britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Magufuli ni mtu mwenye huruma na mpenda Mungu
Wenye dollar hawapigi kelele!
Wewe jamaa acha kutafuta public attention, unawashwa washwa sana bila kuitaja CHADEMA huridhiki kabisa! Kubwa jingalao wewe!Aisee sasa Chadema na wana harakati wamepata agenda hahahahaha naona wanavyo kimbizana kutoa tamko hahahaha
Amina!Hapa yohana kafanya utu aisee
Acha roho mbayaHaya mzee ngoja niishike vizuri....Hivi Clouds Media hawana Bima ya Afya kwa wafanyakazi wao?Hivi Ruge yuko Mahututi kwa ile sumu alopewa?Hivi Ruge ametangaza kwamba anaomba mchango wa matibabu.Hivi unajua dola 20,000 ni sawa na milion 50 so angefanya tu kukipa hata kijiji kimoja kutimiza ahadi yake ya kampani badala ya kumpa yote hio mtu mmoja.Hamuoni kama mnaposhangilia upuuzi kama huu na ninyi mnazidi kupuuzwa?
Hela ni zake au za wananchi..hivi una akili kweli wewe bwana mdogo??Pole sana kamanda hela ni yake usimpangie....na yeye ndio mmiliki wa hela zote nchini hahahaha nakuona tumbo linavyo kuuma na jaziba juu... Umwa na wewe uchangiwe kama unaona wivu
Hypocrisy of the highest orderLong may he reign JPM walahi
Ukarimu wako ni wa hali ya juu baba!
Mola aendelee kukubariki milele JPM walahi
Magufuli ni mtu mwenye huruma na mpenda Mungu
Atajua yeye na kiherehere chake cha kusifia waume za watuAnambandua maganda au????
Aisee sasa Chadema na wana harakati wamepata agenda hahahahaha naona wanavyo kimbizana kutoa tamko hahahaha
Watanzania wangapi wanaumwa na wanaitaji misaada?kunawatu wanaumwa na pesa za kula na matibabu hawana hizo pesa raisi angezipeleka muhimbili angesaidia watu wengi zaidiRais Magufuli ametoa usd 20,000 karibia sh 50 milioni za Tanzania kuchangia mfuko wa matibabu ya mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media Group.Sebastian Maganga wa CMG amesema hali ya Ruge inaendelea vizuri na amewataka watanzania wenye mapenzi mema kumuombea katika sala zao.Pia Maganga amemshukuru sana Rais Magufuli kwa upendo aliouonyesha.Source Clouds 360
Rais hamiliki hela acha ujinga pesa ni za nchiPole sana kamanda hela ni yake usimpangie....na yeye ndio mmiliki wa hela zote nchini hahahaha nakuona tumbo linavyo kuuma na jaziba juu... Umwa na wewe uchangiwe kama unaona wivu
Mkuu hauwezi kujadili lolote bila kuweka itikadi za vyama?
Tusiwe watumwa hivyo hata kama tunapenda vyama vyetu. Kuna mambo tujadili pasi kuhusisha hivi vyama.
Sasa Chadema wakija si tayari uhalisi la wa uzi huu utabadilika na kuanza kuwa vyama!
Asante.
Mbwiga nani katangaza?!Wenye matatizo ya kusaidiwa nchi hii ni wengi, kila siku ukiangalia taarifa ya habari watu wanaomba msaada wa kupelekwa india. Awasaidie wote basi, kwa sababu sababu hizo anazotoa sio fedha zake ni fedha zetu ,yeye pale ikulu hakuna biashara yoyote anayoifanya . Kwa hiyo awasaidie wote akiona tangazo kwenye matv ajitokeze kusaidia .halafu kinachonishangaza ni hiki cha kumsaidia mtu halafu unamtangaza,huo msaada hauna baraka za Mungu
Je kama inaitajika mill 200Sawa anaweza kuwa anaumwa kweli, hivi ni kweli Ruge amekosa pesa ya matibabu??? Kuna watanzania wanakufa kwa kukosa ata laki mbili hii ni aina nyingine ya kushindwa kuangalia vitu kwa umakini.
Ata angeamua kuchangia siyo lazima atangaze maana wapo ambao ata hawawezi kulipia malipo mhimbili wamezuiliwa kuondoka.
Mungu ana kazi ngumu za kubariki wamchao, sio yeyeLong may he reign JPM walahi
Ukarimu wako ni wa hali ya juu baba!
Mola aendelee kukubariki milele JPM walahi
Hahahaa....... Mmeshamalizana na Amunike?Hili fala lazima litakuwa na vielement vya kiambaruti.
Kama alimuomba huko ikulu ?Ruge hajaomba masaada ila Rais kaona ampe