Rais Magufuli jembe

wakimataifa.

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
1,625
554
nina muda mrefu sijaingia jamii forum
pamoja tunalalamika na ukata
lakini utendaji kwenye taasisi za serikali afadhari angalau ukifika unasikilizwa na unashughulikiwa.
na ile tabia ya watumishi kututambia kwenye starehe hakuna wote tupo ndugu wakuelewana.
nimesema hayo kuna watu watanibeza hilo najua kwa watanzania.
 
Yeah kweli mkuu nikweli watu hawana shukrani kipindi kile wafanyakazi wa serikali wanawanyanyasa raia kelele kibao zilikuwepo eti viongozi wetu sio waadirifu leo kapatikana wakusimamia haki na uadirifu wanalalamika tena si bora mfe tu sasa...
 
Back
Top Bottom