Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,980
- 10,475
Njombe ni suala la muda tu, mkuu wa mkoa akae mkao wa kutumbuliwa. Wakati wa ziara yake Njombe, alipomtumbua OCD na kumrejesha hapo hapo, alimstahi sana Ole Sendekea.Sababu zinazomfanya afeli niNimeelewa kwa nini kwenye misiba wengine wanalia sana. Kumbe ni wanalizwa na mengi nje ya msiba,, njombe here we come
1. Mauaji ya kishirikina ya watoto
2. Kuchelewa kukamilika kwa kituo kikuu cha mabasi