Rais Magufuli kuandika historia 2020?

msemakweli

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,627
880
Heshima zenu wadau.
Kama wachambuzi wa masuala ya kisiasa wajuavyo, ni nadra sana kwa Rais kuongeza kura katika mid-term elections, yaani uchaguzi baada ya muhula wake wa kwanza.
Kikwete aliingia na kura karibu 80% lakini 2010 akaambulia 60%
Dunia nzima hata marekani, uingereza, canada e.t.c. trend huwa ni hiyo.
Sasa Rais wetu huyu ameingia kwa kura 50-something percent (supposedly). Tutegemee nini 2020? I leave that to your imagination!
 
Hakuna lolote mkuu. Huu ukoo wa panya kwa watu waelewa nikuwafutilia mbali na kuwaacha wandelee na maigizo yao ya kutawala. Ni wauwaji wakubwa. Utasafishaje na kukomba bila huruma uhai wa watanzania HAZINA. Yeyote anawashabikia hawa watu yaani. Mijitu milafi ina roho mbaya. Nchi makini wanatambua national treasury ilivyo muhimu. Hakuna kumkumbuka katika historia yeyote anayetoka hapa kwenye huu ukoo wa panya
 
Mijitu inamisuse public funds inasquandor hela ya wananchi haijali inalindana
 
tusubiri bado ni mapema mno?... Rais wa Awamu ya Pili aliingia na Kauli Mbiu yake " FAGIO LA CHUMA" Baadae ikawa " RUKHSA"
 
Hakuna lolote mkuu. Huu ukoo wa panya kwa watu waelewa nikuwafutilia mbali na kuwaacha wandelee na maigizo yao ya kutawala. Ni wauwaji wakubwa. Utasafishaje na kukomba bila huruma uhai wa watanzania HAZINA. Yeyote anawashabikia hawa watu yaani. Mijitu milafi ina roho mbaya. Nchi makini wanatambua national treasury ilivyo muhimu. Hakuna kumkumbuka katika historia yeyote anayetoka hapa kwenye huu ukoo wa panya

Kweli hakuna tasa FISADI kaku-time!
 
Heshima zenu wadau.
Kama wachambuzi wa masuala ya kisiasa wajuavyo, ni nadra sana kwa Rais kuongeza kura katika mid-term elections, yaani uchaguzi baada ya muhula wake wa kwanza.
Kikwete aliingia na kura karibu 80% lakini 2010 akaambulia 60%
Dunia nzima hata marekani, uingereza, canada e.t.c. trend huwa ni hiyo.
Sasa Rais wetu huyu ameingia kwa kura 50-something percent (supposedly). Tutegemee nini 2020? I leave that to your imagination!

Wat wengine bwana ! Ben Mkapa alingia na 61 na akaondoka na 72 per cent kama sijakosea
 
Hakuna lolote mkuu. Huu ukoo wa panya kwa watu waelewa nikuwafutilia mbali na kuwaacha wandelee na maigizo yao ya kutawala. Ni wauwaji wakubwa. Utasafishaje na kukomba bila huruma uhai wa watanzania HAZINA. Yeyote anawashabikia hawa watu yaani. Mijitu milafi ina roho mbaya. Nchi makini wanatambua national treasury ilivyo muhimu. Hakuna kumkumbuka katika historia yeyote anayetoka hapa kwenye huu ukoo wa panya
unaandika utafikiri una watanzania fulani wazuri umewaficha sehemu fulani unasubiri kuwaleta waje waongoze nchi hii .hivi unafahamu kila jamii hupata uongozi inayoustahili.uongozi ni zao la jamii,vinginevyo tunaamini miujiza katika siasa jambo ambalo kama ni hivyo basi tumekwisha.
ukisha kuwa na corupt society inayoweza kushangilia hata wezi kwa kigezo kuwa wamebadilika au watabadlilishwa na mfumo ni tatizo lingine.
jamii yetu ina kila dalili kutojitambua,angalia hata maoni yanayotolewa hapa na pale wakati mwingine na watu tunaowaheshimu
tumefikaje hapa!
 
Ilitakiwa akamate watu red handed afu atupe jela kuhamisha hakusaidii kitu, tutamjaji zaidi vipi atalisimamia swala za zenji.
 
Heshima zenu wadau.
Kama wachambuzi wa masuala ya kisiasa wajuavyo, ni nadra sana kwa Rais kuongeza kura katika mid-term elections, yaani uchaguzi baada ya muhula wake wa kwanza.
Kikwete aliingia na kura karibu 80% lakini 2010 akaambulia 60%
Dunia nzima hata marekani, uingereza, canada e.t.c. trend huwa ni hiyo.
Sasa Rais wetu huyu ameingia kwa kura 50-something percent (supposedly). Tutegemee nini 2020? I leave that to your imagination!


Kama unafahamu Hisabati vizuri kuna function inayoitwa exponential na Magufuli maisha yake ya utendaji yanafwata +ve exponetial function, tangu amekuwa Waziri hivyo kama ulitegemea grafu yake kushuka pole sana!

200px-Exp.svg.png


 
binafsi 2020!!dr magufuli ameshashinda kwa zaidi ya 75%,kwanza kasi anayoenda nayo!!pili akitimiza vyema ilani ya ccm!!la wanafunzi tayar na sasa yupo kwenye afya!,safar kafuta tayari!!bado viwanda,mahakama,milion 50,na mashamba yetu!!!upunzani hawana mgombea!!!edward lowasa 2020 atakuwa na 73yrs tundu lisu mwehu!!mbatia anamtindio wa ubongo,binafsi labda zitto kabwe ACT
 
Hakuna lolote mkuu. Huu ukoo wa panya kwa watu waelewa nikuwafutilia mbali na kuwaacha wandelee na maigizo yao ya kutawala. Ni wauwaji wakubwa. Utasafishaje na kukomba bila huruma uhai wa watanzania HAZINA. Yeyote anawashabikia hawa watu yaani. Mijitu milafi ina roho mbaya. Nchi makini wanatambua national treasury ilivyo muhimu. Hakuna kumkumbuka katika historia yeyote anayetoka hapa kwenye huu ukoo wa panya
Hapa ndipo tunapo kosea, tuna mihemuko iliyopitiliza,hatutumii busara, mtu unashindwa kueleweka kwa sababu ya kukurupuka
 
Kwa siasa hizi za wapinzani na mambo ya kipuuzi wanayoyafanya Magufuli anaweza kuweka historia labisa tusubiri muda ufike tu.Wapinzani wanakatisha tamaa sana hawataki kubadilika hawataki kujitoa katika mtego ambao CCM huutumia kuwamaliza.CCM itatoka pale tu vyama vya upinzani vitakapobadilisha siasa zao.
 
binafsi 2020!!dr magufuli ameshashinda kwa zaidi ya 75%,kwanza kasi anayoenda nayo!!pili akitimiza vyema ilani ya ccm!!la wanafunzi tayar na sasa yupo kwenye afya!,safar kafuta tayari!!bado viwanda,mahakama,milion 50,na mashamba yetu!!!upunzani hawana mgombea!!!edward lowasa 2020 atakuwa na 73yrs tundu lisu mwehu!!mbatia anamtindio wa ubongo,binafsi labda zitto kabwe ACT
La wanafunzi tayari? We unaishi TZ ipi?
 
Back
Top Bottom