Syston
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 243
- 339
Hapo kwenye kuzuia watu wasijinyonge Kamanda amezurura aisee. Siriazi kabisa anasema hadharani watahakikisha wanawasaka na wanawakamata watu wanaotaka kujinyonga. Sasa utathibitisha vipi mtu ana mpango wa kujinyonga maana hata anaeenda kujinyonga akifika barabarani anavuka kwa uangalifu asije akagongwa.