BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
Masikini pole zake!Hapana. Huyo ni DC wa Iringa mjini anaitwa Kasesera. Huyu ni gentleman fulani sana "akili kubwa" (ameshindwa kuendana na akili ndogo).
Kabisa mkuu, Makala amelala, na Mungu kisha mrudishia shukurani, kumbe jiwe anamtumbua.Late night actions! Kifutu bado anadunda tuuu
Dunia haijawahi kuwa na usawa!
Aaaaaaaaah! Hivi Jiwe amewahi kufika Katavi? Kule wamejaa wafugaji na wakulima tu. Sasa unaweza kuwagawia vitambulisho wafugaji na wakulima? Mfano, mmasai utampa kitambulisho cha ujasiriamali?Asante kwa hizi hadidu za rejea
Anayefuatia kutumbuliwa ni huyo ambaye alijipa kazi ya kupokea wageni kwenye msiba wa mengi
Mzigo kuliko yupi na umzigo wake unatokana na nini?Amos Makala ni miongoni mwa Viongozi mizigo awamu hii
Eti hajagawa vitambulisho vya ujasiriamali. Sasa kwa mkoa uliojaa wafugaji na wakulima angefanyaje?Alifanyaje tena Makala hadi kutenguliwa
Kwann mkuu?Anayefuatia kutumbuliwa ni huyo ambaye alijipa kazi ya kupokea wageni kwenye msiba wa mengi
Au hata raia wote tungetenguliwa kuwa RAIA wa nchi hiiNi sheria tu haziruhusu, lakini naamini hata JK angetenguliwa kuwa Raisi Mstaafu.
Arudi kiwanja chake pale wanapaita Masters Club....Makala amekalia kuvaa mamiwani makubwa kama wasanii wa Akudo Impact