Mh Rais samani I know una nguvu zote na Mamlaka ila hiki unakifanya kubeza njia za kisayansi na kupingana na watu wa afya wazi kweli unalitesa Taifa na kamwe hulijengi.
Hivi kweli una apa nakujivuna as if huwoni nini kimeikumba dunia kweli basi hata kama niukweli basi kuna mambo bora usiseme.. Watu wanazika ndugu jamaa na marafiki sasa watu wa afya wanashauri wewe kila ukisimama unarusha mawe hivi kweli unafikiri hii ni dalili nzuri ktk utawala wako?
Basi heshim kidogo madaktar wanao pata tabu ni wananch wako watu wanaongea vibaya sana huku kitaa una creat hasira na uchungu hasa kwa watu wamesha poteza ndugu kwa covid 19.
Hivi unafikiri Watanzania tunajisikiaje? Basi funga hosp zote hili liwe taifa la watu wamitishamba dawa za jadi aka tiba mbadala. Mkuu covid anayeyuka at 56c joto la binadam 36-37c huko kujifukiza nihatari sana wengi wamekufa je unaweza jifukiza up to 56c? Nahapandio wengi wanapasemea?
Nafasi yako kubwa sana unatisha watu sana kiasi unafanya watu wote kwenye secta ya afya kushindwa tekeleza wajibu wao vyema. Wakiogopa tumbuliwa. Be on side ya Raia; je, tumwamini nani? Unatukosesha iman na sekta ya afya unaleta chuki kati ya raia na sekta ya afya. Unasababisha majibu ya covid 19 yatolewe fake ili wakufurahishe yes watakufarisha ila nataka kusema even you and your team hamtokuwa salama n hapo ndipo mtakumbuka ushauri mlikwisha ambiwa.
Viongoz wastaafu marais naomba mumshauri Mh Rais watu hatumuelewi kwani alienda somea udaktar wabinadam mbona yeye dokta, mkemia, eng nk kulikoni nini kaz ya taasisi ya Rais? Je anajuwa madhara ya muda mrefu kwakuwa kila mahali?
Mh sema ukweli mega projects umezianzisha zinakomba hazina yote ukifunga nchi tumekwisha na huwo ndio ukweli mchungu. Pili covid 19 kwa wa Tz imetukuta kipindi kibaya sana tayari uchumi ulikuwa kwenye kilima.. Tatu waache watu wa afya atekeleze kaz zao. Usiwarushie mawe na vijembe.
Hivi kweli una apa nakujivuna as if huwoni nini kimeikumba dunia kweli basi hata kama niukweli basi kuna mambo bora usiseme.. Watu wanazika ndugu jamaa na marafiki sasa watu wa afya wanashauri wewe kila ukisimama unarusha mawe hivi kweli unafikiri hii ni dalili nzuri ktk utawala wako?
Basi heshim kidogo madaktar wanao pata tabu ni wananch wako watu wanaongea vibaya sana huku kitaa una creat hasira na uchungu hasa kwa watu wamesha poteza ndugu kwa covid 19.
Hivi unafikiri Watanzania tunajisikiaje? Basi funga hosp zote hili liwe taifa la watu wamitishamba dawa za jadi aka tiba mbadala. Mkuu covid anayeyuka at 56c joto la binadam 36-37c huko kujifukiza nihatari sana wengi wamekufa je unaweza jifukiza up to 56c? Nahapandio wengi wanapasemea?
Nafasi yako kubwa sana unatisha watu sana kiasi unafanya watu wote kwenye secta ya afya kushindwa tekeleza wajibu wao vyema. Wakiogopa tumbuliwa. Be on side ya Raia; je, tumwamini nani? Unatukosesha iman na sekta ya afya unaleta chuki kati ya raia na sekta ya afya. Unasababisha majibu ya covid 19 yatolewe fake ili wakufurahishe yes watakufarisha ila nataka kusema even you and your team hamtokuwa salama n hapo ndipo mtakumbuka ushauri mlikwisha ambiwa.
Viongoz wastaafu marais naomba mumshauri Mh Rais watu hatumuelewi kwani alienda somea udaktar wabinadam mbona yeye dokta, mkemia, eng nk kulikoni nini kaz ya taasisi ya Rais? Je anajuwa madhara ya muda mrefu kwakuwa kila mahali?
Mh sema ukweli mega projects umezianzisha zinakomba hazina yote ukifunga nchi tumekwisha na huwo ndio ukweli mchungu. Pili covid 19 kwa wa Tz imetukuta kipindi kibaya sana tayari uchumi ulikuwa kwenye kilima.. Tatu waache watu wa afya atekeleze kaz zao. Usiwarushie mawe na vijembe.