johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais mh Simbachawene amewataka Watanzania kupuuza Uzushi kwamba Ndege ya Rais wa JMT inashikiliwa nchini Dubai
Simbachawene amesema wanaosambaza habari kwamba Ndege ya Rais Gulfstream G 550 inashikiliwa nchini Dubai hawaitakii mema Nchi Yetu
Source: Jambo TV
Simbachawene amesema wanaosambaza habari kwamba Ndege ya Rais Gulfstream G 550 inashikiliwa nchini Dubai hawaitakii mema Nchi Yetu
Source: Jambo TV