Rais Magufuli - Mema Yake Hayaonekani?

Sijawahi kuwa mpambe wa Rais, CCM au Serikali. Kati ya mambo yaliyonikera na yanayoendelea kunikera katika awamu hii ni hawa Wasiojulikana. Hawa kazi yao ni kuteka, kutesa, kuua, kuwaonea na kuwatengenezea watu kesi bandia na kupoteza watu. Huu ni unyama wa hali ya juu usiostahili kuwepo katika jamii iliyostarabika na inayotambua maana ya utu wa mwanadamu. Hawa wanaturudisha kwenye primitivity. Hawa wameleta chuki kubwa miongoni mwa raia na raia dhidi ya Serikali.

Jana tumeambiwa ndege yetu imekamatwa kule South Afrika kwa amri ya mahakama. Mitandaoni kwa maoni ya wengi inaonesha kuna wengi waliofurahishwa na tukio hilo!

Mara kadhaa nimetumia ndege za ATCL ndani na nje ya nchi. Kuna mema mengi kuiona ndege ya Tanzania nje ya nchi, nawe unaenda kupanda ndege ya nchi yako, tena ndege iliyo nzuri. Unapanda na kwenda moja kwa moja nchini kwako, siyo safari yako ni kwenda Dar, lakini kwanza unazungushwa mpaka Addis Ababa au Nairobi. Unapopanda ndege ya nchi yako, na unaenda moja jwa mojga nchini kwako, unaokoa muda, unatengeneza soko la ajira na bidhaa kwa wananchi wenzako, unatangaza taifa lako na kuna ile proud ya nchi yako pia.

Siwasemei wengine, lakini mimi ni miongoni mwa wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la ndege lenye ndege na linalotoa usafiri wa anga wa uhakika, ulikuwa ni uamuzi mzuri. Mimi ni kati ya wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la reli lenye train za kisasa ni uamuzi sahihi. Mimi naamini tunahitaji usafiri wa majini ulio salama na wa uhakika. Tunahitaji umeme wa kutosha na wa uhakika. Hivi vitu ni vyetu Watanzania wote, siyo vya serikali, Rais au CCM pekee yao. Vinatumia hela yetu sote lakini ili vitendeke ni lazima Wananchi wote tunatakiwa kuwa na ownership ili tuvipende, tuvitunze, tuviboreshe, na tuvihuzunikie vinapokubwa na mikasa.

Kwenye ndege, reli, meli, umeme, nidhamu serikalini, matumizi ya fedha za umma, maamuzi ya haraka, n.k; naipongeza Serikali, nampongeza Rais na nawapongeza Wananchi wote.

Huyu Rais ni binadamu, aweza kufanya makosa, na wakati mwingine ni wakati anapodhamiria kufanya mema. Hilo linapotokea, tusitazame tu yale makosa bali tuitazame ile dhamira yake njema.

Yawezekana kutokana na mambo ya hovyo yanayofanywa na wasiojulikana, yakatufanya kuichukia awamu hii kwa kila jambo hata tukashindwa kuyaona yaliyo mema.

Lakini kwa hakika, kuna mambo ambayo Rais anayasimamia na yanafanyika, ni mambo sahihi. Tunaweza kumlaumu kwa baadhi ya mambo lakini kuna mambo ya msingi kwa Taifa letu anayoyasimamia, tunaweza kuyapuuza leo lakini kuna siku, huenda akiondoka madarakani au atakapoondoka Duniani, tutamkumbuka. Katika yale mema ambayo Rais anayafanya, Mungubayape baraka ili yakapate kuleta faida kwa Taifa letu. Na yale ya wasiojulikana na wasiojulikana, wakapate laana kuu wote wenye kuyatenda na kuyapanga.

Maadui wakubwa wa Taifa letu, kwa serikali, kwa CCM na kwetu wananchi wote, ni hawa Wanaojiita wasiojulikana. Hawa ndio wanaoondoa upendo miongoni mwa wananchi na wananchi walio wengi dhidi ya serikali na watawala.

Hawa wanajua Mbowe, Msigwa, Heche, Mdee, kila siku wanajua wamekula nini, wamelala na kuamka saa ngapi, wameongea na nani na muda gani, wamevaa nini, n.k. lakini hawana uwezo wa kujua ATCL imeshtakiwa, hawana uwezo wa kujua ndege itashikiliwa, hawana uwezo wa kujua korosho hazitauzika, hawana uwezo wa kujua mahindi yakizuiwa kuuzwa nje yatakosa soko, n.k. Hii inatupa ujumbe kuwa, hawa Wasiojulikana wanachokijua ni uovu na siyo kulisaidia Taifa kwa mambo ya msingi kama usalama wa kiuchumi.

Hivi kweli ATCL imeshindwa kuwa na makubaliano ya ulipaji wa madeni yake mpaka kufikia hatua ya kuchukuliwa ndege yetu? Pamoja na yote, ndege yetu kushikiliwa ndani ya nchi rafiki inasikitisha sana! Hawa akina Kabudi hawana diplomasia ya biashara na uchumi? Au wanachojua ni zile diplomasia za miaka ya 60 tu za hata mtu akijikwaa kwenye gogo aliloliwekwa mwenyewe anasema, 'unaona njama za mabeberu na wakoloni!'.

Hii inadhihirisha wazi ukweli ambao wengi wamekuwa wanausema, Rais hana watu sahihi kwa majukumu ya kitaifa. Mara nyingi watu wanaofanya kazi kubwa ya kumsifu boss wao ni wale wenye mapungifu makubwa kiuwezo na ni watu wasiojiamini.

Poleni Watanzania kwa hii aibu ya kidogo chetu kutaka kunyang'anywa.

Niliponunua kigari changu kwa mara ya kwanza nilisifiwa kuwa nimefanya jambo la maendeleo. Kuna rafiki zangu wawili walinicheka lakini kwa sababu tofauti. Mmoja alinicheka kwa kununua "gari la kike" - gari nililonunua ilikuwa Toyota Starlet yeye akiwa amenunua Toyota Crown. Rafiki wa pili alinicheka kwa kuwekeza kwenye kitu kitakachonipunguzia kipato badala ya kuniongezea, na nilinunua hilo gari kutokana na pesa ya mkopo (personal loan).
Miaka miwili baadae niliwaelewa rafiki zangu hawa wote wawili; lakini kwa experience tofauti. Alieniambia nimejipunguzia kipato alikuwa sahihi MNO, yule mwenye Toyota Crown alijikuta anakosa hata wa kumuuzia hilo gari lake la kiume (Toyota Crown ni 6 cylinder na zinakunywa mafuta balaa).

Hayo "mema" ya Magufuli ni kununua Toyota Crown kwa kuchukua personal loan huku mahitaji yake ya mafuta yanakula 70% ya pato lako kabla hujakatwa marejesho ya mkopo. Miradi yake yote kabisa haina immediate returns, na tuna mahitaji mengi MUHIMU zaidi kuliko hizo "Toyota Crowns" zake.
My two cents worth of opinion.
 
Ndani ya miaka 58 ya uhai wa taifa letu yametokea mengi sana. Na kama nchi haupo uwezekano wa kutomdai mtu wa nje au kutodaiwa na mtu wa nje.

No man is an ireland, kama sio leo au kesho utajikuta unao uhitaji wa ushirikiano aidha wa kibiashara au kisiasa na taasisi za kimataifa.

Ni uzi wenye kejeli inayohusianisha wasiojulikana na masuala ya kibiashara. Sarcastic Thread.
 
Bika haki HAKI hata uwalishe wananchi kwa mikono yako itabaki kuwa kazi bure! Na pia mazuri yanajionyesha wazi na sio lazima tulazimishwe kuyaona!
 
Wakio South wanadai kesi imefunguluwa na jamaa anayejiita Captain Roy mmiliki wa DAS Air.Wengine wanasema kuna mtu anajifanya Capt Roy tapeli flan toka Pembeni ya Ziwa Victoria anayeishi SA.Wengine wanasema case imefunguliwa na SAA .Ila hawa SAA waluwahi kuiba vifaa vya maintenance toka Hangar ya ATCL pale KIA.Kwann na ATCL wasizuie ndege yao hapa? Tuache kuwa wanyonge
 
Wakio South wanadai kesi imefunguluwa na jamaa anayejiita Captain Roy mmiliki wa DAS Air.Wengine wanasema kuna mtu anajifanya Capt Roy tapeli flan toka Pembeni ya Ziwa Victoria anayeishi SA.Wengine wanasema case imefunguliwa na SAA .Ila hawa SAA waluwahi kuiba vifaa vya maintenance toka Hangar ya ATCL pale KIA.Kwann na ATCL wasizuie ndege yao hapa? Tuache kuwa wanyonge
Leta mkataba hapa janvini tupitie nakujilidhisha kabla ya kuzuia Ndege yao tusije kuruka mkojo na kukanyaga kimba tatizo mikabata ya The republic of Bong yote ni siri uwezi kujua hawa dugu zako unawatetea walisahini vitugani mahakama ndi yenye mamlaka ya kuzui sio Lumumba.
 
Sijawahi kuwa mpambe wa Rais, CCM au Serikali. Kati ya mambo yaliyonikera na yanayoendelea kunikera katika awamu hii ni hawa Wasiojulikana. Hawa kazi yao ni kuteka, kutesa, kuua, kuwaonea na kuwatengenezea watu kesi bandia na kupoteza watu. Huu ni unyama wa hali ya juu usiostahili kuwepo katika jamii iliyostarabika na inayotambua maana ya utu wa mwanadamu. Hawa wanaturudisha kwenye primitivity. Hawa wameleta chuki kubwa miongoni mwa raia na raia dhidi ya Serikali.

Jana tumeambiwa ndege yetu imekamatwa kule South Afrika kwa amri ya mahakama. Mitandaoni kwa maoni ya wengi inaonesha kuna wengi waliofurahishwa na tukio hilo!

Mara kadhaa nimetumia ndege za ATCL ndani na nje ya nchi. Kuna mema mengi kuiona ndege ya Tanzania nje ya nchi, nawe unaenda kupanda ndege ya nchi yako, tena ndege iliyo nzuri. Unapanda na kwenda moja kwa moja nchini kwako, siyo safari yako ni kwenda Dar, lakini kwanza unazungushwa mpaka Addis Ababa au Nairobi. Unapopanda ndege ya nchi yako, na unaenda moja jwa mojga nchini kwako, unaokoa muda, unatengeneza soko la ajira na bidhaa kwa wananchi wenzako, unatangaza taifa lako na kuna ile proud ya nchi yako pia.

Siwasemei wengine, lakini mimi ni miongoni mwa wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la ndege lenye ndege na linalotoa usafiri wa anga wa uhakika, ulikuwa ni uamuzi mzuri. Mimi ni kati ya wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la reli lenye train za kisasa ni uamuzi sahihi. Mimi naamini tunahitaji usafiri wa majini ulio salama na wa uhakika. Tunahitaji umeme wa kutosha na wa uhakika. Hivi vitu ni vyetu Watanzania wote, siyo vya serikali, Rais au CCM pekee yao. Vinatumia hela yetu sote lakini ili vitendeke ni lazima Wananchi wote tunatakiwa kuwa na ownership ili tuvipende, tuvitunze, tuviboreshe, na tuvihuzunikie vinapokubwa na mikasa.

Kwenye ndege, reli, meli, umeme, nidhamu serikalini, matumizi ya fedha za umma, maamuzi ya haraka, n.k; naipongeza Serikali, nampongeza Rais na nawapongeza Wananchi wote.

Huyu Rais ni binadamu, aweza kufanya makosa, na wakati mwingine ni wakati anapodhamiria kufanya mema. Hilo linapotokea, tusitazame tu yale makosa bali tuitazame ile dhamira yake njema.

Yawezekana kutokana na mambo ya hovyo yanayofanywa na wasiojulikana, yakatufanya kuichukia awamu hii kwa kila jambo hata tukashindwa kuyaona yaliyo mema.

Lakini kwa hakika, kuna mambo ambayo Rais anayasimamia na yanafanyika, ni mambo sahihi. Tunaweza kumlaumu kwa baadhi ya mambo lakini kuna mambo ya msingi kwa Taifa letu anayoyasimamia, tunaweza kuyapuuza leo lakini kuna siku, huenda akiondoka madarakani au atakapoondoka Duniani, tutamkumbuka. Katika yale mema ambayo Rais anayafanya, Mungubayape baraka ili yakapate kuleta faida kwa Taifa letu. Na yale ya wasiojulikana na wasiojulikana, wakapate laana kuu wote wenye kuyatenda na kuyapanga.

Maadui wakubwa wa Taifa letu, kwa serikali, kwa CCM na kwetu wananchi wote, ni hawa Wanaojiita wasiojulikana. Hawa ndio wanaoondoa upendo miongoni mwa wananchi na wananchi walio wengi dhidi ya serikali na watawala.

Hawa wanajua Mbowe, Msigwa, Heche, Mdee, kila siku wanajua wamekula nini, wamelala na kuamka saa ngapi, wameongea na nani na muda gani, wamevaa nini, n.k. lakini hawana uwezo wa kujua ATCL imeshtakiwa, hawana uwezo wa kujua ndege itashikiliwa, hawana uwezo wa kujua korosho hazitauzika, hawana uwezo wa kujua mahindi yakizuiwa kuuzwa nje yatakosa soko, n.k. Hii inatupa ujumbe kuwa, hawa Wasiojulikana wanachokijua ni uovu na siyo kulisaidia Taifa kwa mambo ya msingi kama usalama wa kiuchumi.

Hivi kweli ATCL imeshindwa kuwa na makubaliano ya ulipaji wa madeni yake mpaka kufikia hatua ya kuchukuliwa ndege yetu? Pamoja na yote, ndege yetu kushikiliwa ndani ya nchi rafiki inasikitisha sana! Hawa akina Kabudi hawana diplomasia ya biashara na uchumi? Au wanachojua ni zile diplomasia za miaka ya 60 tu za hata mtu akijikwaa kwenye gogo aliloliwekwa mwenyewe anasema, 'unaona njama za mabeberu na wakoloni!'.

Hii inadhihirisha wazi ukweli ambao wengi wamekuwa wanausema, Rais hana watu sahihi kwa majukumu ya kitaifa. Mara nyingi watu wanaofanya kazi kubwa ya kumsifu boss wao ni wale wenye mapungifu makubwa kiuwezo na ni watu wasiojiamini.

Poleni Watanzania kwa hii aibu ya kidogo chetu kutaka kunyang'anywa.
Kujenga miundombinu,kununua ndege nk vikienda sambamba na watu kutekwa,watu kupigwa risasi,watu kufunguliwa kesi zisizo na kichwa wala miguu na mengineyo mengi yanayo fanana na hayo,watu hawataona jema zaidi ya uovu.Tukifanya hayo yote huku Taifa linaingizwa katika chuki kuu na kupoteza udugu tulio rithishwa na Waasisi wa Taifa,hayo yote hayana faida,kama kuleta maendeleo ni lazima kuende sambamba na watu wetu wauawe,watekwe,wafunguliwe kesi zisizo na mashiko Bora kubaki bila bara bara,Ndege,reli nk lakini udugu wetu wa Kitanzania uendelee kudugu.
 
Utawala huu una machache sana ya kujivunia na Mengi sana ya kulaumiwa, kiufpi anayesifu utawala huu kwa kununua ndege wakati Elimu yetu inaendelea kuwa duni, Ajira kwa walimu eti "wa sanaa" zimesitishwa", Kilimo hakipewi investment ya kutosha, Maji safi na salama kwa wananchi wengi bado kitendawili!

Hizo ndege gharama za service ni pesa kodi ya Mtanzania
Ni lini hizo ndege zitafanya ruti mpaka zirudishe pesa zilizozinunulia?
 
Niliponunua kigari changu kwa mara ya kwanza nilisifiwa kuwa nimefanya jambo la maendeleo. Kuna rafiki zangu wawili walinicheka lakini kwa sababu tofauti. Mmoja alinicheka kwa kununua "gari la kike" - gari nililonunua ilikuwa Toyota Starlet yeye akiwa amenunua Toyota Crown. Rafiki wa pili alinicheka kwa kuwekeza kwenye kitu kitakachonipunguzia kipato badala ya kuniongezea, na nilinunua hilo gari kutokana na pesa ya mkopo (personal loan).
Miaka miwili baadae niliwaelewa rafiki zangu hawa wote wawili; lakini kwa experience tofauti. Alieniambia nimejipunguzia kipato alikuwa sahihi MNO, yule mwenye Toyota Crown alijikuta anakosa hata wa kumuuzia hilo gari lake la kiume (Toyota Crown ni 6 cylinder na zinakunywa mafuta balaa).

Hayo "mema" ya Magufuli ni kununua Toyota Crown kwa kuchukua personal loan huku mahitaji yake ya mafuta yanakula 70% ya pato lako kabla hujakatwa marejesho ya mkopo. Miradi yake yote kabisa haina immediate returns, na tuna mahitaji mengi MUHIMU zaidi kuliko hizo "Toyota Crowns" zake.
My two cents worth of opinion.
Ndege ni za mkopo?
 
Unapoteza muda wako, labda umshawishi Chief Mareale kwanza akikubali, basi wanaoichukia Tanzania yetu na kufurahia matatizo yetu ndo watabadilika, lkn kuongea nao hapa unapigia mbuzi Gitaa.

Kwanini usimshawishi anayetumia mamlaka yake vibaya kuacha mambo machafu, hasa ukizingatia anachofanya ni wajibu wake na sio hisani ukizingatia analipwa mshahara?
 
Sijawahi kuwa mpambe wa Rais, CCM au Serikali. Kati ya mambo yaliyonikera na yanayoendelea kunikera katika awamu hii ni hawa Wasiojulikana. Hawa kazi yao ni kuteka, kutesa, kuua, kuwaonea na kuwatengenezea watu kesi bandia na kupoteza watu. Huu ni unyama wa hali ya juu usiostahili kuwepo katika jamii iliyostarabika na inayotambua maana ya utu wa mwanadamu. Hawa wanaturudisha kwenye primitivity. Hawa wameleta chuki kubwa miongoni mwa raia na raia dhidi ya Serikali.

Jana tumeambiwa ndege yetu imekamatwa kule South Afrika kwa amri ya mahakama. Mitandaoni kwa maoni ya wengi inaonesha kuna wengi waliofurahishwa na tukio hilo!

Mara kadhaa nimetumia ndege za ATCL ndani na nje ya nchi. Kuna mema mengi kuiona ndege ya Tanzania nje ya nchi, nawe unaenda kupanda ndege ya nchi yako, tena ndege iliyo nzuri. Unapanda na kwenda moja kwa moja nchini kwako, siyo safari yako ni kwenda Dar, lakini kwanza unazungushwa mpaka Addis Ababa au Nairobi. Unapopanda ndege ya nchi yako, na unaenda moja jwa mojga nchini kwako, unaokoa muda, unatengeneza soko la ajira na bidhaa kwa wananchi wenzako, unatangaza taifa lako na kuna ile proud ya nchi yako pia.

Siwasemei wengine, lakini mimi ni miongoni mwa wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la ndege lenye ndege na linalotoa usafiri wa anga wa uhakika, ulikuwa ni uamuzi mzuri. Mimi ni kati ya wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la reli lenye train za kisasa ni uamuzi sahihi. Mimi naamini tunahitaji usafiri wa majini ulio salama na wa uhakika. Tunahitaji umeme wa kutosha na wa uhakika. Hivi vitu ni vyetu Watanzania wote, siyo vya serikali, Rais au CCM pekee yao. Vinatumia hela yetu sote lakini ili vitendeke ni lazima Wananchi wote tunatakiwa kuwa na ownership ili tuvipende, tuvitunze, tuviboreshe, na tuvihuzunikie vinapokubwa na mikasa.

Kwenye ndege, reli, meli, umeme, nidhamu serikalini, matumizi ya fedha za umma, maamuzi ya haraka, n.k; naipongeza Serikali, nampongeza Rais na nawapongeza Wananchi wote.

Huyu Rais ni binadamu, aweza kufanya makosa, na wakati mwingine ni wakati anapodhamiria kufanya mema. Hilo linapotokea, tusitazame tu yale makosa bali tuitazame ile dhamira yake njema.

Yawezekana kutokana na mambo ya hovyo yanayofanywa na wasiojulikana, yakatufanya kuichukia awamu hii kwa kila jambo hata tukashindwa kuyaona yaliyo mema.

Lakini kwa hakika, kuna mambo ambayo Rais anayasimamia na yanafanyika, ni mambo sahihi. Tunaweza kumlaumu kwa baadhi ya mambo lakini kuna mambo ya msingi kwa Taifa letu anayoyasimamia, tunaweza kuyapuuza leo lakini kuna siku, huenda akiondoka madarakani au atakapoondoka Duniani, tutamkumbuka. Katika yale mema ambayo Rais anayafanya, Mungubayape baraka ili yakapate kuleta faida kwa Taifa letu. Na yale ya wasiojulikana na wasiojulikana, wakapate laana kuu wote wenye kuyatenda na kuyapanga.

Maadui wakubwa wa Taifa letu, kwa serikali, kwa CCM na kwetu wananchi wote, ni hawa Wanaojiita wasiojulikana. Hawa ndio wanaoondoa upendo miongoni mwa wananchi na wananchi walio wengi dhidi ya serikali na watawala.

Hawa wanajua Mbowe, Msigwa, Heche, Mdee, kila siku wanajua wamekula nini, wamelala na kuamka saa ngapi, wameongea na nani na muda gani, wamevaa nini, n.k. lakini hawana uwezo wa kujua ATCL imeshtakiwa, hawana uwezo wa kujua ndege itashikiliwa, hawana uwezo wa kujua korosho hazitauzika, hawana uwezo wa kujua mahindi yakizuiwa kuuzwa nje yatakosa soko, n.k. Hii inatupa ujumbe kuwa, hawa Wasiojulikana wanachokijua ni uovu na siyo kulisaidia Taifa kwa mambo ya msingi kama usalama wa kiuchumi.

Hivi kweli ATCL imeshindwa kuwa na makubaliano ya ulipaji wa madeni yake mpaka kufikia hatua ya kuchukuliwa ndege yetu? Pamoja na yote, ndege yetu kushikiliwa ndani ya nchi rafiki inasikitisha sana! Hawa akina Kabudi hawana diplomasia ya biashara na uchumi? Au wanachojua ni zile diplomasia za miaka ya 60 tu za hata mtu akijikwaa kwenye gogo aliloliwekwa mwenyewe anasema, 'unaona njama za mabeberu na wakoloni!'.

Hii inadhihirisha wazi ukweli ambao wengi wamekuwa wanausema, Rais hana watu sahihi kwa majukumu ya kitaifa. Mara nyingi watu wanaofanya kazi kubwa ya kumsifu boss wao ni wale wenye mapungifu makubwa kiuwezo na ni watu wasiojiamini.

Poleni Watanzania kwa hii aibu ya kidogo chetu kutaka kunyang'anywa.

Mkuu naomba nikuulize, hivi ukimuajiri mtu shambani kwako huku ukiwa unamlipa mshahara, ikatokea akatoa mavuno mengi sana kisha ukatumia kujenga nyumba. Je huyo uliyemuajiri akimlawiti mtoto wako, utampongeza kwa yale mavuno uliyojengea nyumba au utamfukuza kazi kwa kumlawiti mwanao? Sina nafasi ya kumpongeza mlevi wa madaraka regardless anafanya nini hasa ukizingatia ni wajibu wake na sio hisani.
 
Sijawahi kuwa mpambe wa Rais, CCM au Serikali. Kati ya mambo yaliyonikera na yanayoendelea kunikera katika awamu hii ni hawa Wasiojulikana. Hawa kazi yao ni kuteka, kutesa, kuua, kuwaonea na kuwatengenezea watu kesi bandia na kupoteza watu. Huu ni unyama wa hali ya juu usiostahili kuwepo katika jamii iliyostarabika na inayotambua maana ya utu wa mwanadamu. Hawa wanaturudisha kwenye primitivity. Hawa wameleta chuki kubwa miongoni mwa raia na raia dhidi ya Serikali.

Jana tumeambiwa ndege yetu imekamatwa kule South Afrika kwa amri ya mahakama. Mitandaoni kwa maoni ya wengi inaonesha kuna wengi waliofurahishwa na tukio hilo!

Mara kadhaa nimetumia ndege za ATCL ndani na nje ya nchi. Kuna mema mengi kuiona ndege ya Tanzania nje ya nchi, nawe unaenda kupanda ndege ya nchi yako, tena ndege iliyo nzuri. Unapanda na kwenda moja kwa moja nchini kwako, siyo safari yako ni kwenda Dar, lakini kwanza unazungushwa mpaka Addis Ababa au Nairobi. Unapopanda ndege ya nchi yako, na unaenda moja jwa mojga nchini kwako, unaokoa muda, unatengeneza soko la ajira na bidhaa kwa wananchi wenzako, unatangaza taifa lako na kuna ile proud ya nchi yako pia.

Siwasemei wengine, lakini mimi ni miongoni mwa wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la ndege lenye ndege na linalotoa usafiri wa anga wa uhakika, ulikuwa ni uamuzi mzuri. Mimi ni kati ya wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la reli lenye train za kisasa ni uamuzi sahihi. Mimi naamini tunahitaji usafiri wa majini ulio salama na wa uhakika. Tunahitaji umeme wa kutosha na wa uhakika. Hivi vitu ni vyetu Watanzania wote, siyo vya serikali, Rais au CCM pekee yao. Vinatumia hela yetu sote lakini ili vitendeke ni lazima Wananchi wote tunatakiwa kuwa na ownership ili tuvipende, tuvitunze, tuviboreshe, na tuvihuzunikie vinapokubwa na mikasa.

Kwenye ndege, reli, meli, umeme, nidhamu serikalini, matumizi ya fedha za umma, maamuzi ya haraka, n.k; naipongeza Serikali, nampongeza Rais na nawapongeza Wananchi wote.

Huyu Rais ni binadamu, aweza kufanya makosa, na wakati mwingine ni wakati anapodhamiria kufanya mema. Hilo linapotokea, tusitazame tu yale makosa bali tuitazame ile dhamira yake njema.

Yawezekana kutokana na mambo ya hovyo yanayofanywa na wasiojulikana, yakatufanya kuichukia awamu hii kwa kila jambo hata tukashindwa kuyaona yaliyo mema.

Lakini kwa hakika, kuna mambo ambayo Rais anayasimamia na yanafanyika, ni mambo sahihi. Tunaweza kumlaumu kwa baadhi ya mambo lakini kuna mambo ya msingi kwa Taifa letu anayoyasimamia, tunaweza kuyapuuza leo lakini kuna siku, huenda akiondoka madarakani au atakapoondoka Duniani, tutamkumbuka. Katika yale mema ambayo Rais anayafanya, Mungubayape baraka ili yakapate kuleta faida kwa Taifa letu. Na yale ya wasiojulikana na wasiojulikana, wakapate laana kuu wote wenye kuyatenda na kuyapanga.

Maadui wakubwa wa Taifa letu, kwa serikali, kwa CCM na kwetu wananchi wote, ni hawa Wanaojiita wasiojulikana. Hawa ndio wanaoondoa upendo miongoni mwa wananchi na wananchi walio wengi dhidi ya serikali na watawala.

Hawa wanajua Mbowe, Msigwa, Heche, Mdee, kila siku wanajua wamekula nini, wamelala na kuamka saa ngapi, wameongea na nani na muda gani, wamevaa nini, n.k. lakini hawana uwezo wa kujua ATCL imeshtakiwa, hawana uwezo wa kujua ndege itashikiliwa, hawana uwezo wa kujua korosho hazitauzika, hawana uwezo wa kujua mahindi yakizuiwa kuuzwa nje yatakosa soko, n.k. Hii inatupa ujumbe kuwa, hawa Wasiojulikana wanachokijua ni uovu na siyo kulisaidia Taifa kwa mambo ya msingi kama usalama wa kiuchumi.

Hivi kweli ATCL imeshindwa kuwa na makubaliano ya ulipaji wa madeni yake mpaka kufikia hatua ya kuchukuliwa ndege yetu? Pamoja na yote, ndege yetu kushikiliwa ndani ya nchi rafiki inasikitisha sana! Hawa akina Kabudi hawana diplomasia ya biashara na uchumi? Au wanachojua ni zile diplomasia za miaka ya 60 tu za hata mtu akijikwaa kwenye gogo aliloliwekwa mwenyewe anasema, 'unaona njama za mabeberu na wakoloni!'.

Hii inadhihirisha wazi ukweli ambao wengi wamekuwa wanausema, Rais hana watu sahihi kwa majukumu ya kitaifa. Mara nyingi watu wanaofanya kazi kubwa ya kumsifu boss wao ni wale wenye mapungifu makubwa kiuwezo na ni watu wasiojiamini.

Poleni Watanzania kwa hii aibu ya kidogo chetu kutaka kunyang'anywa.
Mkuu unadhani kuna mtu alietimamu anadharau kuwa na ndege? tatizo kipaumbele
 
Huyi mtu mambo mazuri anayafanya tatizo lipo kwenye nguvu kubwa inayotumika kumuoba kama vile hakuna kama yeye au hakuna atakaekuja kua kama yeye, yani sifa na mapambio ni mengi mpaka unajiuliza mbona nguvu kubwa inatumika sana kuonesha ni mtu mzuri kwa mfano sasa hivi kila kiongozi wa serikali, chama cha mapinduzi akianza kuongea utamsikia "Serikali ya awamu ya tano ya jamhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na raisi John Pombe.........." mpaka unajiuliza kwani nani asiejua huyo ndo kiongozi wa awamu hii, nani asiejua yeye ni raisi..hii hupelekea hata vile vitu vibaya vinavyofanywa i.e kubinya upinzani, kumfanya yeye mungu mtu watu wasishughulike na mazuri wanashughulika na mabaya
Nachoelewa ni Kwamba Toka uchaguzi Mkuu 2015 uishe SIO CCM WALA UPINZANI ULIOTAKA KUISHI KAMA WATANZANIA. Kila upande uliendelea na unaendelea kuishi kama wako kwenye Kampeni za Uchaguzi. Kabla hata ya hiki mnachokiona kukandamiza UPINZANI, Hakuna siku upinzan Uliwahi msifu au kupongeza Kazi yoyote aliyofanya Magufuli. Na hakuna siku Wapenzi wa Magufuli waliwahi ponda au kosoa mapungufu yake.Wanasema for every action there is an equal and opposite reaction.Nguvu inayotumika kumpinga Magufuli toka kaingia madarakan ni kubwa mno na hii lazima iende sambamba na nguvu kubwa katika kumsifia au kupongeza. Nachokiona Ni kwa upinzan kutoelewa hiyo kanuni,Ukisema Magufuli anasifiwa sana lzm uangalie na nguvu inayotumika kumponda iko vipi?Kama nilivyosema hapo hawali, Siasa ya 2015 kuja juu tofauti na 2015 kushuka chini. Na hii inachangiwa na MABADILIKO makubwa katika nyanja za technology ambayo yamepelekea wananchi wengi kufuatilia siasa kwa karibu mno Elimu ya uraia ya mtu mmoja mmoja.

Mfano before awamu hii ufuatiliaji wa mambo ya SIASA ulikua mdogo sana,Jambo lolote la kisiasa likitokea ni wachache sana walikua wanadeal nalo na utaona wengi sana kila linalofanyika awamu hii wanakuambia hatujawahi ona awamu zilizopita. Wakusifia wanaona kuna kipya sana na wakuponda wanaona hivyo hivyo. Ni wachache sana wanaweza kuchambua Tofauti ya utawala huu na uliopita kwa FACTS ZAIDI na sio HISIA. Kamfano kadogo,Siku jpm alifanyia mkutano na wanaccm wenzie ikulu.Kuna watu walikuja juu na matusi kibao wakionesha ni ushamba na jambo hili ni geni sana. Lkn je jambo hili ni geni?So utaona kuna kundi ambalo kazi yao ni kupinga kila kitu na kuna kundi kazi yao ni kusifia kila kitu. Na kwa mazingira haya ndio tunaona kundi lingine ambalo upo wewe unahisi Sifa za Magufuli zimezidi kipimo bila kujua hizo sifa zinatokana na juhudi kubwa za kupinga kila kitu.

Mkuu hiki unachokiona hakiji from nowhere, asilimia kubwa kinasababishwa na Makundi Hayo mawili yaani WAFIA CHAMA NA WAFIA UPINZANI.
 
Sijawahi kuwa mpambe wa Rais, CCM au Serikali. Kati ya mambo yaliyonikera na yanayoendelea kunikera katika awamu hii ni hawa Wasiojulikana. Hawa kazi yao ni kuteka, kutesa, kuua, kuwaonea na kuwatengenezea watu kesi bandia na kupoteza watu. Huu ni unyama wa hali ya juu usiostahili kuwepo katika jamii iliyostarabika na inayotambua maana ya utu wa mwanadamu. Hawa wanaturudisha kwenye primitivity. Hawa wameleta chuki kubwa miongoni mwa raia na raia dhidi ya Serikali.

Jana tumeambiwa ndege yetu imekamatwa kule South Afrika kwa amri ya mahakama. Mitandaoni kwa maoni ya wengi inaonesha kuna wengi waliofurahishwa na tukio hilo!

Mara kadhaa nimetumia ndege za ATCL ndani na nje ya nchi. Kuna mema mengi kuiona ndege ya Tanzania nje ya nchi, nawe unaenda kupanda ndege ya nchi yako, tena ndege iliyo nzuri. Unapanda na kwenda moja kwa moja nchini kwako, siyo safari yako ni kwenda Dar, lakini kwanza unazungushwa mpaka Addis Ababa au Nairobi. Unapopanda ndege ya nchi yako, na unaenda moja jwa mojga nchini kwako, unaokoa muda, unatengeneza soko la ajira na bidhaa kwa wananchi wenzako, unatangaza taifa lako na kuna ile proud ya nchi yako pia.

Siwasemei wengine, lakini mimi ni miongoni mwa wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la ndege lenye ndege na linalotoa usafiri wa anga wa uhakika, ulikuwa ni uamuzi mzuri. Mimi ni kati ya wanaoamini kuwa uamuzi wa kuwa na shirika la reli lenye train za kisasa ni uamuzi sahihi. Mimi naamini tunahitaji usafiri wa majini ulio salama na wa uhakika. Tunahitaji umeme wa kutosha na wa uhakika. Hivi vitu ni vyetu Watanzania wote, siyo vya serikali, Rais au CCM pekee yao. Vinatumia hela yetu sote lakini ili vitendeke ni lazima Wananchi wote tunatakiwa kuwa na ownership ili tuvipende, tuvitunze, tuviboreshe, na tuvihuzunikie vinapokubwa na mikasa.

Kwenye ndege, reli, meli, umeme, nidhamu serikalini, matumizi ya fedha za umma, maamuzi ya haraka, n.k; naipongeza Serikali, nampongeza Rais na nawapongeza Wananchi wote.

Huyu Rais ni binadamu, aweza kufanya makosa, na wakati mwingine ni wakati anapodhamiria kufanya mema. Hilo linapotokea, tusitazame tu yale makosa bali tuitazame ile dhamira yake njema.

Yawezekana kutokana na mambo ya hovyo yanayofanywa na wasiojulikana, yakatufanya kuichukia awamu hii kwa kila jambo hata tukashindwa kuyaona yaliyo mema.

Lakini kwa hakika, kuna mambo ambayo Rais anayasimamia na yanafanyika, ni mambo sahihi. Tunaweza kumlaumu kwa baadhi ya mambo lakini kuna mambo ya msingi kwa Taifa letu anayoyasimamia, tunaweza kuyapuuza leo lakini kuna siku, huenda akiondoka madarakani au atakapoondoka Duniani, tutamkumbuka. Katika yale mema ambayo Rais anayafanya, Mungubayape baraka ili yakapate kuleta faida kwa Taifa letu. Na yale ya wasiojulikana na wasiojulikana, wakapate laana kuu wote wenye kuyatenda na kuyapanga.

Maadui wakubwa wa Taifa letu, kwa serikali, kwa CCM na kwetu wananchi wote, ni hawa Wanaojiita wasiojulikana. Hawa ndio wanaoondoa upendo miongoni mwa wananchi na wananchi walio wengi dhidi ya serikali na watawala.

Hawa wanajua Mbowe, Msigwa, Heche, Mdee, kila siku wanajua wamekula nini, wamelala na kuamka saa ngapi, wameongea na nani na muda gani, wamevaa nini, n.k. lakini hawana uwezo wa kujua ATCL imeshtakiwa, hawana uwezo wa kujua ndege itashikiliwa, hawana uwezo wa kujua korosho hazitauzika, hawana uwezo wa kujua mahindi yakizuiwa kuuzwa nje yatakosa soko, n.k. Hii inatupa ujumbe kuwa, hawa Wasiojulikana wanachokijua ni uovu na siyo kulisaidia Taifa kwa mambo ya msingi kama usalama wa kiuchumi.

Hivi kweli ATCL imeshindwa kuwa na makubaliano ya ulipaji wa madeni yake mpaka kufikia hatua ya kuchukuliwa ndege yetu? Pamoja na yote, ndege yetu kushikiliwa ndani ya nchi rafiki inasikitisha sana! Hawa akina Kabudi hawana diplomasia ya biashara na uchumi? Au wanachojua ni zile diplomasia za miaka ya 60 tu za hata mtu akijikwaa kwenye gogo aliloliwekwa mwenyewe anasema, 'unaona njama za mabeberu na wakoloni!'.

Hii inadhihirisha wazi ukweli ambao wengi wamekuwa wanausema, Rais hana watu sahihi kwa majukumu ya kitaifa. Mara nyingi watu wanaofanya kazi kubwa ya kumsifu boss wao ni wale wenye mapungifu makubwa kiuwezo na ni watu wasiojiamini.

Poleni Watanzania kwa hii aibu ya kidogo chetu kutaka kunyang'anywa.
Kati ya uzi bora kabisa kuusoma hapa jukwaani hongera sana
 
Magufuli na Tanzania ni kama mwanaume anaemtunza mkewe, tatizo lake moja tu, anakunywa pombe. mwanaume anaemtamani mwanamke wa huyu jamaa atajikita kwenye huo udhaifu wa jamaa kunywa pombe, ataelezea ubaya wote wa kunywa pombe mpaka mwanamke aanze kusononeka na kuanza kumtilia mashaka huyo jamaa. Siku mwanamke atakapohamia kwa huyu mwanaume mpya ndo ataanza kuona madhaifu ya huyo mwanaume mpya, pengine na kujutia kabisa kwanini aliachana na mnywa pombe ambae alikua anamhudumia kila kitu.

hii ndio trick inayotumiwa na CHADEMA. nakumbusha, mimi sina chama chochote, natoa tu maoni yangu kuhusu hawa watu wawili wanaogombania tonge moja.
 
Back
Top Bottom