mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,662
- 2,324
Hao wazungu mnaowaona kama vile ni watakatifu kila siku wanauana kwa kuchapana risasi mpaka wanaandamana kupinga silaha kuuzwa kama karanga mitaani.
Sijasema ni watakatifu nimesema wao ni bora. Au kwako utakatifu na ubora unafanana
