Nadhan mm ntakuwa naangalia lakin sioni.. Hebu nieleze magu alichofanya...
1. Mm ni mwanafunz toka ameingia hela za mikopo zimekuwa za torch.. Hata hapa namdai hela ya ipt na inatakiwa atoe wik ijayo ww fuatilia kama itatoka hyo nusu iliyobak wik ijayo watatangaza kama kawaida yao wakitoa kujitapa ila wasipotoa wanakaa kimya kama hawahusik.. (kwanza muongo alisema pesa yenyewe mkopo bado unamcheleweshea mwanafunz lakn tokaameingia haijawah kuwa)
2. Nina kaka yng aliajiriwa mwaka huu june arusha tech wakasitisha ajira akiwa tayar kaka keshaingia kazin na kahamisha had watoto shule na kuacha kaz yake ya awal mpaka sasa jamaa wapo kimya wanatulaghai na wafanyakaz hewa
3. My gal kamaliza chuo mwaka jana na kugraduate january ameshindwa kufanya chochote akijua april ajira zinatoka mara ikawa wongo wakaleta july mara akasimama huyo ubayemsifia akasema two.month wala haitazid mara hii sept ishafka mwez wa 3 na hatujui hatma yake...
4. Mtoto wa mama mkubwa alikuwa anafanya kaz land mark hotel jamaa kabana uchumi hotel imefungwa ile cster karud mtaa mpaka nw analea mtoto wake kwa kuunga...
5. Mama yng anataka kuacha kaz ili afanye utumishi wa Mungu jamaa anataka kutuletea mambo mengne ya fao na sheria za ajab...
Hebu nitajie mema aliyokufanyia ww huyu jamaa labda ni mm tu ndo naumia na mambo yake