Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais

Aiseee rangi zake zimeshaanza kujionyesha, Tabora hawakumpa kura? Mbona Tabora sioni kama kuna upinzani? ndio maana sijasikia akifanya Ziara kwenda mbeya kuongea na wananchi, kimara wamebomolewa kisa upinzani? Huu ubaguzi si mzuri hata kidogo
 
Aiseee rangi zake zimeshaanza kujionyesha, Tabora hawakumpa kura? Mbona Tabora sioni kama kuna upinzani? ndio maana sijasikia akifanya Ziara kwenda mbeya kuongea na wananchi, kimara wamebomolewa kisa upinzani? Huu ubaguzi si mzuri hata kidogo
KWANI TABORA WANA BOMOLESHWA?
 
Ameenda mwanza as many times na kuzindua too many projects but he's never been in Mbeya since elected kwakuwa tuu Mby ni power house ya M4C

This hurts...
 
Kuna umuhimu mkubwa kwa raisi kuwa na washaur, hz kauli zitamtesa sana ikafika 2020 haya ni manyanyaso ya waz waz
 
Itakuwa ngumu kushinda 2020 kama kutakuwa na Tume huru ya Uchaguzi lakini kinyume chake ni uchakachuzi tu, cha msingi ni kudai tume huru ya uchaguzi, sasa sijui nani atakayeanzisha hoja, wapinzani wamebanwa na wamejaa uwoga, wangejipa moyo mgumu njia ni nyepesi kwani ukiangalia kwa makini na kauli mbalimbali ya Mkulu ni mwoga tu.

Kwaiyo unangojea watu wengine waje kukupigania haki yako. Wewe ndio mwoga
 
Back
Top Bottom