hakuna usalama wa taifa bora kama wa Tanzania unamuuliza alikudanganya nani hana source ,ukipanga majeshi imara kumi afrika kwa takwimu mbalimbali letu halipo haya makujiamini yanaturudisha nyuma jijueni makamilifu na mapungufu yenu mtasonga mbele
Ukweli tupu
 
Sio katika vijiwe tu wanafanya huu upotoshaji wa kwamba sisi ni matajiri sana wa maliasili na hivyo wawekezaji watakuja Tu hata katika ofisi kubwa zinazokaliwa na madokta na maprofesa upotoshaji huu unafanyika sana.Wasichojua ni kwamba mitaji mikubwa inagombaniwa duniani kwa ushawishi na kuwa predictable katika sera.

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
Mkuu huwa nashangaa sana,yaani the way wanavyowaongelea wawekezaji kwa ukali unasema ndo madhara ya kutotembea,MWENYE MTAJI NI BOSI
 
23 Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.
Mathayo 16:23

Kuna watu shetani anawatumia, msidhani hata siku moja mzungu atakuletea maendeleo,ukiona anakupa msaadawa kujaa kwenye kijiko cha wali, basi jua anarudikuchota kwa koleo. Kama mnadhani misaadainatusaidia waafrica mkabakikulialia humu jf hamtakikufanyakazi.subirini miaka milioni kumi ingine ili kuyapata maendeleo. Ilakama utatokana kusema enough is enough, basi tutatoboa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
23 Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.
Mathayo 16:23

Kuna watu shetani anawatumia, msidhani hata siku moja mzungu atakuletea maendeleo,ukiona anakupa msaadawa kujaa kwenye kijiko cha wali, basi jua anarudikuchota kwa koleo. Kama mnadhani misaadainatusaidia waafrica mkabakikulialia humu jf hamtakikufanyakazi.subirini miaka milioni kumi ingine ili kuyapata maendeleo. Ilakama utatokana kusema enough is enough, basi tutatoboa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka wazungu sio kundi linalochukia waafrika ,BIG NOO! Ni wafanyabiashara unachotakiwa wewe muoneshe yeye jinsi kupata kwako mia kutafanya yeye apate mia mbili ,hata leo ukimuangalia moo kwa mtizamo wa uombaomba utamchukia kwamba mbona anagawa hela wakati ana ndugu masikini,ni kwamba moo anaingiza pesa kupitia simba anatoa mia anapata 300 ,wewe nenda na idea nzuri kwa moo mwambie tufanye mradi huu ukiweka bilion 15 baada ya miaka miwili utapata bilion 30 ,ila mimi nilipe bil 3 kwenye hizo anatoa fasta ,ila ukimwambia mkeo anakaribia kufa anahitaji dawa ya milion 1 atakwambia sina,utaanza kusema anaroho mbaya.
 
Hebu niwape huu ukweli mchungu ambao hata Rais wangu pekee Mh Dr John Pombe Magufuli anatakiwa aambiwe asubuhi ,mchana na Jioni.
1.Sisi ni nchi masikini sana
-Nikimaanisha bila misaada hatuna uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi (watumishi wa umma) akiwemo rais ,pia ukitaja nchi kumi masikini zaidi kumi Tanzania imo kwa mujibu wa mashirika tofauti tofauti

1553104188136-png.1050068

Hivyo tupunguze kuwa over protective na kujifanya wakali kimsingi hekima ya masikini hata kibiblia hudharauliwa ,ukweli ni kwamba hatuwezi kuendelea bila kushirikiana na mataifa tajiri kwa akili tele ,ngoja nifunguke TANZANIA INAZIHITAJI SANA NCHI TAJIRI KULIKO ZENYEWE ZINAVYOIHITAJI TANZANIA ,ALIEKUTANGULIA AMEKUWAHI .
2.Sisi tuna serikali masikini .
-kwa haraka ,Dangote ana miliki mali nyingi kuliko serikali yetu Namaanisha ukichukua mali zote za serikali ukatoa madeni .Mantiki yangu hapa ni kwamba serikali yetu ijikite kuwa yenye kuimarisha utawala bora,mazingira mazuri ya biashara ,ulinzi etc lakini mambo ya kuwekeza kwenye biashara NASEMA HIVI SERIKALI YETU NI MASIKINI haina ubavu huo .Yenyewe ijikite kwenye miradi ya uwezeshaji kama miundo mbinu ,elimu na teknolojia mambo ya kununua bomberdier iachane nayo yenyewe ijenge viwanja bora vya ndege ipunguze utitiri wa makodi na urasimu wafanyabiashara wakiona kuendesha ndege kunalipa wataleta ndege za kumwaga ,sitaki kutetea fast jet lakini ile ilikuwa inaakisi maana ya kuinua wanyonge .

3.Tanzania sio nchi ya amani wanao sema neno hilo ni watawala tu.
-Amani ni scientific phenomena ,imaweza kupimwa kama unavyoweza pima ndoa yenye amani au isiyo na amani kuna vigezo ambavyo wasomi dunia nzima wanakubaliana ni vigezo vya msingi vya amani,(sitataja demokrasia na uhuru wa maoni ) ntaharibu u-neutral wa hoja ntakuwa ni mpinzani natumiwa na mabeberu ,au nikiegamia serikali mtasema mimi sio kamanda ,fisadi ,ninatumiwa etc ,Amani tunaipima kwenye utendaji wa mahakama ,je iko huru ? lishe bora ,kiwango cha elimu ya uraia ,mahusiano na mtizamo wa jamii dhidi vya vyombo vya usalama ,je ni wa kirafiki? kiwango cha rushwa ,Leo hii sierra reone iliyotoka vitani imetuzidi amani ,na jalibu google source Global Peace Index - Wikipedia za nchi kumi zenye amani africa asilimia 90% hawaitaji kabisa Tanzania hivyo TANZANIA HAINA AMANI IN AWANANCHI WAJINGA AMBAO NI WATULIVU KWA HULKA (UTULIVU SIO AMANI),Hivyo tunatakiwa tujitathmini tunakwama wapi na tutambue tumerudi nyuma kwa kudnganyana eti sisi ni kisiwa cha amani.

3.Tanzania sio nchi tajiri kwa maliasili kwa kiwango mnachodanganyana
-Nchi inayoongoza Kwa mali asilia duniani huwa ni urusi inakadiliwa mali yao ya deposit za madini ,misitu,maziwa etc ni 75 tillion dollars ,Tanzania kwa africa ni ya saba na takwimu zingine hata haziitaji ,maana yangu ni nini hapa (nia) kuwaambia kuwa wawekezaji ni watu wa kulea kama yai nje ya Tanzanite hakuna kitu tanzania ambacho hakipo huko duniani ukisema mashamba ,hamuwakuti zimbabwe ,zambia wala kongo,ukisema wingi wa chuma hatumo hata top ten africa hata uganda wanatuzidi Iron ore in Africa - Wikipedia ukitaja almasi hiyo williamson ya 11 The 25 Most Famous Diamonds Mines of the World | Diamonds ExaminerJamani hawa watu wana mbadala wa maana cha msingi tuache kudanganyana ,mpaka leo ukikaa vijiwe vya kahawa watanzania wanasema hakuna usalama wa taifa bora kama wa Tanzania unamuuliza alikudanganya nani hana source ,ukipanga majeshi imara kumi afrika kwa takwimu mbalimbali letu halipo haya makujiamini yanaturudisha nyuma jijueni makamilifu na mapungufu yenu mtasonga mbele

Nakunaliana na mtoa mada serikali haina uwezo wa kufanya biashara katika soko huru hata siku moja, kama kweli tunataka maendelea tuwekeze kwenye miundombinu ili kuweza kuwavutia wawekezaji lakini siyo serikali kufanya biashara yenyewe. Ilifanya biashara wakati wa Nyerere tena kulikuwa na monopoly ikaahindwa sembuse kwenye biashara huria. Wakati utaongea.
 
Nakunaliana na mtoa mada serikali haina uwezo wa kufanya biashara katika soko huru hata siku moja, kama kweli tunataka maendelea tuwekeze kwenye miundombinu ili kuweza kuwavutia wawekezaji lakini siyo serikali kufanya biashara yenyewe. Ilifanya biashara wakati wa Nyerere tena kulikuwa na monopoly ikaahindwa sembuse kwenye biashara huria. Wakati utaongea.
hawataki kuambiwa hivyo,ni sawa na TFF eti iwe na timu yake
 
Hebu niwape huu ukweli mchungu ambao hata Rais wangu pekee Mh Dr John Pombe Magufuli anatakiwa aambiwe asubuhi ,mchana na Jioni.
1.Sisi ni nchi masikini sana
-Nikimaanisha bila misaada hatuna uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi (watumishi wa umma) akiwemo rais ,pia ukitaja nchi kumi masikini zaidi kumi Tanzania imo kwa mujibu wa mashirika tofauti tofauti

1553104188136-png.1050068

Hivyo tupunguze kuwa over protective na kujifanya wakali kimsingi hekima ya masikini hata kibiblia hudharauliwa ,ukweli ni kwamba hatuwezi kuendelea bila kushirikiana na mataifa tajiri kwa akili tele ,ngoja nifunguke TANZANIA INAZIHITAJI SANA NCHI TAJIRI KULIKO ZENYEWE ZINAVYOIHITAJI TANZANIA ,ALIEKUTANGULIA AMEKUWAHI .
2.Sisi tuna serikali masikini .
-kwa haraka ,Dangote ana miliki mali nyingi kuliko serikali yetu Namaanisha ukichukua mali zote za serikali ukatoa madeni .Mantiki yangu hapa ni kwamba serikali yetu ijikite kuwa yenye kuimarisha utawala bora,mazingira mazuri ya biashara ,ulinzi etc lakini mambo ya kuwekeza kwenye biashara NASEMA HIVI SERIKALI YETU NI MASIKINI haina ubavu huo .Yenyewe ijikite kwenye miradi ya uwezeshaji kama miundo mbinu ,elimu na teknolojia mambo ya kununua bomberdier iachane nayo yenyewe ijenge viwanja bora vya ndege ipunguze utitiri wa makodi na urasimu wafanyabiashara wakiona kuendesha ndege kunalipa wataleta ndege za kumwaga ,sitaki kutetea fast jet lakini ile ilikuwa inaakisi maana ya kuinua wanyonge .

3.Tanzania sio nchi ya amani wanao sema neno hilo ni watawala tu.
-Amani ni scientific phenomena ,imaweza kupimwa kama unavyoweza pima ndoa yenye amani au isiyo na amani kuna vigezo ambavyo wasomi dunia nzima wanakubaliana ni vigezo vya msingi vya amani,(sitataja demokrasia na uhuru wa maoni ) ntaharibu u-neutral wa hoja ntakuwa ni mpinzani natumiwa na mabeberu ,au nikiegamia serikali mtasema mimi sio kamanda ,fisadi ,ninatumiwa etc ,Amani tunaipima kwenye utendaji wa mahakama ,je iko huru ? lishe bora ,kiwango cha elimu ya uraia ,mahusiano na mtizamo wa jamii dhidi vya vyombo vya usalama ,je ni wa kirafiki? kiwango cha rushwa ,Leo hii sierra reone iliyotoka vitani imetuzidi amani ,na jalibu google source Global Peace Index - Wikipedia za nchi kumi zenye amani africa asilimia 90% hawaitaji kabisa Tanzania hivyo TANZANIA HAINA AMANI IN AWANANCHI WAJINGA AMBAO NI WATULIVU KWA HULKA (UTULIVU SIO AMANI),Hivyo tunatakiwa tujitathmini tunakwama wapi na tutambue tumerudi nyuma kwa kudnganyana eti sisi ni kisiwa cha amani.

3.Tanzania sio nchi tajiri kwa maliasili kwa kiwango mnachodanganyana
-Nchi inayoongoza Kwa mali asilia duniani huwa ni urusi inakadiliwa mali yao ya deposit za madini ,misitu,maziwa etc ni 75 tillion dollars ,Tanzania kwa africa ni ya saba na takwimu zingine hata haziitaji ,maana yangu ni nini hapa (nia) kuwaambia kuwa wawekezaji ni watu wa kulea kama yai nje ya Tanzanite hakuna kitu tanzania ambacho hakipo huko duniani ukisema mashamba ,hamuwakuti zimbabwe ,zambia wala kongo,ukisema wingi wa chuma hatumo hata top ten africa hata uganda wanatuzidi Iron ore in Africa - Wikipedia ukitaja almasi hiyo williamson ya 11 The 25 Most Famous Diamonds Mines of the World | Diamonds ExaminerJamani hawa watu wana mbadala wa maana cha msingi tuache kudanganyana ,mpaka leo ukikaa vijiwe vya kahawa watanzania wanasema hakuna usalama wa taifa bora kama wa Tanzania unamuuliza alikudanganya nani hana source ,ukipanga majeshi imara kumi afrika kwa takwimu mbalimbali letu halipo haya makujiamini yanaturudisha nyuma jijueni makamilifu na mapungufu yenu mtasonga mbele
Hii ni moja ya post bora kabisa isiyo pepesa macho ambayo itaendelea kuishi.

The only
 
johnthni: 30819933 said:
Nimesoma bado sijaipata NIA hasa ya mleta mada.........naiweka kiporo nitaisoma tena asubuhi na mapema!
Huwezi kuiona nia kama hujalifungua kabati la lumumba na kuichukua akili yako! Hakuna maendeleo ya kweli bila kushirikiana na wengine!
Kama ulizaliwa miaka ya 90 huwezi kumwelewa mleta hoja kwani hali ya uchumi iliyopo leo haina tofauti na ile iliyokuwepo miaka ua 70 na 80 ambayo ilimlazimu Mtei kujiuzulu na hatimaye hayati Nyerere kukataa kuendelea kukaa ofisini kwani aliyoyapigania hayakuzaa matunda aliyodhani yapo na badala yake mfumo wa uchumi wa dunia ulimtenga kwa kuwa naye alijiyenga nao!
Majina aliowaita wadau wa maendeleo wa ulimwengu leo hii mnaimbishwa kikasuku huku nchi ikiwa hoi! Tusidanganyane! Hatutoki na hatutokaa tutoke kwa kiburi hiki bali tukubali kujirekebisha kuendana na mahitaji ya mifumo ya uchumi wa dunia..
 
Back
Top Bottom