Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,504
- 113,618
Kumbe...!, hata mikutano ya kisiasa, imeruhusiwa kwa mujibu wa katiba, lakini imezuiliwa!, hivyo kubali kataa, he has all the powers!.President has power to hire High Court Judges but don't have power to fire them.
Condition ya umri umeifumbia macho.Kwani ameondolewa au mkataba ume expire
Rais hapangiwi kwa mujibu wa katiba yetu
Wewe unatumia katiba ipi?
Wewe ni nani ?Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Hoja siyo hayo maneno ya SHALL BE ELIGIBLE hoja ni ss.3 ambayo haikufuatwa ya kumuondoa CAG kabla ya kufikisha umri wa miaka 65 bila kufuata mchakato wa kisheria wakumuomdoa kama ulivoainishwa katika kifungu 144(3) cha katiba, rejea comment ya Prof. Shivji, vinginevyo labda wewe unajuwa zaidi kiingereza cha sheria kuliko nguli kama Prof Shivji.
Nini maana ya neno "eligible" unachotaka kusema neno "msukuma" ukiondoa neno msu litabaki na maana ileile, utakuwa hamnazo.GUSSIE,
Nikuulize swali jepesi tu, nini tofauti kati ya maneno haya ya kiingereza MAY na SHALL?
Ukinijibu hapo ndipo tutajua kama Rais amevunja Katiba au la.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Wahitimu wa vyuo watalazimika ( hili halina mjadala) endapo nafasi ya ajira itakuwepo (iwapo IPO nafasi na umeitwa hauwezi kukataa) hili pia halina mjadala. Sijui ubovu wa lugha uko wapi! Mfano wako wa wahitimu hauko sahihi.Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Mkuu naona umepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la nyumb.Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Jibu hoja acha blabla!GUSSIE
Yaani umekaa ukafikiria na ukatumia muda kuanza kuandika pumba hizi. Acheni ushabiki, mara nyingine chukua muda kuuliza werevu wakujuze kabla hajapost au soma tu mada za wenzio kisha sepa.
sheria katika taifa la waaswahili iandikwe kwa kiingereza kwanini? Kama siyo utumwaTumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.
Kiongozi wadau walipokuwa wanadai katika mpya vitu vidogo vidogo kama hivi ndio tatizo na tukiendelea mchekea chekea uyu mzee anapotupeleka siyo mungu namwambia tukubali lolote liwe kwa kizazi chetu cha baaadaeKweli JK alishindwa kutuletea katiba mpya, lakini tusimlaumu sana kwa suala la Katiba mpya bali tumlaumu kwa kutuletea Jiwe anaye kataa kumalizia katiba mpya na anaye vunja hata hiyo katiba ya zamani yenye vitu vichache vizuri.
Ina maana hata kama JK angeleta katiba mpya, huyu Jiwe angeivunja tu kwa hulka yake.
Weka kiingereza chako hapa badala ya kuunga mkono juhudi za mwenzako.Mkuu naona umepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la nyumb.
Hujui kitu! Tulia dawa ikuingie vizuriWeka kiingereza chako hapa badala ya kuunga mkono juhudi za mwenzako.
Siku zote kwenye mkataba wa kisheria neno SHALL linasimama kuwa MUST na si vinginevyo.
Hili la kuteuliwa haraka haraka kwa kigezo cha muda wake kwisha ni dalili tosha kuwa "walikuwa wanaomba" siku zifike aondoke! Mbona hakufanya hivyo kwa Tume ya Haki za Binadamu na utawala bora?.Tumpende au tusimpende Rais Magufuli kwenye hili hajakosea wala kuvunja katiba, Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi sana.
Maneno ya Kiingereza hutumika kulingana na muktadha au Mazingira husika, Kwa mtu aliyejifunza lugha ya Kiingereza au kuishi huko uingereza na kuongea lugha hii basi hawezi kupingana na tafsiri ya neno "Shall be eligible" kuwa siyo shall be re appointed
Neno "shall" kwenye katiba au sheria ya ukaguzi ni tegemezi, halijasimama lenyewe.
Madhara ya walimu wale wa UPE enzi hizo yaani walimu wa fasta fasta waliomaliza tu darasa la saba na kuamuliwa kufundisha shule za msingi ndio hao wameleta shida hii kwenye neno "shall"
Watu waliaminishwa shall maana yake ni lazima kufanyika, Hawa kuambiwa shall nyuma ya baadhi ya maneno ina tafsiri yake
Mfano. All graduate of Tanzanian local University shall be eligible for government employment, Hii haimaanishi kuwa lazima uajiriwe na serikali, Yawezekana umemaliza chuo Yes na unavigezo Yes lakini hazilazimishi serikali itoe ajira kwako
"Shall be eligible " haimaanishi kuwa ''shall be reappointed''
Hapa Tanzania kila raia zaidi ya miaka 18 shall be eligible to vote, haimaanishi kila mwenye miaka 18 Tanzania lazima apige kura bali anastahili kupiga kura.
CAG Assad alistahili na ana sifa za kuendelea kuwa CAG kwa kipindi cha miaka 5 au mpaka kufikisha umri wa kustaafu, hapa haimaanishi kuwa ni lazima awe CAG hata kama anastahili kipindi kingine cha miaka 5.
Mkataba wa CAG ni miaka mitano tu, siyo mkataba wa miaka kumi, CAG shall be eligible for another term haimaanishi shall be re appointed by president again,
Tutakosoa kwenye ukweli na kupinga kwa hoja, Kwa jambo hili Rais Magufuli hajavunja katiba.
Watu wanaendeshwa kwa hisia eti CAG mpya ni rafiki yake, Rais kwa Katiba yetu ana mamlaka makubwa awepo CAG au asiwepo akiamua kutokaguliwa anaweza kutokaguliwa.
Ripoti ya CAG kuanza kupeleka bungeni ni hisani ya Rais kikwete tu, Hapo awali iliwekwa na kupumzishwa ikulu hiyo Ripoti
Tusitafsiri sheria tofauti, Shall be elegible sio shall be reappointed.
CAG Assad anastahili kwa miaka mitano mingine lakini sio lazima awe yeye, mkataba wake ni miaka mitano na siyo kumi.
Sasa kama Rais ameona kuna mtu mwingine eligible kuna shida gani?
Wanabodi, neno "shall be eligible" lisiwachanganye ni simple English tu.
Assad ana sifa kweli na hajafikisha miaka 60 kweli na anastahili kipindi cha miaka mingine 5 kweli, lakini sio lazima ateuliwe tena.
Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.
Povu la chuki kwa Rais linaruhusiwa lakini kwa hili Kiingereza ni tatizo kwa Watanzania wengi.