Rais Magufuli mkumbuke Pascal Mayalla U-DC Ikungi

Mkuu samahani,
Kwamba na sisi wanaJF tutoe mwakilishi walau mmoja????

Kwani unafikiri hao wawakilishi wengine sio wanaJF?
Kweli kabisa Mayalla amepambana sana kuliko hata Bashe ni muda wake na sisi wa JF tutoe angalau muwakilishi mmoja. Maana jimbo/wilaya ya Nzega imeshatoa waziri na naibu.
 
Tatizo mayalla ka umri kameshaenda
 
Ndyo maana li nchi linaelekea zimbabwe zababu tumeangukia pua. Viongozi wanachaguliwa kwa kigezo cha kujipendekeza kwa rais na si kuangalia vigezo vya msingi. Na mtu anayejipendekeza kuwa mnafiki. Na mtu mnafiki hawezi kutoa mawazo mbadala yanayoweza kuleta maendeleo kama atakuwa tofaut na mkuu wake.
 
Kwahiyo kila anayetea juhudi mitandaoni apewe cheo?
Je, utajuaje kama MTU anafanya hivyo kwa maslahi binafisi au kwa maslahi ya umma.
 
Mpigie simu umwambie,humu hayupo
 
Aliwahi kusema mshahara wa dc yeye ni sawa na kodi anayolipa kwenye office yake hivyo hicho cheo hana mpango nacho
haiwezekani,yaani na msimu huu wa njaa kali jamani -- eti kaka Paskali ya kweli haya, au hawa wazee wa fitna wameanza kukuzibia riski..yaani kitumbua mezani ugome kukila?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…