collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
Na mwandishi wetu.
Promoting private sector will be a permanent solution kwa uchumi wa Tanzania. Kwa vizazi hivi na vijavyo.
MWANZO
Hatuwezi kulilia viwanda vilete ajira. Wakati sector kama umeme na maji, zinaweza kutuletea ajira kubwa. Kuna hoja kubwa na za msingi kuzitumia (exploit) sector hizi ziweze kutengeneza ajira nyingi na za kutosha.
Mpaka sasa Tanesco imeweza kuwafikia sio zaidi ya asilimia 20 ya watanzania wote. Kwa population ya watu milion 50 ina maana Tanesco inahudumia wateja milion 10 tu. Mbali na serikali kutumia hela nyingi kuwekeza Tanesco, sijwahi kusikia hata siku moja Tanesco imefanikiwa kujiendesha yenyewe. Umeme ni kichaka kingine kinachosababisha serikali kukopa fedha nyingi nje kuisaidia Tanesco. Inasababisha hata deni la taifa kuwa kubwa. Mbali na kashfa ambazo haziishi (dowans, Richmond, escrow).
NINI KIFANYIKE
Kwa mtaji wa population ya watu milion 50, Sector ya umeme na maji, inaweza kutengenzea ajira kubwa kuliko viwanda ambavyo bado tunavifikira.
Promoting private sector will be a permanent solution kwa uchumi wa Tanzania. Kwa vizazi hivi na vijavyo.
MWANZO
Hatuwezi kulilia viwanda vilete ajira. Wakati sector kama umeme na maji, zinaweza kutuletea ajira kubwa. Kuna hoja kubwa na za msingi kuzitumia (exploit) sector hizi ziweze kutengeneza ajira nyingi na za kutosha.
Mpaka sasa Tanesco imeweza kuwafikia sio zaidi ya asilimia 20 ya watanzania wote. Kwa population ya watu milion 50 ina maana Tanesco inahudumia wateja milion 10 tu. Mbali na serikali kutumia hela nyingi kuwekeza Tanesco, sijwahi kusikia hata siku moja Tanesco imefanikiwa kujiendesha yenyewe. Umeme ni kichaka kingine kinachosababisha serikali kukopa fedha nyingi nje kuisaidia Tanesco. Inasababisha hata deni la taifa kuwa kubwa. Mbali na kashfa ambazo haziishi (dowans, Richmond, escrow).
NINI KIFANYIKE
- Huduma ya Umeme inatakiwa iwe ya ushindani kama ilivyo kwenye masiliano. Serikali iruhusu watu binafsi wawekeze kwenye umeme. Swala la umeme kuiachia Tanesco kuwa monopoly, (ambayo kimsingi imesha prove failure kwa mda mrefu) ni kuziminya fursa nyingi za uchumi.
- Tuangalie mapinduzi ya technology na mawasiliano yaliyoletwa na makampuni ya simu, baada ya serikali kuacha TTCL monopoly. Tigo, airtel, vodacom, halotel, zantel . Kwa ujumla wao wametoa ajira kwa vijana wangapi Tanzania? Je, leo hii tungekuwa na tigopesa au mpesa kama TTCL ingekuwa bado monopoly?
- Kwa takwimu za mwezi uliopita Tanzania ni nchi ambayo inaongoza Duniani kwa matumizi ya pesa za simu. Takribani watu milioni 21 kila siku wanafanya money transaction kupitia mitandao ya simu. Tuje kwa Tanesco, hawa jamaa wana wateja wangapi wa kuwahudumia kwa siku? kama wateja wao kwa jumla hawazidi milioni 10?
- Unagundua kwamba Tanesco has low capacity, and imekalia fursa nyingi za uchumi bila sababu. Tanesco iko busy mjini tu, vijijini uko hakuna kitu wala dalili za umeme.
- Sector ya umeme na maji ikiachiwa kuwa huru, nina uhakika inaweza kutengeneza ajira zaidi ya watu milioni 10. Ni zaidi ya viwanda tunavyovisubiria.
- Private sector inaleta ushindani mkubwa kwenye soko, ata bei ya bidhaa hupungua. Umeme utashuka bei tukiruhusu hili.
- kuna vijiji hapa Tanzania kwa miaka 1000 ijayo havitapata umeme. Hata Kama Prof Muhogo akiwa anakesha mikoni kuzunguka. Lakini utashangaa hivyo vijiji mitandao ya simu imefika, vocha wanapata, na bado pesa wanatoa kwenye simu.
- Deni la taifa litashuka. Serikali ipunguze pesa kufadhili hili shirika, na hizi pesa zipelekwe kwenye sector muhimu kama polisi, barabara, elimu. Ambayo Mh Raisi amehaidi
- Hakuna nchi duniani imeshawahi kuwa mfanyabiashara mzuri. Nchi zilizoendelea duniani zinatumia private sector kuwekeza in their behalf. Wamefanikiwa kutawala dunia kupitia private sectors za nchi zao.
- Inshort Public sector huwa hazina ubunifu na focus kama ilivyo private sector. Na ndo maana ata ukiongelea rushwa. Zaidi utaikuta kwenye mashirika na ofisi za serikali. why? Because nobody cares. Na hii sio Tanzania tu, duniani kote. Serikalini urasimu hauwezi kuisha ata kama Mh Raisi akiwa mkali mpaka mwisho. Kuruhusu uwekezaji huru, unapunguza kichaka cha urasimu na rushwa kwenye huduma za jamii.
- mbali na kutoa ajira, itaisaidia serikali punguza mzigo kutoa fedha kila siku kwa biashara ambayo imeshindikana. kwa kutegemea Tanesco na Dawasco Miaka 10 ya Mh Raisi itaisha, lakini bado vijijini hakuna umeme wala Maji.
- Tunahitaji mashirika ya umeme kutembea kila nyumba kutafuta wateja, sio kama ilivyo sasa unaandika barua ya maombi mwezi mzima, na bado rushwa juu unatoa. Transforma inaharibika, unaambiwa tunapeleka maombi makao makuu usubiri mwezi mmoja. Karne hii kweli biashara inaenda kwa style hii?
- Tusiogope uwekezaji binafsi, na tusione private sector ni adui. Cha msingi ni kuweka mikakati ya kipamoja na kimaslahi kwa pande zote mbili. Mfano, Malaysia miundo mbinu kama umeme, treni, madaraja yamejengwa na watu binafsi. kwa kushirikiana na private sector nchi nyingi zimepiga hatua haraka. cha msingi ni kuweka mikakati mizuri ambayo kila mtu anafaidika.
Kwa mtaji wa population ya watu milion 50, Sector ya umeme na maji, inaweza kutengenzea ajira kubwa kuliko viwanda ambavyo bado tunavifikira.