Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

Kumbe J. Makamba kachaguliwa kama waziri wa Muungano?
Nilikua sijaipata hii.
Ngoja na tuone kama atakipenda cheo hiki au atasusa kama kile kilichopita.
 
Kuna radio station inarusha nitafute phone zangu?
 
Nafuatilia hapa kuangalia kitakachojiri.sijuwi atakuja na lipi alasiri ya leo Mkuu huyu wa Tanzania.

BAVICHA mnapenda Magufuli basi tu kuna watu wachache kwenye saccos yenu wanatieni mawazo potofu ubongoni.
 
Nawahurumia sana Marahisi hawa. Wote kwa pamoja wamepoteza confidence. Kila mara "uchaguzi umepita, uchaguzi umepita" yaani hawaamini kwamba wameshinda.
 
Hivi viongozi wa serikali ni lazima wa waongelee viongozi wa vyama pizani? Sioni wakitumia mda mwingi kuongelea matatizo na solution zake
 
Free speech hazivutii.....he has to read the written ones
 
Back
Top Bottom