wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
nina muda mrefu sijaingia jamii forum
pamoja tunalalamika na ukata
lakini utendaji kwenye taasisi za serikali afadhari angalau ukifika unasikilizwa na unashughulikiwa.
na ile tabia ya watumishi kututambia kwenye starehe hakuna wote tupo ndugu wakuelewana.
nimesema hayo kuna watu watanibeza hilo najua kwa watanzania.
pamoja tunalalamika na ukata
lakini utendaji kwenye taasisi za serikali afadhari angalau ukifika unasikilizwa na unashughulikiwa.
na ile tabia ya watumishi kututambia kwenye starehe hakuna wote tupo ndugu wakuelewana.
nimesema hayo kuna watu watanibeza hilo najua kwa watanzania.