Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,253
- 34,203
Tatizo sio kubadilisha sheria tatizo liko hapa....MAFAO NA MABORESHO YA MALIPO YA WATUMISHI!!Kumbe ndiyo hivyo! Ndiyo maana ufanisi wa kazi uko so law. Mimi nimekuwa nashangaa kwanini mambo yanajirudia tena na tena na tena. Sababu ndiyo hiyo! Asante mkuu kwa kufungua macho. Duuh!
Hapa lazima sheria ya watumishi serikalini ibadilishwe.
Nyongeza za misharaha hazijaongezwa karibu miaka sita, sasa huo ufanisi utatokea wapi?
Sheria ni mbwembwe tu boresha mazingira ya watumishi uone kama hali haijabadilika!!