Rais Magufuli na CCM Mkutanoni!

Rais Magufuli na CCM Mkutanoni!

GENTAMYCINE mkuu,punguza chuki,basi hili kombe la msimu wa 2017/2018 tutawagaieni na nyie mlionje hata kidogo,maana nahisi hizo hasira zaweza kuwa sababu ya kulikosa miaka mitano mifululizo!

Usijari mtani,nakuheshimu pia,tutunziane heshimu!

Much respect!
 
Back
Top Bottom