Rais Magufuli, hivi huyu jamaa wa NEMC anazungumzia nini?

Maneno Meier

JF-Expert Member
May 12, 2013
2,469
1,697

Rais Magufuli huyu mzee anaelewa kweli anachokieleza au anabwabwaja tu maneno bila kujua nini anachokisema? Hiyo elimu yake imemwelimisha hayo anayo yatoa?

Anatueleza sisi juu ya septic tanks kana kwamba watanzania wanajua what the septic tanks are? Katika mazingira kama hayo kwenye picha hayo ma septic tanks wakazi wa mijini watayaweka wapi?

Septic tanks kwanza gharama yake sidhani kama watu wa uswahilini wanaweza ku afford. Zaidi ya hayo yanahitaji eneo kubwa kwa ajili ya kusambaza maji taka ardhini

Dar inahitaji investiment kubwa sana ya Sewage System. Haya mambo ya water treatment ya mtu mmoja mmoja kwa mjini ni kudanganyana tu. Hii System ina-work kwenye isolated Houses.
SmartSelect_20190917-193856_Drive.jpeg
 

Attachments

  • SmartSelect_20190917-193856_Drive~2.jpeg
    SmartSelect_20190917-193856_Drive~2.jpeg
    163.8 KB · Views: 29
Mbona kaongea vizuri tu. Tanzania kipindupindu hakiishi kwa sababu hizo za mavyoo ya mashimo na maseptic tanks ambayo hayafati sheria.

Swala la kujenga sewege system Tanzania bado ni ndoto. Kama mpaka machinjio ni serikali kuu inatoa pesa na mpaka Rais anajua huo mradi hivyo hiyo haiwezi kuwa kazi ya local authority au NEMEC. Kwa ujumla it's not our priority kama Dreamliner...!!

Kujenga sewege system kunatakiwa kuwekeza Sawa na Ujenzi wa Barabara.
 
Mbona kaongea vizuri tu. Tanzania kipindupindu hakiishi kwa sababu hizo za mavyoo ya mashimo na maseptic tanks ambayo hayafati sheria.

Swala la kujenga sewege system Tanzania bado ni ndoto. Kama mpaka machinjio ni serikali kuu inatoa pesa na mpaka Rais anajua huo mradi hivyo hiyo haiwezi kuwa kazi ya local authority au NEMEC. Kwa ujumla it's not our priority kama Dreamliner...!!

Kujenga sewege system kunatakiwa kuwekeza Sawa na Ujenzi wa Barabara.
....
....Mkuu msamehe hiyo GIS yake ni kiwango cha kindagateni
 
Rais Magufuli huyu mzee anaelewa kweli anachokieleza au anabwabwaja tu maneno bila kujua nini anachokisema?
Kwa hiyo kwako Magufuli ndio mtaalam wa mambo hayo?
Mbona watu mmekuwa kama majuha vile?

Unamtaarifu Magufuli afanye nini? Kila kitu 'Magufuli, Magufuli...' Hata kufikiri mnamtegemea Magufuli...!
Mkienda chooni...Magufuli; hata vitandani kwenu na wake zenu, mtakuwa mnalia... Magufuli, Magufuli!!
 
Kwa hiyo kwako Magufuli ndio mtaalam wa mambo hayo?
Mbona watu mmekuwa kama majuha vile?

Unamtaarifu Magufuli afanye nini? Kila kitu 'Magufuli, Magufuli...' Hata kufikiri mnamtegemea Magufuli...!
Mkienda chooni...Magufuli; hata vitandani kwenu na wake zenu, mtakuwa mnalia... Magufuli, Magufuli!!
Kwani si ni yeye mwenyewe hua anasema serikali ya Magufuli?

Wewe ulitaka watu wapeleke kero zao wapi wkt inajulikana serikali ni ya kwake?
 
Mbona kaongea vizuri tu. Tanzania kipindupindu hakiishi kwa sababu hizo za mavyoo ya mashimo na maseptic tanks ambayo hayafati sheria.

Swala la kujenga sewege system Tanzania bado ni ndoto. Kama mpaka machinjio ni serikali kuu inatoa pesa na mpaka Rais anajua huo mradi hivyo hiyo haiwezi kuwa kazi ya local authority au NEMEC. Kwa ujumla it's not our priority kama Dreamliner...!!

Kujenga sewege system kunatakiwa kuwekeza Sawa na Ujenzi wa Barabara.
Mkuu sikuelewi unacho sema. Kaongea vizuri maana yake nini? Naomba ili tuweze elewana ina bidi kwanza tuweke mambo sawa.

Huyo mtaalam kwanza ametumia maneno ya kitaalam kama "water treatment" na "Septic Tanks" halafu akaja na kitu kama cast ion na kadhalika. Naomba niambie watanzania wangapi uswahilini na vijijini watakuwa wana elewa ana maanisha nini? Unaweza niambia watanzania wote wamesoma kama yeye kiasi kwamba wakaelewa nini anazungumzia na kuweza ku impliment hayo matakwa yake anayo yaeleza au kuwa omba wananchi wayatekeleze?

Mbili naomba tuangalie charachteristics za Septic Tanks katika hali ya construction na function zake. Naomba fungua hii link na angalia picha ili kujijuza kidogo kabla ya kuanza kubweka kama mbwa;
na (ANGALIA PICHA)

Ili mtu wa kawaida aweze install a septic tank anahitaji eneo kubwa (Drainfield) la kusambaza maji ambayo yata seep kwenda chini ardhini mpaka kufika kwenye ground water. Na hata hivyo hiyo system ya Septic tank haitoi garantii ya ground water kuto kuwa contaminated kama yeye msomi wetu anavyo tulisha matango poli.

Sasa watu wa mjini wa maeneo kama Buguruni au Mwananyamala na kwingine ambako nyumba zimepakana karibu karibu watapata wapi eneo la kuweka septic tanks?

Septic System inatakiwa zaidi itumike vijijini au kwenye nyumba ambazo hazina connection na sewage System.

Mkuu unajua sikuelewi unavyo sema; "Swala la kujenga sewege system Tanzania bado ni ndoto. Kama mpaka machinjio ni serikali kuu inatoa pesa na mpaka Rais anajua huo mradi hivyo hiyo haiwezi kuwa kazi ya local authority au NEMEC. Kwa ujumla it's not our priority kama Dreamliner...!!"

Sasa priority yenu ni nini? Kusubiri mishahara mwisho wa mwezi na kuja kuongea utumbo kwa wananchi? Nyie si watu wa mazingira? Mazingira nini hasa? Nyie si ndiyo watu au Institution ambayo tuna wategemea kutoa pendekezo hili la sewage System mijini kwa wahusika serikalini na ikibidi kuishtaki serikali kwa kuto introduce hii sytsem? Unataka hiyo System ianze lini? Mpaka Dar es salaam iwe na watu milioni 10 na kuendelea?

Mji kama Dar es salaam na mingineyo itawezekana vipi kusambaza mabomba ya maji safi kila nyumba bila kuweka System ya kuyaondoa hayo maji yakichafuliwa? Hainingii akilini!

Nyie mlitakiwa watu wa mipango miji (kama wapo) na wizara ya Ardhi na ujenzi kuwasimamia wakati wa kutoa vibali vya ujenzi wa nyumba za makazi, sehemu za starehe kama Coco Beach, Machinjio kama Vingunguti, viwanda na barabara za mitaa. Kabla ya kuanza ujenzi mnatakiwa wawa hakikishie jinsi gani maji taka yatakuwa yameondolewa kwa mujibu wa sheria ya mazingira.

Nyie vipi nyie? Mbona mnajitetea kwa mambo ambayo yako clear? Kama kazi hamwiiwezi jiuzuluni basi! Mnakula hela za walipa kodi bure bila hata kazi? Hata haibu hamna? Waacheni wananchi wenye utaalam mkubwa na maarifa mapana na waelewa umuhimu wa vitu wahusike.

Ningekuwa mimi Rais Magufuli ninge wafukuzilia mbali. Hamna maana na faida yoyote kwa Taifa letu. Akili zenu zimejawa na matheory tu ya kwenye kitabu.

Ngoja niishie hapo. Hayo ya cast iron tusubiri mjadala mwingine.
SmartSelect_20190917-184507_Google.jpeg
SmartSelect_20190917-184720_Google.jpeg
 
Kwa hiyo kwako Magufuli ndio mtaalam wa mambo hayo?
Mbona watu mmekuwa kama majuha vile?

Unamtaarifu Magufuli afanye nini? Kila kitu 'Magufuli, Magufuli...' Hata kufikiri mnamtegemea Magufuli...!
Mkienda chooni...Magufuli; hata vitandani kwenu na wake zenu, mtakuwa mnalia... Magufuli, Magufuli!!
Kwa sababu Magufuli ni Rais wa nchi na watumishi wote wa serikali wako chini yake. Yeye ndiye anaye dictate utekelezaji wa sera zote za usalama, amani, maendeleo na maisha bora ya wananchi wake.

Sasa kama nyie vidampa mlio pewa majukumu hamtaki kuwajibika basi yeye ana mamlaka kisheria kuwafukuza na kuwaweka watumishi wengine. Kwani nyie mmeuthibitishia umma kuwa ni malooser. Hawezi kazi na hamna utaalam na uelewa wowote ule?
 
Kwa sababu Magufuli ni Rais wa nchi na watumishi wote wa serikali wako chini yake. Yeye ndiye anaye dictate utekelezaji wa sera zote za usalama, amani, maendeleo na maisha bora ya wananchi wake.

Sasa kama nyie vidampa mlio pewa majukumu hamtaki kuwajibika basi yeye ana mamlaka kisheria kuwafukuza na kuwaweka watumishi wengine. Kwani nyie mmeuthibitishia umma kuwa ni malooser. Hawezi kazi na hamna utaalam na uelewa wowote ule?
Weka na namba yako ya simu kwenye bamdiko ili akupe uteuzi. Kha!! Maana we jamaa too much, siyo kwa kujikomba huko. Unamzidi hata Bashite!! Kila kitu Magufuli?? Halafu unadai una exposure ya kuishi nje!! lmfao
 
Sorry, siwezi kuingia kwenye mjadara wakati unanishambulia bila sababu wala hunijui.


Kama umeleta issue ili watu wajadili basi let them discuss freely.
Mkuu Asante umenifurahisha sana.
Hata mimi nasikitika kama unaona nime kushambulia. Haikuwa lengo langu.

Lengo langu lilikuwa kuweka clear mambo. Wewe umejitokeza ukidai kuwa sio priority yenu kuweka sewage system na ndiyo maana nimekujibu.

Unajua nchi yetu ina watu wanao jiita maprofessor sijui wahandisi na kadhalika. Kazi yao ni porojo tu na kutupiga.

Mimi nikisikia wataalam kama hao wanaleta wanatoa mambo yasiyo eleweka mitandaoni nita wapiga tu na facts. Sitaki kudanganywa kama ngurue akipelekwa machinjioni. Kama utaalam na sisi pia tunao.
 
Kwa sababu Magufuli ni Rais wa nchi na watumishi wote wa serikali wako chini yake. Yeye ndiye anaye dictate utekelezaji wa sera zote za usalama, amani, maendeleo na maisha bora ya wananchi wake.

Sasa kama nyie vidampa mlio pewa majukumu hamtaki kuwajibika basi yeye ana mamlaka kisheria kuwafukuza na kuwaweka watumishi wengine. Kwani nyie mmeuthibitishia umma kuwa ni malooser. Hawezi kazi na hamna utaalam na uelewa wowote ule?
Labda awe wa kuteuliwa, ila kama ni mtumishi wa kawaida sizani kama hata rais ana nguvu ya kumfukuza kazi. Zaidi atamsimamisha kazi au atamuamisha.
 
Mkuu Asante umenifurahisha sana.
Hata mimi nasikitika kama unaona nime kushambulia. Haikuwa lengo langu.

Lengo langu lilikuwa kuweka clear mambo. Wewe umejitokeza ukidai kuwa sio priority yenu kuweka sewage system na ndiyo maana nimekujibu.

Unajua nchi yetu ina watu wanao jiita maprofessor sijui wahandisi na kadhalika. Kazi yao ni porojo tu na kutupiga.

Mimi nikisikia wataalam kama hao wanaleta wanatoa mambo yasiyo eleweka mitandaoni nita wapiga tu na facts. Sitaki kudanganywa kama ngurue akipelekwa machinjioni. Kama utaalam na sisi pia tunao.
Binafsi nimetoa mawazo yangu kutokana na hiyo clip uliyoweka. Mimi siyo part ya system na wala sifanyi kazi serikalini. Nimeandika kama independent party.

Kwa mtizamo wangu ni kwamba serikali haijawahi kuwekeza kwenye sewage system infrastructure nchini kwa ujumla. nakumbuka mwanzoni mwa 2000 kulikuwa na mradi mdogo Kijitonyama chini ya World Bank lakini sijui mafanikio yake.

NEMC siyo kazi yao kuweka hizo infrastructure ni kazi ya serikali na idara zake. Ingekuwa ni nchi za wenzetu hizi kazi zingekuwa chini ya manispaa lakini kwa Tanzania ni miradi ya serikali kuu. System ya Tanzania iko complicated na haiwezi kuwa na mafanikio makubwa hata kama kuna juhudi kubwa inafanyika. Labda NEMC wajaribu kwanza kuwaelimisha watu kamla ya kuanza kuwarundikia makesi na fine kibao.

Mimi naamini kuwa underground water sehemu nyingi za makazi Tanzania hasa Dar ziko contaminated both Chemically and Biologically .... Research zinatakiwa kuthibitisha hilo!! Michicha na mbogamboga nyingi Dar zinalimwa kandokando ya mifereji ambayo huko huko ndiko watu wanaflush uchafu wote. Sasa fikiria the microbiological and chemical quality ya hizo mboga mboga sehemu kama kwenye Bonde la Msimbazi.
 

Rais Magufuli huyu mzee anaelewa kweli anachokieleza au anabwabwaja tu maneno bila kujua nini anachokisema? Hiyo elimu yake imemwelimisha hayo anayo yatoa?

Anatueleza sisi juu ya septic tanks kana kwamba watanzania wanajua what the septic tanks are? Katika mazingira kama hayo kwenye picha hayo ma septic tanks wakazi wa mijini watayaweka wapi?

Septic tanks kwanza gharama yake sidhani kama watu wa uswahilini wanaweza ku afford. Zaidi ya hayo yanahitaji eneo kubwa kwa ajili ya kusambaza maji taka ardhini

Dar inahitaji investiment kubwa sana ya Sewage System. Haya mambo ya water treatment ya mtu mmoja mmoja kwa mjini ni kudanganyana tu. Hii System ina-work kwenye isolated Houses.View attachment 1210060

Ungetamani atumbuliwe siyo? hafai kabisa na hizo sheria katunga yeye? hoja ya chuki tu.
 
Labda awe wa kuteuliwa, ila kama ni mtumishi wa kawaida sizani kama hata rais ana nguvu ya kumfukuza kazi. Zaidi atamsimamisha kazi au atamuamisha.
Kumbe ndiyo hivyo! Ndiyo maana ufanisi wa kazi uko so law. Mimi nimekuwa nashangaa kwanini mambo yanajirudia tena na tena na tena. Sababu ndiyo hiyo! Asante mkuu kwa kufungua macho. Duuh!

Hapa lazima sheria ya watumishi serikalini ibadilishwe.
 

Rais Magufuli huyu mzee anaelewa kweli anachokieleza au anabwabwaja tu maneno bila kujua nini anachokisema? Hiyo elimu yake imemwelimisha hayo anayo yatoa?

Anatueleza sisi juu ya septic tanks kana kwamba watanzania wanajua what the septic tanks are? Katika mazingira kama hayo kwenye picha hayo ma septic tanks wakazi wa mijini watayaweka wapi?

Septic tanks kwanza gharama yake sidhani kama watu wa uswahilini wanaweza ku afford. Zaidi ya hayo yanahitaji eneo kubwa kwa ajili ya kusambaza maji taka ardhini

Dar inahitaji investiment kubwa sana ya Sewage System. Haya mambo ya water treatment ya mtu mmoja mmoja kwa mjini ni kudanganyana tu. Hii System ina-work kwenye isolated Houses.View attachment 1210060

Tatizo hapa ni neno septic tank! Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa hicho ndiyo aina ya choo kinachoweza kujengwa na mtu yo yote tena kwa gharama nafuu mjini. Kama mtu hawezi kujenga choo cha namna hii ahamie kijijini akajenge choo cha shimo!
 
Back
Top Bottom