TLE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 222
- 127
Aisee hapa hakuna muadilifu kabisa,lkn sishangai bcoz hata malaika mtoa roho hajui kama cku yake ya kufa atajitolea roho yake mwenyewe na hapo ndio atajuta,atalia na kusaga meno,atasema laiti ningejua kama roho inauma namna hii nisingethubutu kuzitoa,Ruka ruka baba fanya ufanyalo ,tesa RAIA wako,ipo cku utasimama mbele ya Mwenyezi Mungu na kujibu haya unayoyafanya