Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
Kapumzike Mwamba Kapilimba
Kukubali kuondoka BOT kwenda Mtaa Ghana kwa maslah ya Taifa haikuwa jambo dogo
ulinusuru Taifa 2015 dhidi ya Mafisadi
Kibaka akiombwa Kurudi CCM na mwenyekiti wa CCM.Kwa Hili Dk.Kipilimba anastahili nishani.Nchi ingekuwa mikononi mwa mwizi kibaka Lowasa na genge lake la wezi
Kapumzike Mwamba Kapilimba
Kukubali kuondoka BOT kwenda Mtaa Ghana kwa maslah ya Taifa haikuwa jambo dogo
ulinusuru Taifa 2015 dhidi ya Mafisadi
Wangempeleka kenya, South Africa au Marekani akaibe technology na kujifunza
Kwanini wote tulitawaliwa wote na wenzetu wametuacha mbali ? Au ujasusi maana yake nini?
Tunatakiwa kuinvest sana kwenye ujasusi wa kiuchumi. sio utekaji! Nchi ya kijinga sana mtu kama Kapilimba aliyebobea kwenye IT anatumika kuteka watu badala ya kwenda kuiba technolojia angalau ya kutengeneza hata wembe.
Mbowe Ni Dj kikazi kuwa mbunge Ni wastage of resources?
I see!Kwahiyo magufuli aliwekwa madarakani na Kipilimba au watanganyika wanyonge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapumzike Mwamba Kapilimba
Kukubali kuondoka BOT kwenda Mtaa Ghana kwa maslah ya Taifa haikuwa jambo dogo
ulinusuru Taifa 2015 dhidi ya Mafisadi
Kuimarisha geti kuzuia Wezi si dhambi
Kwani list ya watakaoapishwa na wanaoapishwa si tayari imekamilika?
You've a pointWangempeleka kenya, South Africa au Marekani akaibe technology na kujifunza
Kwanini wote tulitawaliwa wote na wenzetu wametuacha mbali ? Au ujasusi maana yake nini?
Tunatakiwa kuinvest sana kwenye ujasusi wa kiuchumi. sio utekaji! Nchi ya kijinga sana mtu kama Kapilimba aliyebobea kwenye IT anatumika kuteka watu badala ya kwenda kuiba technolojia angalau ya kutengeneza hata wembe.
wapiga ramli wa chadema si walisema kipilimba angekataa huo uteuzi,au zilikua ramli chonganishi?
Unacheka nini hpo?? We jamaa una kauzuzu flani hvi! balozi anaweza kutengeneza task force itayochukua/kuiba teknolojia hko ugenini... Cha ajabu kitu gani? Balozi mbalimbali hupeleka raia wake huko walipo ili wakachukue vitu flani vya manufaa hasa teknolojia kwauwazi ama kiusiri!!Umenichekesha Hadi basi kichwani naona uko mweupeeeee!!!!!
Kwa hiyo kazi ya balozi Ni wizi?
Yaani Dr. Bana mdomo umemsaidia. Tanzania ukijitoa ufahamu ukawa unasifia tu hata uovu lazima ule shavu...Mdomo unalipa awamu ya 5 wakina bana haoooo
Huna akili wewe! Kipilimba alipelekwa NEC na Kikwete sio Magufuli, unakumbuka?!Kwa Hili Dk.Kipilimba anastahili nishani.Nchi ingekuwa mikononi mwa mwizi kibaka Lowasa na genge lake la wezi