Rais Magufuli, haina haja ya kuongeza mshahara kwa watumishi wa Umma

Tatizo la ajira linatokana na sera mbovu ambayo imekosa uwiano sahihi wa raslimali asili zilizopo na idadi ya watu.Yaani raslimali zilizopo nchini hazitumiki vya kutosha angalau zingetumika kufikia 50% zingeweza pungunza au maliza tatizo la ajira nchini.

Pia utokana na sera za utawala uliopo mfano kama unawachukia matajiri na watu waliofanikiwa huku ukikazania maendeleo ya vitu badala ya watu lzm tatizo la ajira liwe kubwa nchini.Matajiri ndio uajiri masikini nchini tajiri mmoja nyuma yake wako masikini 200 wanamtegemea,sera zinapoboreshwa ili tajiri azidi tajirika upelekea kupunguza tatizo la ajira.Tajiri akiwa nafuu masikini amekufa kabisa.
 
Tulipofikia ni pabaya.Mtoa post unashida kubwa kichwani itakayokuletea ugonjwa Wa moyo.Ulisikia walipoajiriwa kuna waliopunguziwa mshahara au kupunguzwa KAZI.Tafuta chanzo cha tatizo.Acha roho ya husda haitakusaidia
 
Roho mbaya itakuua Mkuu! Acha chuki zako kwa Watumishi wa Umma! Marais wote waliopita walikuwa na utaratibu wa kuwaongezea watumishi mishahara kila June kwani hawakujua umuhimu wake?

Yaani umekaa umejipanga kuja kuandika upumbavu hapa kwamba wewe ni ccm aliyekuuliza nani? Hao watumishi wasipoongezewa mishahara wewe unapata faida gani au hasara gani?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
GODZILLA,
Hayo manunuzi watanunulia nn hali hawana pesa dhoofu hali watu wamepigika ili watawaliwe kirahisi we uoni wanavyojipendekeza kusifia wapate Pesa washausoma udhaifu ni kusifia utapata Pesa washaona fursa ndo njia ya kutokea we sifia tu utapata pesa.Mzunguko wa pesa ukiwa mzuri unaongeza kiwango cha ununuzi nchini ambacho kikiongezeka ukuza pato la ndani pato la ndani likiongezeka uongeza makusanyo ya kodi kugharimia miradi ya ndani.Hivo hata kama ukijituma kwa bidii na hakuna wanununuzi maana ununuzi umeshuka nchini ni ngumu kusonga utafilisika kwa madeni,kwa aliyesoma kemia kama wwe huwezi elewa formula za uchumi.Kukuza uchumi wa nchi kwa faa aliyebobea kwenye uchumi anayejua mambo ya cause and effect,multiply effect apimae athari za maamuzi kabla.
 
Hayo manunuzi watanunulia nn hali hawana pesa dhoofu.Mzunguko wa pesa ukiwa mzuri unaongeza kiwango cha ununuzi nchini ambacho kikiongezeka ukuza pato la ndani pato la ndani likiongezeka uongeza makusanyo ya kodi kugharimia miradi ya ndani.Hivo hata kama ukijituma kwa bidii na hakuna wanununuzi maana ununuzi umeshuka nchini ni ngumu kusonga utafilisika kwa madeni,kwa aliyesoma kemia kama wwe huwezi elewa formula za uchumi.Kukuza uchumi wa nchi kwa faa aliyebobea kwenye uchumi anayejua mambo ya cause and effect,multiply effect apimae athari za maamuzi kabla.
Unaandika mengi wala sijaelewa kitu.

Mbadala wa mzunguko wa fedha sio kuwategemea mafisadi wamwage fedha zao haramu mtaani.

Mzunguko utaletwa na kila mmoja mwenye uwezo wa kipato kinacholetwa na mgawanyo sahihi wa fedha ambazo zinaweza kuwafikia watu wote kwa njia halali.

Na moja ya njia hizo halali ni kuwaajiri watu.

Lakini hatuwezi kuwaajiri watu endapo pesa zote ziko mikononi mwa mafisadi wachache maana tutashindwa kuwalipa mishahara watu hao!

Sijui tunaelewana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada elimu ya uchumi imekupiga chenga sana.

Sisi wafanyabiashara mtaani tunawategemea watumishi wa umma kuja kununua bidhaa zetu. Kutokana na kutopandishiwa mishahara ile purchasing power yao imepungua sana hivyo kupelekea wateja kupungua sokoni.

Wafanyabishara tunataka watumishi waongezewe mishahara ili purchasing power yao iongezeka hence mtaani biashara zichangamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
muelewesheni manake kakurupuka tuu
 
Unaandika mengi wala sijaelewa kitu.

Mbadala wa mzunguko wa fedha sio kuwategemea mafisadi wamwage fedha zao haramu mtaani.

Mzunguko utaletwa na kila mmoja mwenye uwezo wa kipato kinacholetwa na mgawanyo sahihi wa fedha ambazo zinaweza kuwafikia watu wote kwa njia halali.

Na moja ya njia hizo halali ni kuwaajiri watu.

Lakini hatuwezi kuwaajiri watu endapo pesa zote ziko mikononi mwa mafisadi wachache maana tutashindwa kuwalipa mishahara watu hao!

Sijui tunaelewana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi elewa sababu umekazia kutoelewa,ufisadi si mzuri lkn unapositive effect pia wanapozitumia kuwekeza zinatoa ajira mfano fisadi kajenga hotel,kiwanda,mabus,magari,nk.
 
Huwezi elewa

Huwezi elewa sababu umekazia kutoelewa, ufisadi si mzuri lkn unapositive effect pia wanapozitumia kuwekeza zinatoa ajira mfano fisadi kajenga hotel,kiwanda,mabus,magari,nk.
Hakuna ufisadi wenye "positive effect".

Hayo mahotel wanayoyajenga ni mbinu ya KUTAKATISHA FEDHA zao haramu na kuendelea kujilimbikizia ukwasi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge mmoja analipwa milioni kumi kwa mwezi (mbali na marupurupu na viinua mgongo).

Milioni kumi ambazo zina uwezo wa kuajiri vijana kumi na tano wengine kwa mwezi mmoja.

Tuna wabunge zaidi ya mia nne!

Wabunge mia nne mara milioni kumi kwa mwezi ni sawa sawa na vijana wangapi ambao wangepata ajira?

Wanamahisabati kokotoeni hapo mseme ni kwa namna gani hawa watanganyika wenzenu walivyo MATAPELI!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom