assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Kuhusu bandari: Rais Magufuli anasema hivi, Waziri Mbarawa anasema vile
Kuhusu Machinga: Rais Magufuli anasema hivi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda anasema vile.
Kuhusu Wabunge wa Upinzani: Rais Magufuli anawaponda hivi, Spika anaiwata hivi, naibu spika anaponda na Lusinde anamkasirikia Spika kisa Kuwaita ubunge.
Kuhusu ajira Mpya: Rais Magufuli anasema hivi, Waziri Jafo anasema vile na Waziri Simbachawene anasema vile huku Waziri Mhagama anasema hivi.
Kuhusu elimu bure na mikopo ya elimu ya juu: Rais Magufuli anasema hivi na Waziri Ndalichako anasema vile.
Ni mengi ninayo ntawachocha sana, kweli kwa style hii mnara utasimama?
Kuhusu Machinga: Rais Magufuli anasema hivi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda anasema vile.
Kuhusu Wabunge wa Upinzani: Rais Magufuli anawaponda hivi, Spika anaiwata hivi, naibu spika anaponda na Lusinde anamkasirikia Spika kisa Kuwaita ubunge.
Kuhusu ajira Mpya: Rais Magufuli anasema hivi, Waziri Jafo anasema vile na Waziri Simbachawene anasema vile huku Waziri Mhagama anasema hivi.
Kuhusu elimu bure na mikopo ya elimu ya juu: Rais Magufuli anasema hivi na Waziri Ndalichako anasema vile.
Ni mengi ninayo ntawachocha sana, kweli kwa style hii mnara utasimama?