Msukuma_De_Great
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 1,185
- 973
Wamepafanya geto enheee
Wakati ndio anakulisha na kukusomesha kwa kupitia CCMYaani baba yangu angekuwa anajishughulisha na siasa halafu tena upande wa CCM ningemshauri atoke tu.
Usifananishe mambo yasiyofananaUjinga ni kunyima watu kutumia Uwanja wa Ushirika Kuaga Mwili wa Mzee Ndesamburo,alafu unageuza Ikulu Ghofu la Wanyang'anyi,Wachawi,Wazandiki na Watu Wasiojulikana.
GENTAMYCINE mkuu,kwani amelazimishwa?
Hivi luna timu bora,kubwa na yenye mafanikio hapa nyumbani,Afrika kama Yanga!?
Ametumiwa kwenye dharura.Tunaomba kujulishwa katibu mkuu wa chama yuko wapi
Ikulu iko chini ya Chama tawala...Kumbe Ikulu kuna kumbi zinakodishwa kwa shughuli binafsi za kichama n.k?
yeye mbabe bwanaujue siamini hiv kweli jamaa kageuza ikulu tawi la ccm
Siwezi kufanyia kikao kwenye jumba analoishi mtesi wa wazalendo wa Nchi hii.Ikulu iko chini ya Chama tawala...
hata hivyo kama una shughuli yako unataka kuifanyia ikulu fuata utaratibu wa kuomba utakubaliwa