October 4, 2019
Songwe International Airport.
Mh. Rais Magufuli awasili mkoani Songwe kwa kutumia ndege aina ya Gulfstream G550 jet, ndege hii ni rasmi kwa matumizi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye uwezo wa kubeba abiria 18 imesajiliwa kwa namba 5H-ONE . Katika ziara zake zingine za ndani ya Tanzania Mh. Rais alikuwa anatumia ndege kubwa aina ya Airbus a220-300 iliyokodishwa kwa Air Tanzania yenye uwezo wa kubeba abiria 130 - 160 .
Video : NDEGE RASMI YA RAIS WA TANZANIA Gulfstream G550 Jet ikitua ktk uwanja wa Songwe international Airport
Source : Millard Ayo
Uwanjani hapo Mh. Rais alipokewa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila, Naibu Spika Bi. Tulia Ackson na Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Palamagamba Kabudi.
Katika ziara hiyo Mh. Rais anatazamiwa kuzindua miradi kadhaa katika mkoa huo uliopo nyanda za juu kusini mwa Tanzania.
Songwe International Airport.
Mh. Rais Magufuli awasili mkoani Songwe kwa kutumia ndege aina ya Gulfstream G550 jet, ndege hii ni rasmi kwa matumizi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye uwezo wa kubeba abiria 18 imesajiliwa kwa namba 5H-ONE . Katika ziara zake zingine za ndani ya Tanzania Mh. Rais alikuwa anatumia ndege kubwa aina ya Airbus a220-300 iliyokodishwa kwa Air Tanzania yenye uwezo wa kubeba abiria 130 - 160 .
Video : NDEGE RASMI YA RAIS WA TANZANIA Gulfstream G550 Jet ikitua ktk uwanja wa Songwe international Airport
Source : Millard Ayo
Uwanjani hapo Mh. Rais alipokewa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila, Naibu Spika Bi. Tulia Ackson na Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Palamagamba Kabudi.
Katika ziara hiyo Mh. Rais anatazamiwa kuzindua miradi kadhaa katika mkoa huo uliopo nyanda za juu kusini mwa Tanzania.