Cochabamba
Member
- Feb 4, 2014
- 76
- 98
Magufuli leo ni Jumapili yake ya kwanza kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amesali na waumini wenzake kwenye kanisa la St.Peter.
Hebu sali wewe, kwani una haraka gani Uzi utautoa baadaye kiwavi jeshi wewe
Kwa kuwa umenitukana wakati tulishasali na kurudi majumbani, naanza kusali kukuombea japo uwe na busara kidogo tu hata ya kuishauri familia na rafiki zako.
Hapo ndipo nilipobatizwa. Ni maarufu kama "Kanisa la Nyerere"
Nikidhani ulibatizwa pale Muriaza SDA! Nyerere ndiye aliyelijenga?!Hapo ndipo nilipobatizwa. Ni maarufu kama "Kanisa la Nyerere"
mke wake mbona simuoni?
Kundi lipi?! Lililotamani iwe zamu ya mlutheri?!lile kundi lingine watasema mdini...
mke wake mbona simuoni?
mke wake mbona simuoni?
ok ,first lady wetu anasali wapi?Mkewe mlokole
Kundi lipi?! Lililotamani iwe zamu ya mlutheri?!